Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Single Mothers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una uzoefu na single mothers?Mkuu inaonekana akili yako huna imani nayo yaani mwanamke nishindwe kumuongoza kisa kanizidi miaka 5 big No maybe awe kunguru asiyefugika, ila kwa single mother hapana kwa kweli ni complicated issue kubalance malezi
mzee wako ametishaHili la umri nadhani lina ukweli fulani. Mshua wangu yuko 70+ ila ana kichenchede kina kama 34 amezaa nacho watoto wawili, naona anahangaika sana, kila muda anakula karanga na mihogo mibichi. Kwenye dashboard ya gari yake amejaza makopo ya mitishamba ya kuongeza nguvu. Huwa nacheka na kuwaza hawa wazee wanajitafutia vifo tu.
wana shida gani Single mothers?Write your reply...BORA NIOE NG'OMBE AU MBUZI AU KUKU
AU BORA NISIOE KABISA KULIKO KUOA SINGLE MAMA VIJANA MSISUBUTU KABISA HATA WAZAZI WAKO WATAKUONA WA AJABU KUOA FAMILIA YA MWENZAKO
kwa nini?Kwa kuongezea tu, Uso mwanamke alielelewa na mzazi mmoja (hasa mama)
sasa complications nyingi za nini.Lazima tu siku moja utakuja kuzinguana na huyo aliyezaa naeInategemeana huyo mtoto mmemuweka ktk mazingr gani, mfano mnaweza mkakubaliana kwamba huyu n mtoto wetu atanijua mm kama Baba na wewe kama mama mkamlea na kumsomesha bila kuingilia mtu, huyo Baba wa kambo atawasiliana kwa lipi?? Au mkakubaliana kwamba mtoto amchukue Baba yake mawasiliano ya nn tena lkn pia mnaweza mkamuweka kwa bibi na mawasiliano yoyote juu ya mtoto yakafanyika kwa ma bibi tu.
Mzee hii dunia inaenda tu na misimamo dhabiti.!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] atakuwa alikuwa anakupenda sana ukoana yeaaah hapa penyewe kumbe umeingia kichakani
sasa wanawake wenye hela nyingi wataolewa na nani?Na nyie wanaume nawaambia tho sina experience ila usioe mwanamke ambae anakuzidi elimu na kipato cha fedha.
Kama Mke ana elimu, basi wewe kuwa na pesa heshima itakuwepo.note: hapa vice versa is not true[emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa sitegemei wanawake wenzangu kupingana na Mimi[emoji23]
mzee vipi vidonda vimeshalipuka?Mwisho niseme tu, sisi binadamu tumezoea kubishabisha na kuleta ujuaji, nisiseme mengi binafsi napita katika wakati mgumu sana nahisi vidonda vya tumbo vitaniua maana nikiwaza sana navyo vinaripuka.
Siwezi kusema mengi asiyesikia aoe hao single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
wanawake huwa hawaepuki wanaume wenye watoto.wao fresh tuIn other words wanawake pia waepuke sana
1: wanaume wenye watoto tayari
2: wanaume wasio na akili.
mwisho wa kunukuuwanawake huwa hawaepuki wanaume wenye watoto.wao fresh tu
Inamaana mpka leo hujui ?wana shida gani Single mothers?
tupe uzoefu wakoInamaana mpka leo hujui ?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwisho wa kunukuu