Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Ni ushauri mzuri ila kuoa mwanamke mwenye mtoto kunachangamoto zake,kama uchumi mzuri hakuna shida.Kwa mfano unaoa mama mwenye mtoto miaka saba mwanzoni huku hakuna shida ila mwishoni unapokuwa mzee ndiyo changamoto na huyo mke kama hana hekimu utapata shida sana,labda huyo mtoto awe wa kike ataendelea na maisha yake.

Kwanini afadhali huyo mtoto awe wa kike?
 
Aisee! Ni hatari saana kiukweli!

Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!

Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sio swala la Tz,ni swala La Dunia,usije date,wala kuoa single mothers, labda kama hujui consequences zake tukujuze.
 
Write your reply...BORA NIOE NG'OMBE AU MBUZI AU KUKU

AU BORA NISIOE KABISA KULIKO KUOA SINGLE MAMA VIJANA MSISUBUTU KABISA HATA WAZAZI WAKO WATAKUONA WA AJABU KUOA FAMILIA YA MWENZAKO
Kikubwa siku hizi hamuulizi upo bikra bali mnauliza upo na watoto wangapi?
 
NA MIMI NILIYEKAA KWENY MAHUSIANO TOFAUTI TOFAUTI KWA MIAKA 20+ NJOONI PM NIWAPE MWONGOZO BORA WA NAMNA YA KUYAWEZA HAYAA...!
 
Nina 48 mke 61 tumedumu miaka 25 Kila wakati ni bebi kwangu.
Hata Law of Demand & Supply ina Exceptional.. nnamaanisha kuna mazingira mengine haiwi applicable, maneno yake ni kwa uzoefu wake mkuu na kwa kiasi kikubwa ni applicable.
 
Mimi wife nimemzidi miaka 19 na maisha yanasonga [emoji120][emoji120]
 
Kuhusu swala la mtoto naongelea kijana fesh ambae hajawahi kuoa na wala hana mtoto asioe mwanamke mwenye mtoto siku ya mwisho itamletea shida tu na anaweza shida akainzisha hata yeye mwenyewe kwa ubinafsi tu. Mfano mimi as said am 46 with three kids hakuna namna kwa njia yoyote ile nikawa sina mke then lazima nitaingia kwenye mahusiano na mwanamke ambae labda ni 38-42 huyu anaweza akawa kabisa ana mtoto
Je ukiwa na miaka 40 ukao bint wa miaka 22 inakuwaje?
 
Hamna kitu hapo, OA , nasema oa yeyote.
Labda namba 4 kdg, na yenyewe umesema mwanamke na sio mke wa mtu.
Mke wa mtu ndio kamwe ni htr sn.
Lkn mwanamke just hajaolewa,
Beba ,kwan hakun utayemkuta bikra,
 
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox
Moja Kati ya thread nzuri nilizowahi kuzisoma humu Jf

Nakazia hapo kwa kuoa mwanamke aliyeachika na mwanaume mwingine.Kusema ukweli watu ambao waliwahi kuwa kwenye mahusiano na wakafanikiwa kupata mtoto/ watoto huwa hawaachani kbsa.Wanaweza wakatengana kimwili lakini siku wakikutana lazima watapasha viporo tu.Na pia watoto wao watawafanya watafutane ili kujua Hali na maendeleo ya watoto wao.

Simshauri mtu aoe mwanamke aliyeachika maana atachapiwa Sana.
 
Swala la kuoa mwanamke niliyemzidi miaka 5-10 sikuwahi kulielewa kabisa, yani unakuwa na mwanamke anakuona kama kaka yake au anakuheshimu sana anashindwa kuwa na uhuru na wewe kwasababu sio wa rika moja.

Mimi ni wife tofauti ni mwaka mmoja tu na kila kitu kipo sawa, yanu atleast umzidi miaka 3 sio 5-10
 
Back
Top Bottom