Kwa anayemfahamu daktari bingwa

Kwa anayemfahamu daktari bingwa

mzee wa manzese

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
670
Reaction score
216
natumaini wote ni wazima,nina ndugu anasumbuliwa sana na mcho huwa yanawasha,yanatoa machozi hasa kipindi cha baridi,ninaomba kama kunamtu anamfahamu doctor mzuri wa macho atujuze tukamwone tujue tatizo tuko dar es salaam
 
Back
Top Bottom