Kwa anayoyafanya Rais Samia tumpe mpaka 2035, Wapinzani nao wamemkubali

Kwa anayoyafanya Rais Samia tumpe mpaka 2035, Wapinzani nao wamemkubali

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Nmefuatilia sana toka achukue uongozi Rais Samia, kiukweli anaonekana kufaa sana. Nimeona Wapinzani nao wanakubaliana sana na maamuzi yake.

Ushauri wangu:

Huyu Rais tuliye naye sasa apewe nafasi ya kuendelea kuongoza mpaka 2035. Tumeona anaweza na anakubalika. Kwenye nafasi ya Urais Wapinzani wasiweke mtu maana hawana.

Uchaguzi wa 2025 uwe kwa wabunge pekee. Jamani tuokoe pesa za Uchaguzi zitumike kwenye maendeleo.
 
Uchaguzi huru na wa haki ndio kipimo cha kuwa Mama anakubalika. Sio kama chafuzi mlizokuwa mnafanya na kuja na maneno yenu ya ushindi wa kishindo
 
Alazimishwe na atawale bila kikomo.

Siku 100 za mama dunia nzima imesimama na marais na viongozi wote duniani wameanza kuiga namna mama anavyoongoza.
 
Nchi huongozwa kwa mujibu wa katiba.

Mama anapendwa sana, lakini unachoongea wewe ni kwa mujibu wa katiba ipi?

Hiiiiii bagosha!
 
Uchaguzi huru na wa haki ndio kipimo cha kuwa Mama anakubalika. Sio kama chafuzi mlizokuwa mnafanya na kuja na maneno yenu ya ushindi wa kishindo
Aachane na Katiba Mpya kwanza, akubali tu basi hata uwepo wa Tume Huru ya uchaguzi halafu ajipime na upinzani kwenye uchaguzi mkuu ujao ili aone kama anakubalika, au la!
 
Ata ikiwa mia kinachotakiwa ,achaguliwe na wananchi katika Uchaguzi ulio huru na haki , na si vinginevyo
 
Nmefuatilia sana toka achukue uongozi Rais Samia, kiukweli anaonekana kufaa sana. Nmeona wapinzani nao wanakubaliana sana na maamuzi yake.

Ushauri wangu:

Huyu rais tuliye naye sasa apewe nafasi ya kuendelea kuongoza mpaka 2035. Tumeona anaweza na anakubalika. Kwenye nafasi ya Urais wapinzani wasiweke mtu maana hawana.

Uchaguzi wa 2025 uwe kwa wabunge pekee. Jamani tuokoe pesa za Uchaguzi zitumike kwenye maendeleo.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM. ASANTE SAANA MLETA MAADA NZURI KAMA HIIII. NIMEONA UFIPA YOTE IMEKUPONGEZA. SASA NIOMBE WAPINZANI WOTE TUUNGANE 2025 MAMA APITE BILA KUPINGWA.
 
Back
Top Bottom