Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa ufupi usioe mwanamke mwenye maadili mabovu ambae kwa sasa huyo mwanamke hayupo

Uoe lakini ujue umeoa mamba au usioe kabisa

Utazika au utasafirisha?
 
USIOE wafuatao;

1. Mwanamke anayetumia kinywaji chochote chenye kilevi. Kiufupi usioe anayekunywa pombe. Iwe bia, wine, Konyagi na aina nyingine yoyote ya pombe.

2. Anayemwita kiongozi wake wa kiroho DAD. Amwite kwa jina la mchungaji sio DAD.

3. Anayehudhuria sana mikesha kanisani.

4. Anayeenda kanisani zaidi ya siku ya ibada (jumamosi au jumapili).

5. Anayejipost mitandaoni huku akijiita CUTE, BOSSLADY, CUTELICIOUS, DIVA nk

6. Mwenye chale sehemu yoyote mwilini.

7. Anayejichubua (bleaching)

8. Mwenye mama ambaye tabia zake hazieleweki. Hata kama binti ni mwema mwenye tabia nzuri ila bahati mbaya mama yake tabia hairidhishi usije ukaoa.

9. Aliyewahi kutoa mimba. Hii ni ngumu kujua ila ukibahatika kugundua piga chini haraka sana.

10. Anayekwambia tubadili style siku ya kwanza ya minyanduano. Msichana mwenye maadili hajui zaidi ya kifo cha mende.

11. Shabiki wa Yanga.
12. Mwana ccm
 
Yafutwe haraka ili tukazane na kilimo.
Kwa maisha yetu ya kiafrika tulitakuwa tusideal na mapenzi kabisa, ilitakiwa tufanye kwa kuzaana tu na sio haya mapenzi ya kuchikuchi hotae, ili tuwe makini kuujenga uchumi🤔🤔
 
Kwa maisha yetu ya kiafrika tulitakuwa tusideal na mapenzi kabisa, ilitakiwa tufanye kwa kuzaana tu na sio haya mapenzi ya kuchikuchi hotae, ili tuwe makini kuujenga uchumi🤔🤔
Kabisa.
 
USIOE wafuatao;

1. Mwanamke anayetumia kinywaji chochote chenye kilevi. Kiufupi usioe anayekunywa pombe. Iwe bia, wine, Konyagi na aina nyingine yoyote ya pombe.

2. Anayemwita kiongozi wake wa kiroho DAD. Amwite kwa jina la mchungaji sio DAD.

3. Anayehudhuria sana mikesha kanisani.

4. Anayeenda kanisani zaidi ya siku ya ibada (jumamosi au jumapili).

5. Anayejipost mitandaoni huku akijiita CUTE, BOSSLADY, CUTELICIOUS, DIVA nk

6. Mwenye chale sehemu yoyote mwilini.

7. Anayejichubua (bleaching)

8. Mwenye mama ambaye tabia zake hazieleweki. Hata kama binti ni mwema mwenye tabia nzuri ila bahati mbaya mama yake tabia hairidhishi usije ukaoa.

9. Aliyewahi kutoa mimba. Hii ni ngumu kujua ila ukibahatika kugundua piga chini haraka sana.

10. Anayekwambia tubadili style siku ya kwanza ya minyanduano. Msichana mwenye maadili hajui zaidi ya kifo cha mende.

11. Shabiki wa Yanga.
shabiki wa yanga umechomeka tu ila ni malaya tu
 
Back
Top Bottom