Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Na nyie wanaume nawaambia tho sina experience ila usioe mwanamke ambae anakuzidi elimu na kipato cha fedha.
Kama Mke ana elimu, basi wewe kuwa na pesa heshima itakuwepo.note: hapa vice versa is not true😀😀😀

Hapa sitegemei wanawake wenzangu kupingana na Mimi😂
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] vipi tena mzee anazingua nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Namna ya malezi ni ngumu sana kubalance mzani kati ya mwanao na mwingine, namna ya kuzuia asiwasiliane na baba yake

Kinachonikera Mimi naishi na mtoto wake, ila Nina wangu mwingine nje nikiwasiliana nae anawaka

Hawa wanawake hawana akili, mtanisamehe

Anayetaka kuoa single mother aoe ila asirudi hapa analia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Ni hatari saana kiukweli!

Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!

Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauma halafu unapulizia,hao wanawake ni majanga mkuu,sio wote ila majority ni vichomi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujanani Nimezaa na wanawake kadhaa na wote sikuwa naangalia vigezo vyako ila nilichojali ni ana nini kichwan na mtu asiyependa sana kujua mambo yangu binafs

Kigezo cha akili ndio muhimu zaid maana hata bila baba watoto kama mama yao kichwani zimo bhas hawatopata tabu sana

mimi kutokana na upumbavu wa akili za ujana wapo watoto nilitelekeza ila nilipokutana nao nilikuta wana maisha mazuri ambayo hata mimi nisingeweza kuwapa...mwisho niliangalia mwonekano wake pia.
Pawaga.
Vip ulimpata yule dada natinde
 
Ujanani Nimezaa na wanawake kadhaa na wote sikuwa naangalia vigezo vyako ila nilichojali ni ana nini kichwan na mtu asiyependa sana kujua mambo yangu binafs

Kigezo cha akili ndio muhimu zaid maana hata bila baba watoto kama mama yao kichwani zimo bhas hawatopata tabu sana

mimi kutokana na upumbavu wa akili za ujana wapo watoto nilitelekeza ila nilipokutana nao nilikuta wana maisha mazuri ambayo hata mimi nisingeweza kuwapa...mwisho niliangalia mwonekano wake pia.
Pawaga.
Ni wale mapacha wa kike ndo Uliwaona?
 
Ikiwa imepangwa na Mungu mimi ninani nikatae?
Siku zote tunawanyanyasa Sana ma single mother kitu ambacho sio sawa.!
Ipo siku utajikuta mwanao wa kike anazaa akiwa nyumban sijui utajisikiaje kwamba ndo asiolewe kabisa??
Naamin sio wote wakiolewa wanarudia matapishi lkn pia inategemea wewe mwanamume umempa misimamo gani huyo mwanamke. Mfano jamaa angu alimwambia sitaki kuona una mawasiliano yoyote Wala kkuona kwa mzazi mwenzako siku nitakayo baini una mawasiliano yoyote Yale utapata kadi nyekundu.
Mpaka Leo huu mwaka wa 8 wanaish vizr kabisa tena mwanamke ana adabu kuona kuolewa kwake n second and last chance!
Mi nawakuli sn tu, unaweza ukaona aliyezaa ametembea na wanaume wachache kuliko huyo unaefikr hajazaa kumbe katembea na sample zote isitoshe na kosa la mauaji anayo!! TUSIHUKUMU BADO TUPO DUNIANI!

Sent using Jamii Forums mobile app
True
 
Namna ya malezi ni ngumu sana kubalance mzani kati ya mwanao na mwingine, namna ya kuzuia asiwasiliane na baba yake

Kinachonikera Mimi naishi na mtoto wake, ila Nina wangu mwingine nje nikiwasiliana nae anawaka

Hawa wanawake hawana akili, mtanisamehe

Anayetaka kuoa single mother aoe ila asirudi hapa analia

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwani umemuoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox
Suala la ndoa halina mtaalam uzoefu wako unaweza usiwe sahihi kwa mwingine, suala la Umri, kipato, Mazingira inategemea tu na akili za wenye ndoa, Cha muhimu vijana waoane wenye sifa zinazoendana ndoa zitadumu
 
Naomba kufunga mada yangu kwa wewe kijana ambae bado hujaoa siyo mwana mme mgane wala Divorcee NO. You fresh young chap usioe mwanamke mwenye sifa nilizotaja na kama huamini oa acha kubishana na mimi mara sijui ndoa haina formula, mara sijui marriage ni complicated institution mara sijui inategemea Mimi ninachokumambia achaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Point #1 sio kweli.
Ushahidi ni huu; Tanzania ikiwemo Dar es salaam nyumba nyingi hazina baba mwenye Nyumba, kuna watoto na mama tu.
Wababa washakufa.
Hivyo ukimwoa mwanamke uliyemzidi miaka 5 basi jua kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kumuacha duniani miaka zaidi ya kumi mbele baada ya kifo chako.
 
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox
Mkuu umeongea kweli tupu, hasa kwenye point ya kwanza kuhusu umri wa mke, kwa kuongezea hapo ni kwamba mwanamke akishakuzidi umri basi na uwezo wake wa kufikiria utakuwa mara mbili ya kwako wewe mwanaume, ni kweli kuwa wanawake wamebarikiwa kuwa na ubongo unaoconnect mambo mengi kwa wakati mmoja, so mwanamke akikuzidi umri au akiwa sawa na wewe kiumri jua kuwa kiakili yuko mbali sana na atakusumbua sanaa maana wao majukumu ya maisha huwa wanayaanza mara tu baada ya kuzaliwa, ndo maana utakuta watoto wa kiume wanacheza mpira ila watoto wa kike wanajipikilisha na kulea watoto wa plastic(midoli) ndo nature hiyo....

Lakini mkuu kwenye suala na mwanamke mwenye mtoto hapo naona wanaume tulegeze kidogo kuzingatia na mazingira ya huyo mtoto alivyopatikana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea kweli tupu, hasa kwenye point ya kwanza kuhusu umri wa mke, kwa kuongezea hapo ni kwamba mwanamke akishakuzidi umri basi na uwezo wake wa kufikiria utakuwa mara mbili ya kwako wewe mwanaume, ni kweli kuwa wanawake wamebarikiwa kuwa na ubongo unaoconnect mambo mengi kwa wakati mmoja, so mwanamke akikuzidi umri au akiwa sawa na wewe kiumri jua kuwa kiakili yuko mbali sana na atakusumbua sanaa maana wao majukumu ya maisha huwa wanayaanza mara tu baada ya kuzaliwa, ndo maana utakuta watoto wa kiume wanacheza mpira ila watoto wa kike wanajipikilisha na kulea watoto wa plastic(midoli) ndo nature hiyo....

Lakini mkuu kwenye suala na mwanamke mwenye mtoto hapo naona wanaume tulegeze kidogo kuzingatia na mazingira ya huyo mtoto alivyopatikana....

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuhusu swala la mtoto naongelea kijana fesh ambae hajawahi kuoa na wala hana mtoto asioe mwanamke mwenye mtoto siku ya mwisho itamletea shida tu na anaweza shida akainzisha hata yeye mwenyewe kwa ubinafsi tu. Mfano mimi as said am 46 with three kids hakuna namna kwa njia yoyote ile nikawa sina mke then lazima nitaingia kwenye mahusiano na mwanamke ambae labda ni 38-42 huyu anaweza akawa kabisa ana mtoto
 
Nina miaka 20 kwenye ndoa...

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate...

We are noT reach yet....

Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Wewe university graduate, though you’re not ‘reach’ yet.... hapo kijana na msichana ni wote wanataka kuolewa..?
 
Back
Top Bottom