Movies Store
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 288
- 938
- Thread starter
-
- #141
We uko wapi njoo tushikiane tuifanye...
kama mtaweza kushirikiana hii biashara n nzuri sana ni biashara ambayo NI LAZIMA sio ombi uwe na wafanyakazi au ofisi iwe na mtu zaidi ya m1,sasa mkiwa wawili na wote ofisi n yenu mtafanya kwa bidii na mtatengeneza pesa sana.Kigoma town
unakua na leseni na TIN ya biashara kAMA biashara zingine,kama na nyimbo unaingiza unakua na leseni na kibali pia toka TVLA.
Tanzania
Video
Library
Association
Hawa TVLA ndio wanao husika ktk kukamata kamata watu wanaoingiza nyimbo za wasanii bila vibali, wakikuotea hauna Kibali chao kukuchukua 500k ni jambo la kawaida sanaaa maana wanazungukaga na mapolisi na defender na wakija ofisini wanabeba mashine nzima na wewe wanakubeba.
Hawa ni kama (bwana pepsi) usiombwe kukutwa na hawa majamaaa wanatia hasara sanaaaaa, kama hujajipanga halafu ukakutana na hawa majamaa basi ndio mwisho wa hiyo biashara yako maana wako serious kuliko JAJI WA MAHAKAMA KUU.
Kama hutaki kero nao ili uwaepuke
-usiingize nyimbo za wasaniii wowote
-usiingize movie za Bongo
-kuwa serious na wewe,weka ofisi yako kiheshima (hawatokuja watapita kwa mbalii)
Ni hayo TU.
Leseni ni 1 inayoonyesha unavyofanya ofisini kwako plus TIN ya biashara yako.@moviesstore
So mfano mimi nataka kuanzisha game center hapo hapo ni movie store, hapo leseni lazima ziwe mbili si ndio.
Na zote ni TRA
Tunapatana tu maana mzigo upo wa tb 6APPROXIMATELY biashara yako inasemaje huko ulipo? wewe mzigo wako mtu akiuhitaji wote umfanyie copy n paste gharama zako zipo vipi????
Na Hii biashara ulikuwa ukiifanyia kigoma au?Kigoma town
Mbona mimi ninayo hiyo yotehiyo una istream Netflix kwasasa,bado haipo tayari kwa kudownload
Ukinipa atleast 1 million nampa woteAPPROXIMATELY biashara yako inasemaje huko ulipo? wewe mzigo wako mtu akiuhitaji wote umfanyie copy n paste gharama zako zipo vipi????
Biashara tamu sana j3 naingiza 60000 kwanzia mda wa saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku napo funga,yani naenda kulala macho yanawasha kinomaBiashara ya kurusha movie nimeifanya tangu mwaka 2011 mpaka 2014, baada ya hapo ikanipa connection ya kazi serikalini JPM alipo ingia madarakai msako wa vyeti feki ukaniondoa huko nikarudi kuifanya ndipo nikapata connectio kwenye kampuni ya wahindi , anay way ni story ndefu, naielewa changa moto zake, maswala ya kuliprishwa memory pale inapotafunwa na wadudu, mara computer kubooma, naona kwa sasa imenoka natamani kurudi tena kwenye biashara hii, ila miaka hiyo tulianza kwa ugumu kweli
Unafanyia mkoa gani nduguBiashara tamu sana j3 naingiza 60000 kwanzia mda wa saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku napo funga,yani naenda kulala macho yanawasha kinoma
Madha ra computee hayo,tafta miwani ya tinted ili kupunguza mionzi ya computer tofauti na hivo utakuwa kipofu asikwambie mtu, nilikuwa nikikaa na kitendo tu cha jua kuwaka machozi yananitoka, au baridi ikipuliza kidogo tu machozi hayo, nimesumbuka sana asikwambie mtuBiashara tamu sana j3 naingiza 60000 kwanzia mda wa saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku napo funga,yani naenda kulala macho yanawasha kinoma
Ndio mkuu, nilikuwa naifanyia huku kigoma,, nikaja pata nafasi ya kuajiriwa na wahindi kutokana na ujuzi niliokuwa naoNa Hii biashara ulikuwa ukiifanyia kigoma au?
Cheki pmNdio mkuu, nilikuwa naifanyia huku kigoma,, nikaja pata nafasi ya kuajiriwa na wahindi kutokana na ujuzi niliokuwa nao
Cheki pm
Nipo dar na chugaUnafanyia mkoa gani ndugu
Hii biashara ukiwa na mtaji usio na mawazo, ni hela nje nje.. anti virus kwa biashara hii unajichanga tu unanunua ma kaspersky yapo tu na bei rahisi, acha za kudownload bure utapata shida tu..Ndugu Movies Store huwa unatumia anti virus gani kulinda mashine yako.
Nimewahi watembelea Mwanza, jamaa wamejipanga sanampaka MWANZA wapo sio watu wakuwachukulia poa kabisa,ukitaka jua movie is a real business tembelea ofisi zao.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuuWindow defender n Antivirus nzuri kama zilivyo zingine
Me nahitaji nyie mnaleta mapenzi ndo nini sasa?Anafikiri watu wameanza kazi mwaka 2021[emoji23]