Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox

Ahsante kwa ushauri lakini hapo kuhusu mwanamke mwenye mtoto sikubaliani napo! Je mwanaume mwenye mtoto nae asioe na mwanamke asiyekuwa na mtoto kwa sababu ya ex wake?

WE FALL IN LOVE BY CHANCE WE STAY IN LOVE BY CHOICE!
 
NINA RAFIKI YANGU ANA WATOTO WAWILI, AMEZAA NA MWANAMKE ASKARI, JAMAA HANA KAZI MPAKA SASA! AMESOMESHWA NA MWANAMKE CHUO. MWANAMKE ALISHAZAA HAPO KABLA JUMLA WATOTO WA 3.

NA MIMI NASEMA VIJANA TUOE MWANAMKE AMBAYE YUPO TAYARI KUPOTEZA CHAKE CHOCHOTE KWA AJILI YAKO, NA SIO MWANAMKE AMBAYE KILA KUKICHA UNAPOTEZA WEWE TU.
 
Fact. Ila bado kuowa single maza ni kaaazi kweli kweli
Siku zote tunawanyanyasa Sana ma single mother kitu ambacho sio sawa.!
Ipo siku utajikuta mwanao wa kike anazaa akiwa nyumban sijui utajisikiaje kwamba ndo asiolewe kabisa??
Naamin sio wote wakiolewa wanarudia matapishi lkn pia inategemea wewe mwanamume umempa misimamo gani huyo mwanamke. Mfano jamaa angu alimwambia sitaki kuona una mawasiliano yoyote Wala kkuona kwa mzazi mwenzako siku nitakayo baini una mawasiliano yoyote Yale utapata kadi nyekundu.
Mpaka Leo huu mwaka wa 8 wanaish vizr kabisa tena mwanamke ana adabu kuona kuolewa kwake n second and last chance!
Mi nawakuli sn tu, unaweza ukaona aliyezaa ametembea na wanaume wachache kuliko huyo unaefikr hajazaa kumbe katembea na sample zote isitoshe na kosa la mauaji anayo!! TUSIHUKUMU BADO TUPO DUNIANI!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana huyo mtoto mmemuweka ktk mazingr gani, mfano mnaweza mkakubaliana kwamba huyu n mtoto wetu atanijua mm kama Baba na wewe kama mama mkamlea na kumsomesha bila kuingilia mtu, huyo Baba wa kambo atawasiliana kwa lipi?? Au mkakubaliana kwamba mtoto amchukue Baba yake mawasiliano ya nn tena lkn pia mnaweza mkamuweka kwa bibi na mawasiliano yoyote juu ya mtoto yakafanyika kwa ma bibi tu.
Mzee hii dunia inaenda tu na misimamo dhabiti.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jifariji tu kwa sababu ulioa mwenye mtoto,amini unayoambiwa humu kwa % kubwa.Vumilia tu huna namna!!
 
Mimi nataka kuoa niliyemzidi elimu lakini amenizidi kipato cha fedha. Unasemaje juu ya hilo ?

Ni afadhali iwe kinyume chake, akuzidi elimu umzidi kipato.... hivyo unavyotaka utaishia kudharauliwa na kuona elimu si lolote.
 
Kwenye umri hapo nakataa kwa sababu hata mpishane miaka 30 kinacho matter zaidi ni matunzo ya mwili wako. Kuna vibabu vya miaka 50 hadi 60 vinapiga vitu balaa kuliko hawa vijana chipsi tulio nao
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du ni kweli kabisa ndugu.ijapo kuna jambo lina utata hapa....mfano umezinguana na mke baada ya miaka 15 ya ndoa na labda una umri wa miaka 42 au zaidi,kwa mtazamo wangu huwezi kwenda kuoa bint wa miaka 19,20,22 atakuzingua mbele huwa nafikiria ikitokea kwangu natamani kuoa bint wa miaka 28 au 31 hapo katkat ukioa bint mdogo ambae hajapita kwenye misukosuko kidogo atakusumbua kidogo.na ma bint wa miaka hiyo mara nyingi wanakua wamesha zaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amri ya 3 ya hii thread ni muhimu zaidi, maana kwenye maisha ya ndoa shetani atakupa majaribu ila kitendo cha kuivunja hii amri ni kujitengenezea majaribu mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom