INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

Wateja wa DAR

Flash 32GB = 17,000 (Ukinunua utajaziwa Movie au Series mpaka Flash ijae kwa bei hiyo hiyo)

External 320GB = 70,000 (Ukinunua utawekewa movie na series GB 100 free)

Flash FREE delivery "kuanzia Flash mbili"
External FREE delivery

Pesa utalipia kitu kikishakufikia ulipo,tunapeana kama ni kutest utatest kujiridhisha yaliomo yamoo au ni danganya toto.

Flash 16GB = 14,000

Kwa mahitaji ya STORAGE device zote tuwasiliane kwa bei ya JUMLA na REJAREJA.
 
We uko wapi njoo tushikiane tuifanye...
Kigoma town
kama mtaweza kushirikiana hii biashara n nzuri sana ni biashara ambayo NI LAZIMA sio ombi uwe na wafanyakazi au ofisi iwe na mtu zaidi ya m1,sasa mkiwa wawili na wote ofisi n yenu mtafanya kwa bidii na mtatengeneza pesa sana.

Japo pesa ikikolea Lazima mtagombana,Huo ndio ukweli. Kudumu milele haipogo hiyo ila kwa mwanzo sio mbaya mkianza pamoja ya mbeleni yatajijua yenyewe๐Ÿ˜‚
 
@moviesstore

So mfano mimi nataka kuanzisha game center hapo hapo ni movie store, hapo leseni lazima ziwe mbili si ndio.

Na zote ni TRA
 
@moviesstore

So mfano mimi nataka kuanzisha game center hapo hapo ni movie store, hapo leseni lazima ziwe mbili si ndio.

Na zote ni TRA
Leseni ni 1 inayoonyesha unavyofanya ofisini kwako plus TIN ya biashara yako.
 
Biashara tamu sana j3 naingiza 60000 kwanzia mda wa saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku napo funga,yani naenda kulala macho yanawasha kinoma
 
Biashara tamu sana j3 naingiza 60000 kwanzia mda wa saa 11 jioni mpaka saa 5 usiku napo funga,yani naenda kulala macho yanawasha kinoma
Madha ra computee hayo,tafta miwani ya tinted ili kupunguza mionzi ya computer tofauti na hivo utakuwa kipofu asikwambie mtu, nilikuwa nikikaa na kitendo tu cha jua kuwaka machozi yananitoka, au baridi ikipuliza kidogo tu machozi hayo, nimesumbuka sana asikwambie mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ