Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi mke wangu nimempita miaka naneNi kweli lakini msiwatenge wenye watoto kama alizaa katika age hiyo, gafla mwanaume akafiriki? Kua na mtoto haimaanishi ni doa huwezi jua, pengine Huyo mtoto anaweza kuja kua msaada katika hiyo familia
Hayo mengine nakubaliana na wewe.. kama mimi na patner wangu amenipita miaka8
Unataka kusema Nini, meno pause Kwa mwanamke inaanza mapema sana, angalia usije anza kutamani chuchuSwala la kuoa mwanamke niliyemzidi miaka 5-10 sikuwahi kulielewa kabisa, yani unakuwa na mwanamke anakuona kama kaka yake au anakuheshimu sana anashindwa kuwa na uhuru na wewe kwasababu sio wa rika moja.
Mimi ni wife tofauti ni mwaka mmoja tu na kila kitu kipo sawa, yanu atleast umzidi miaka 3 sio 5-10
Issue ya Menopause inawashika waoga wa maisha tu, mtu unataka uanze kutafuta mtoto ukiwa na miaka 35-40 kwanini menopause isikupe changamoto?Unataka kusema Nini, meno pause Kwa mwanamke inaanza mapema sana, angalia usije anza kutamani chuchu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119][emoji2960][emoji848][emoji108]Nina 48 mke 61 tumedumu miaka 25 Kila wakati ni bebi kwangu.
Hakuna formula ,ni kumuonba Mungu tuZingatia ushauri wangu
Same hereLabda kigezo namba 4. Vilivyobaki sikubaliani navyo.
[emoji28][emoji28][emoji28] nimechekaUshawai ona match inaanza moja bila tayar, kuoa mwanamke mwenye mtoto ni hatar sana ..sithubutu hata iweje
Yaani km ulikuwepo!! wanakulana mnooooo!! swafiii!!...tena ukifanya masihara watazaa na uta lea!! ile kitu mitaa ya kati bana achana nayo!!Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. L
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hongera kwa kudumu 20years
Asante kwa ushauri
Watakuja watu hapa wenye 0 experience hapa na kukushukia kama mwewe
Kabisa[emoji457]Sawa kabisa , mf. Mwenye mtoto penda usipende kuna siku atakuwa na mazungumzo ya faragha na mzazi mwenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aisee! Ni hatari saana kiukweli!
Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!
Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]Aaaah hawa watanzania adabu hawana. Unampa heshima ya kumleta kwenye familia yako anakuja kukudhalilisha na huo upumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huu Uzi nadhani nitacheka sana leoMkuu ingependeza zaidi ukasema changamoto anazozipa mwanaume kwa kuoa mwanamke mwenye mtoto hii imenikuta kabisa kuna mwanamke nilikutana nae chuo mwaka wa mwisho akawa ananizungusha baada ya hapo kakubali sound yangu ila baada ya kuendelea kuchunguza nimekuta tayari anamtoto na hajawihi kuniambia
Naomba useme changamoto za kuoa mwanamke mwenye mtoto nimpige chini mapema sana kwanza tangia nijue anamtoto naona nilipotwza muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Looh changamoto zote hizo anatakiwa kupambana nazo binadamu.
Marriage is a very complicated institution.
[emoji28][emoji28][emoji28]