Kwa anayejua range ya mshahara wa matechnician wa Universities

Kwa anayejua range ya mshahara wa matechnician wa Universities

Naona Watu wanachanganya na haya mabasic technician certificates ya NACTE
 
All in all , wale ambao sio malecturer Bali wao wanafundisha practicals tu katika chem lab, biological or botanical lab etc...mishahara yao inarange vipi akiwa na Bachelor au Master ndio swali langu
Hapo sasa ndio umeuliza kwa ma vyuoni bado sijajua range za mishahara yao.
Ila nahisi wako juu zaidi ya ma engineer wa halmashauri, technician wa halmashauri.
Ila watakuja wajuzi zaidi.

Upepo wa Pesa
 
Sasa mtu ushasema technician sasa atakuwa na vp na bachelor au master au Phd?

Technician anakuwa ni mtu wa kazi za vitendo na anakuwa ni holder wa ordinary diploma kwa mfumo wa sasa na kwa mfumo za zamani anakuwa ni holder wa FTC(Full Technician Certificate).
Ni either umekariri au hujui.

Unaweza ukawa na PhD na ukawa technician.
 
Kuna Technician mmoja alinifundisha Practical za Survey na GIS, pale Chuoni. Ni PhD holder.... Yupo Vizuri Sana....Tena Sanaaa Tu aliwahi sema wakati anaajiriwa pale Chuoni alikuwa na Diploma..
Sawa hapo nimekuelewa kumbe aliajiriwa na diploma na kwa nafasi ya technician ila alijiendeleza elimu ila alabakia na nyadhifa hiyo hiyo ya u technician ila kimshahara nahisi atakuwa ameongezwa kutokana na elimu yake na ubobezi wake.
 
Nikiwa chuoni tulikua na Dr ambaye alikua anajulikana kama technician, na yeye alikua hafundishi somo ila muda wake mwingi alikua Lab!

Prof anapofundisha theory tunaenda lab kukutana na huyo Dr kwa ajili ya vitendo ili ku supliment tulicho fundishwa na prof darasani.

Reason, kwa mujibu wa katafiti kangu kadogo...

Unakuta mtu umesoma Masters lakini umeshindwa kufikisha vigezo (gpa) kwa ajili ya kufundisha basi utapewa masters na utabakishwa chuoni ila hautapewa somo ufundishe bali utakua technician wa lab, kazi yako kuu inakua ni ku guide wanafunzi kwenye practicals baada ya kufundishwa Dr au Prof darasani.

NB: Technician anaye ongelewa hapa sio wa site/mtaani bali ni wa lab za chuo kikuu!

NB 2: This is not official reason ila ni kutokana na kautafiti niliko fanya back then!
 
Nikiwa chuoni tulikua na Dr ambaye alikua anajulikana kama technician, na yeye alikua hafundishi somo ila muda wake mwingi alikua Lab!

Prof anapofundisha theory tunaenda lab kukutana na huyo Dr kwa ajili ya vitendo ili ku supliment tulicho fundishwa na prof darasani.

Reason, kwa mujibu wa katafiti kangu kadogo...

Unakuta mtu umesoma Masters lakini umeshindwa kufikisha vigezo (gpa) kwa ajili ya kufundisha basi utapewa masters na utabakishwa chuoni ila hautapewa somo ufundishe bali utakua technician wa lab, kazi yako kuu inakua ni ku guide wanafunzi kwenye practicals baada ya kufundishwa Dr au Prof darasani.

NB: Technician anaye ongelewa hapa sio wa site/mtaani bali ni wa lab za chuo kikuu!

NB 2: This is not official reason ila ni kutokana na kautafiti niliko fanya back then!
Anhaa kumbe utafiti ulio experience chuoni ila sio mtaani na kwengineko.
Ila wadau wengi wamesema kama ulivyosema ww
 
Kuna Technician mmoja alinifundisha Practical za Survey na GIS, pale Chuoni. Ni PhD holder.... Yupo Vizuri Sana....Tena Sanaaa Tu aliwahi sema wakati anaajiriwa pale Chuoni alikuwa na Diploma..
Na ukifwatilia vizuri utakuta either hakuwa na GPA nzuri level ya masters au degree!!
 
Anhaa kumbe utafiti ulio experience chuoni ila sio mtaani na kwengineko.
Ila wadau wengi wamesema kama ulivyosema ww
Chuo kikuu ni tofauti na kitaa, technician wa kitaa ni mtu mwenye diploma ila chuo kikuu unaweza ukawa na PhD na bado ukawa technician yaani huruhusiwi kufundisha somo unless chuo kiwe na upungufu wa wakufunzi kwenye hiyo field husika.
 
Na hiki kigezo cha GPA mie ningelikuwa mshauri sidhani kama kina faida saana mtu aangaliwe uwezo wake binafsi katika ku delivery materials kwa wanafunzi, vyuoni kuna chenga nyingi za panya kupiga GPA kubwa 😂
Na ukifwatilia vizuri utakuta either hakuwa na GPA nzuri level ya masters au degree!!
 
Sasa mtu ushasema technician sasa atakuwa na vp na bachelor au master au Phd?

Technician anakuwa ni mtu wa kazi za vitendo na anakuwa ni holder wa ordinary diploma kwa mfumo wa sasa na kwa mfumo za zamani anakuwa ni holder wa FTC(Full Technician Certificate).
Hujamuelewa sheikh,kwenye vyuo vikuu,huwa Kuna ma technician ambao huwa wanawasaidia wanafunzi wa ngazi za bachelor,Masters,PHD kufanya practicals zao,kama kuwatayarishia vifaa nk,sasa mdau anauliza,hao matechnician wanalipwa ngapi?kuanzia wale wanaosaidia watu wa bachelor mpaka PHD
 
Mleta mada,
kuna maana mbili za "Technician". Either kama official designation au kama level of education.
Kwa official designation, ni sahihi kuwa na Technician mwenye Dgr mpaka PhD. Anakuwa based on technical aspects za kazi zake tu.
Ila, kwa level of education, its impossible either chuoni au mtaani Technician kuwa mmiliki wa Dgr mpaka PhD maana pindi atakapo pata either, jina lake litabadilika m.f from Civil Technician Msuya to Eng Msuya or Dr. Msuya.

Kingine, toka mwaka juzi, chuo hakiajiri mtu aliyepata GPA ndogo ya Masters na Degree sababu saivi (tofauti na zamani) ajira zote zinasimamiwa na Serikali na si vyuo binafsi. Hivyo usipofikisha the required GPA, say ulikuwa una Degree, ukawa Lab Tech au Assistant Lec, ukipata GPA ndogo wakati wa kusoma Masters, unatolewa kwenye idara ya kufundisha completely maana unakuwa haujakidhi vigezo, haupewi u-Assistant au u-Technician wa huruma tena maana ajira hutolewa na serikali na sio chuo.
Kuhusu PhD ndo usiseme kabisa, hasa hizi za Eng m.f Civil.

-Regards.
 
Back
Top Bottom