Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
12. Anayeleta mzaha kwenye mambo ya msingi km ndoa humu jukwaaani kwa kuitaja Yanga au simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 shindikanaa weweeMwanaume kama hauna AKILI kaa mbali na mwanamke kabisa.
NAKAZIA,hili ndo bonge la pointMwanaume kama hauna AKILI kaa mbali na mwanamke kabisa.
12. Mwana ccmUSIOE wafuatao;
1. Mwanamke anayetumia kinywaji chochote chenye kilevi. Kiufupi usioe anayekunywa pombe. Iwe bia, wine, Konyagi na aina nyingine yoyote ya pombe.
2. Anayemwita kiongozi wake wa kiroho DAD. Amwite kwa jina la mchungaji sio DAD.
3. Anayehudhuria sana mikesha kanisani.
4. Anayeenda kanisani zaidi ya siku ya ibada (jumamosi au jumapili).
5. Anayejipost mitandaoni huku akijiita CUTE, BOSSLADY, CUTELICIOUS, DIVA nk
6. Mwenye chale sehemu yoyote mwilini.
7. Anayejichubua (bleaching)
8. Mwenye mama ambaye tabia zake hazieleweki. Hata kama binti ni mwema mwenye tabia nzuri ila bahati mbaya mama yake tabia hairidhishi usije ukaoa.
9. Aliyewahi kutoa mimba. Hii ni ngumu kujua ila ukibahatika kugundua piga chini haraka sana.
10. Anayekwambia tubadili style siku ya kwanza ya minyanduano. Msichana mwenye maadili hajui zaidi ya kifo cha mende.
11. Shabiki wa Yanga.
🤣🤣🤣 shindikana nakusalimu kwa jina la Jamhuri...😁😁 shindikanaa wewee
Marhabaaa shindikana 😊 mapenzi yafutwe tu Evelyn Salt🤣🤣🤣 shindikana nakusalimu kwa jina la Jamhuri...
Ndiooooooo! Yanaleta mtafaruku tu kama chadema🤣🤣🤣Marhabaaa shindikana 😊 mapenzi yafutwe tu Evelyn Salt
Mapenzi ya dakika 10 ila yanaleta mtafaruku wa kudumu ni bora yafutwe tu😅😅😅Ndiooooooo! Yanaleta mtafaruku tu kama chadema🤣🤣🤣
Yafutwe kabla ya uchaguzi.....Marhabaaa shindikana 😊 mapenzi yafutwe tu Evelyn Salt
Yafutwe kabisa naunga mkono hoja😅Yafutwe kabla ya uchaguzi.....
Yafutwe haraka ili tukazane na kilimo.Mapenzi ya dakika 10 ila yanaleta mtafaruku wa kudumu ni bora yafutwe tu😅😅😅
Kwa maisha yetu ya kiafrika tulitakuwa tusideal na mapenzi kabisa, ilitakiwa tufanye kwa kuzaana tu na sio haya mapenzi ya kuchikuchi hotae, ili tuwe makini kuujenga uchumi🤔🤔Yafutwe haraka ili tukazane na kilimo.
Kabisa.Kwa maisha yetu ya kiafrika tulitakuwa tusideal na mapenzi kabisa, ilitakiwa tufanye kwa kuzaana tu na sio haya mapenzi ya kuchikuchi hotae, ili tuwe makini kuujenga uchumi🤔🤔
shabiki wa yanga umechomeka tu ila ni malaya tuUSIOE wafuatao;
1. Mwanamke anayetumia kinywaji chochote chenye kilevi. Kiufupi usioe anayekunywa pombe. Iwe bia, wine, Konyagi na aina nyingine yoyote ya pombe.
2. Anayemwita kiongozi wake wa kiroho DAD. Amwite kwa jina la mchungaji sio DAD.
3. Anayehudhuria sana mikesha kanisani.
4. Anayeenda kanisani zaidi ya siku ya ibada (jumamosi au jumapili).
5. Anayejipost mitandaoni huku akijiita CUTE, BOSSLADY, CUTELICIOUS, DIVA nk
6. Mwenye chale sehemu yoyote mwilini.
7. Anayejichubua (bleaching)
8. Mwenye mama ambaye tabia zake hazieleweki. Hata kama binti ni mwema mwenye tabia nzuri ila bahati mbaya mama yake tabia hairidhishi usije ukaoa.
9. Aliyewahi kutoa mimba. Hii ni ngumu kujua ila ukibahatika kugundua piga chini haraka sana.
10. Anayekwambia tubadili style siku ya kwanza ya minyanduano. Msichana mwenye maadili hajui zaidi ya kifo cha mende.
11. Shabiki wa Yanga.