Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Ni kweli lakini msiwatenge wenye watoto kama alizaa katika age hiyo, gafla mwanaume akafiriki? Kua na mtoto haimaanishi ni doa huwezi jua, pengine Huyo mtoto anaweza kuja kua msaada katika hiyo familia

Hayo mengine nakubaliana na wewe.. kama mimi na patner wangu amenipita miaka8
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Experience yako katika masuala ya ndoa bado sana.

Kwenye 1. Na 2 huna unachojua umeamua kuandika tu.

Nilishawahi kusema. Kama MTU unampenda kwa dhati hayo mengine yatajisort yenyewe.



God save us
 
Miaka hii haiongelewi kabisa swala la kuoa bikra. Au zinatolewa wakati wa kukata kitovu!
 
Siku zote tunawanyanyasa Sana ma single mother kitu ambacho sio sawa.!
Ipo siku utajikuta mwanao wa kike anazaa akiwa nyumban sijui utajisikiaje kwamba ndo asiolewe kabisa??
Naamin sio wote wakiolewa wanarudia matapishi lkn pia inategemea wewe mwanamume umempa misimamo gani huyo mwanamke. Mfano jamaa angu alimwambia sitaki kuona una mawasiliano yoyote Wala kkuona kwa mzazi mwenzako siku nitakayo baini una mawasiliano yoyote Yale utapata kadi nyekundu.
Mpaka Leo huu mwaka wa 8 wanaish vizr kabisa tena mwanamke ana adabu kuona kuolewa kwake n second and last chance!
Mi nawakuli sn tu, unaweza ukaona aliyezaa ametembea na wanaume wachache kuliko huyo unaefikr hajazaa kumbe katembea na sample zote isitoshe na kosa la mauaji anayo!! TUSIHUKUMU BADO TUPO DUNIANI!

Sent using Jamii Forums mobile app
hata single mother anaweza akawa ametoa mimba pia.mzee lazima awasiliane na mzazi mwenzake hata iweje kwasababu wameshazaa tena kabla yako wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sijawahi kuoa single maza sema nimeshawai kudate tu, Mimi pia ushauri wangu ni kama mtoa mada, kama we ni kijana mdogo ambaye hauna watoto na wanawake wengine ni bora kuingia kwenye ndoa na mwanamke ambaye hana watoto.

Changamoto ya kwanza ninayoiona ni ya kiuchumi, we all have limited resources, can you imagine using your resources to further someone else genes. OK let us assume unajiweza pesa sio tatizo, vipi kwenye urithi wako na yeye utampa sawa na wanao? Kuna mtu alilea binti Wa singo maza kama mwanae Wa kumzaa, uyu binti wakati anaolewa akataka her biological father( ambaye was missing while she was growing up) to walk her down the aisle, what an insult.
Hawa watoto na mama zao Mara nyingi akili zao zinakuwa moja, ukitaka kumdiscipline hachelewi kukuona unamuonea kisa wewe sio baba yake and you will be shocked her mom to be on her side, na ombea Mungu uyo mtoto Wa singo maza asiwe Wa like na kutaka kukupa kesi ya ubakaji, sijui mama yake atakuamini wewe mumewe au mwanae?

Ukiangalia ata wanyama kama simba au pundamilia wakikutana na singo maza mwenye watoto wadogo, cha kwanza wanachofanya ni kuua wale watoto to eliminate traces of the predecessor. Sijui na sisi binadamu( wanaume) tunafall kwenye animal kingdom?
urithi haumuhusu mzee huyo ni mtoto wa kambo tu.kumtunza na kumlea ni urithi tosha kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo mengi ambayo ni reality. Mke ni wako peke yako lakini unaleta member mwengine kwenye jamaa yako ambayo inatakuwa kumkubli pia

1. Ndugu zako especially wazazi tayari hapa ni doa
2. Kwenye parenting unaweza kupata dhambi sana ukajikuta automatically una mu isolate huyu mtoto na watoto wako. Siongelei mambo ya kwenda kuogelea, kula chocolate ila mambo essential kama shule basing on your income. Utajikuta wewe na mkeo mnafanya dhambi ku plan shule ambazo watasoma watoto wake na huyu mtoto wa kufikia
3. Siku ya mwisho mta differ na ndio wanaishia kusema niliteswa na baba wa kambo. Mfano mtoto wako mwenyewe mnagombana mkipishana tabia ila huwa hamna doa ila mtoto mwa kambo kila negativity ina last
Kuna vitu unaongea naona vinanigusa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom