Nicetas Mtey
New Member
- Dec 1, 2013
- 4
- 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I have not snatched your point
Knowledge and experience are two things, different and distinct. To say the least, you may have a thorough knowledge with zero experience.Hongera kwa kudumu 20years
Asante kwa ushauri
Watakuja watu hapa wenye 0 experience hapa na kukushukia kama mwewe
Kasome kipande chako nilichoquote, na usipoelewa mimi nitaelewa.... you’re not ‘reach’ [rich] yet..? [emoji1484][emoji1484]
“Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa”.
Reach- Rich vitu vingine unatakiwa kujiongeza tu.
Ndio, mimi nimeshauri kwa kijana anaetaka kuoa nimeongea feeling zangu kama mwana mme.Kama wewe unataka kutoa tips kwa binti anaetaka kuolewa you can go ahead what is the problem??
duu!! umeoa kabisa.ulikaa naye muda gani kabla hujamuoa?'Usioe mwanamke mwenye mtoto'
Kabla sijaoa mwanamke mwenye mtoto hii kauli sikuwa kuielewa kabisa,ila kwa hii miezi minane kumbe kauli hii ina nguvu ndani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanamke akikuzidi umri ndo anakuwa anafikiri zaidi kuliko wewe?? hii si kweliMkuu umeongea kweli tupu, hasa kwenye point ya kwanza kuhusu umri wa mke, kwa kuongezea hapo ni kwamba mwanamke akishakuzidi umri basi na uwezo wake wa kufikiria utakuwa mara mbili ya kwako wewe mwanaume, ni kweli kuwa wanawake wamebarikiwa kuwa na ubongo unaoconnect mambo mengi kwa wakati mmoja, so mwanamke akikuzidi umri au akiwa sawa na wewe kiumri jua kuwa kiakili yuko mbali sana na atakusumbua sanaa maana wao majukumu ya maisha huwa wanayaanza mara tu baada ya kuzaliwa, ndo maana utakuta watoto wa kiume wanacheza mpira ila watoto wa kike wanajipikilisha na kulea watoto wa plastic(midoli) ndo nature hiyo....
Lakini mkuu kwenye suala na mwanamke mwenye mtoto hapo naona wanaume tulegeze kidogo kuzingatia na mazingira ya huyo mtoto alivyopatikana....
Sent using Jamii Forums mobile app
'Usioe mwanamke mwenye mtoto'
Kabla sijaoa mwanamke mwenye mtoto hii kauli sikuwa kuielewa kabisa,ila kwa hii miezi minane kumbe kauli hii ina nguvu ndani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
ama kweli umepotea.chomoka mzee mpige chiniMpaka nikitembea nikiona watu wako single najisemea "One Day Yes"
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!... noma sana aiseeMwisho niseme tu, sisi binadamu tumezoea kubishabisha na kuleta ujuaji, nisiseme mengi binafsi napita katika wakati mgumu sana nahisi vidonda vya tumbo vitaniua maana nikiwaza sana navyo vinaripuka.
Siwezi kusema mengi asiyesikia aoe hao single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
hata single mother anaweza akawa ametoa mimba pia.mzee lazima awasiliane na mzazi mwenzake hata iweje kwasababu wameshazaa tena kabla yako wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nataka kuoa niliyemzidi elimu lakini amenizidi kipato cha fedha. Unasemaje juu ya hilo ?Na nyie wanaume nawaambia tho sina experience ila usioe mwanamke ambae anakuzidi elimu na kipato cha fedha.
Kama Mke ana elimu, basi wewe kuwa na pesa heshima itakuwepo.note: hapa vice versa is not true[emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa sitegemei wanawake wenzangu kupingana na Mimi[emoji23]