Benny marando
Member
- Apr 30, 2014
- 15
- 1
msaada wana jf nina mdogo wangu amemaliza 4m4 mwaka jana kapata div3 point 31 je anaweza kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa shule za serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atachaguliwa endapo kwenye combination yake atakuwa na ufaulu usiochini ya DDD. Je, yeye ana nini?
Atachaguliwa endapo kwenye combination yake atakuwa na ufaulu usiochini ya DDD. Je, yeye ana nini?
msaada wana jf nina mdogo wangu amemaliza 4m4 mwaka jana kapata div3 point 31 je anaweza kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa shule za serikali?
Nami nina div.4 point 32 na combination ni HISTOR D,KISWAHILI B,ENGLISH C.Je nitachaguliwa advance kwa private school?
watakuopata DDD ndani ya dv3 ya point31 watakuwa wamequalify kwenda kidato cha5 ndani ya shule za serikali.
yeye kwenyw combination ana cdd
Ulisoma masomo matatu tu ?
Nami nina div.4 point 32 na combination ni HISTOR D,KISWAHILI B,ENGLISH C.Je nitachaguliwa advance kwa private school?
Dahh ila TZ bana sikuiz D ni Credit tena kwa marks zile F inaanzia 19 dah