Kwa anayoyafanya Rais Samia tumpe mpaka 2035, Wapinzani nao wamemkubali

Kwa anayoyafanya Rais Samia tumpe mpaka 2035, Wapinzani nao wamemkubali

Mimi naunga mkono kabisa.

Unajua toka tupate uhuru tukuwahi kuwa na shida ya viongozi wala uongozi yani kila kitu kilikuwa sawa isipokuwa kwa Magufuli tu, hivyo kama Magufuli hayupo basi kila kitu kimerudi kuwa sawa hakuna tena shida yeyote yote yameisha baada ya kuondoka Magufuli hivyo naunga mkono hakuna haja ya uchaguzi wa rais maana kila kitu kiko sawa tu shida ya Tanzania ilikuwa ni Magufuli tu sasa tutake nini tena wakati matatizo yetu kaondoka nayo mwendazake.
 
Nmefuatilia sana toka achukue uongozi Rais Samia, kiukweli anaonekana kufaa sana. Nmeona wapinzani nao wanakubaliana sana na maamuzi yake.

Ushauri wangu:

Huyu rais tuliye naye sasa apewe nafasi ya kuendelea kuongoza mpaka 2035. Tumeona anaweza na anakubalika. Kwenye nafasi ya Urais wapinzani wasiweke mtu maana hawana.

Uchaguzi wa 2025 uwe kwa wabunge pekee. Jamani tuokoe pesa za Uchaguzi zitumike kwenye maendeleo.
Muwe munasoma basi katiba, Kama mtangulizi wake, angekuwa ametumikia cheo chake kwa miaka miwili, hapo angeenda hadi 2035. Kwasabbu Magu hakutumiakia miaka miwili, hivyo. Kuanzia sasa inahesabika kuwa. huu ni muhula was kwanza wa uongozi wake, hivyo ataishia 2030.
 
Muwe munasoma basi katiba, Kama mtangulizi wake, angekuwa ametumikia cheo chake kwa miaka miwili, hapo angeenda hadi 2035. Kwasabbu Magu hakutumiakia miaka miwili, hivyo. Kuanzia sasa inahesabika kuwa. huu ni muhula was kwanza wa uongozi wake, hivyo ataishia 2030.

Si tumependa anavyoongoza akiweza aende hata mpaka 2040 kama umri na afya itaruhusu.
 
Sophia Mjema apewa asante kwa kauli yake mama mpaka 2035
 

Attachments

  • IMG-20231022-WA0010.jpg
    IMG-20231022-WA0010.jpg
    57.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom