Kwa anayejua range ya mshahara wa matechnician wa Universities

Kwa anayejua range ya mshahara wa matechnician wa Universities

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
584
Reaction score
274
Habari wa kuu nilikua naulizia kwa mwenye kujua wale matechnician wanaosaidia wanafunzi during practicals huwa range za mishahara yao ipoje kuanzia kwenye bachelor, master na hata PhD.

Karibuni wadau
 
Sasa mtu ushasema technician sasa atakuwa na vp na bachelor au master au Phd?

Technician anakuwa ni mtu wa kazi za vitendo na anakuwa ni holder wa ordinary diploma kwa mfumo wa sasa na kwa mfumo za zamani anakuwa ni holder wa FTC(Full Technician Certificate).
Sawa asante, ngoja nisubiri maoni ya wengine? Kwahyo Huyo technician haruhusiwi kujiendeleza? Ila nahisi tumechanganya lugha ila wale ma technician vyuoni huwa na bachelors, Masters
 
Technician imekuwa kama ni wadhifa zaidi na si elimu! Nawafahamu graduates kadhaa walioajiriwa kama Technicians ingawa mishahara ni zaidi ya engineers wa Tanesco na Tanroads😅, pengine ni tatizo la ajira.
 
Sawa asante, ngoja nisubiri maoni ya wengine? Kwahyo Huyo technician haruhusiwi kujiendeleza? Ila nahisi tumechanganya lugha ila wale ma technician vyuoni huwa na bachelors, Masters
Hajajua Mana ya technician Ina maana Pana Sana. Sema yeye anawajua kuwa technician mpaka uwe na diploma.
Kwa Mana nyingine inatokana na neno technical Sasa technical personel ni mtu wa Aina gani.labda tuanzie hapo ndo tudadavue Mana ya technical personal ama technician.
Zile maabara za chuoni mfano za watu wa electrical,civil, mechanical n.k huwa Zina laboratory technician Ila vigezo vyako ni bachelor na sio diploma Kama jamaa anavyojinasibu hapo juu.
Ama atafute tangazo ambalo mfano udsm walihitaji technical person na kigezo kikawa ni diploma.
 
Hajajua Mana ya technician Ina maana Pana Sana. Sema yeye anawajua kuwa technician mpaka uwe na diploma.
Kwa Mana nyingine inatokana na neno technical Sasa technical personel ni mtu wa Aina gani.labda tuanzie hapo ndo tudadavue Mana ya technical personal ama technician.
Zile maabara za chuoni mfano za watu wa electrical,civil, mechanical n.k huwa Zina laboratory technician Ila vigezo vyako ni bachelor na sio diploma Kama jamaa anavyojinasibu hapo juu.
Ama atafute tangazo ambalo mfano udsm walihitaji technical person na kigezo kikawa ni diploma.
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..

Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.

Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.

Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.

Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.

Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.

Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
 
Sawa asante, ngoja nisubiri maoni ya wengine? Kwahyo Huyo technician haruhusiwi kujiendeleza? Ila nahisi tumechanganya lugha ila wale ma technician vyuoni huwa na bachelors, Masters
Ulishawahi kuliona Tangazo la ajira anatakiwa Technician wa mahala flani,

Alaf katika requirements zake anatakiwa mwenye elimu ya bachelor's degree , masters na kuendelea.?

Kama lipo li screenshot alaf li attach hapa j.f kwa faida ya wengine.
 
Sasa mtu ushasema technician sasa atakuwa na vp na bachelor au master au Phd?

Technician anakuwa ni mtu wa kazi za vitendo na anakuwa ni holder wa ordinary diploma kwa mfumo wa sasa na kwa mfumo za zamani anakuwa ni holder wa FTC(Full Technician Certificate).
Wapo walio na PhD, tena wengi pia... Ingia mavyuoni utawakuta
 
Ukishakuwa na Degree ya Engineering unakuwa Engineer huwezi kuwa Technician
Kumbe kuna tatizo kubwa hapa, kuna watu wana uhaba wa vitu vidogo kama hivi...

Jitahidi kuruhusu kitu kipya kuingia ktk ubongo...
 
Wapo walio na PhD, tena wengi pia... Ingia mavyuoni utawakuta
Mie nataka nilione hilo Tangazo la ajira anatakiwa Technician,

Alaf katika educational requirements awe holder wa degree,master au Phd.
Basi mie sipo kubishana bali nipo kujifunza zaidi maana mie maishani mwangu mpaka sasa sijapatapo kuona kitu hicho.
 
Un
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..

Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.

Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.

Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.

Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.

Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.

Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
Una safari ndefu sana...
 
Mie nataka nilione hilo Tangazo la ajira anatakiwa Technician,

Alaf katika educational requirements awe holder wa degree,master au Phd.
Basi mie sipo kubishana bali nipo kujifunza zaidi maana mie maishani mwangu mpaka sasa sijapatapo kuona kitu hicho.
Kama upo kujifunza basi jitahidi... Mwenzio mpka kaja na hiyo orodha, ina maana haikuwa bahati mbaya....

Nenda ktk miundo ya utumishi utajua kuna madaraja ambayo yana tokana na uzoefu, pia na elimu
 
Kama upo kujifunza basi jitahidi... Mwenzio mpka kaja na hiyo orodha, ina maana haikuwa bahati mbaya....

Nenda ktk miundo ya utumishi utajua kuna madaraja ambayo yana tokana na uzoefu, pia na elimu
Sasa ningelimuomba huyo mleta mada alilete hilo tangazo
 
All in all , wale ambao sio malecturer Bali wao wanafundisha practicals tu katika chem lab, biological or botanical lab etc...mishahara yao inarange vipi akiwa na Bachelor au Master ndio swali langu
 
Back
Top Bottom