Hoja imeungwa mkono na imepita mkuuKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM. ASANTE SAANA MLETA MAADA NZURI KAMA HIIII. NIMEONA UFIPA YOTE IMEKUPONGEZA. SASA NIOMBE WAPINZANI WOTE TUUNGANE 2025 MAMA APITE BILA KUPINGWA.
Muwe munasoma basi katiba, Kama mtangulizi wake, angekuwa ametumikia cheo chake kwa miaka miwili, hapo angeenda hadi 2035. Kwasabbu Magu hakutumiakia miaka miwili, hivyo. Kuanzia sasa inahesabika kuwa. huu ni muhula was kwanza wa uongozi wake, hivyo ataishia 2030.Nmefuatilia sana toka achukue uongozi Rais Samia, kiukweli anaonekana kufaa sana. Nmeona wapinzani nao wanakubaliana sana na maamuzi yake.
Ushauri wangu:
Huyu rais tuliye naye sasa apewe nafasi ya kuendelea kuongoza mpaka 2035. Tumeona anaweza na anakubalika. Kwenye nafasi ya Urais wapinzani wasiweke mtu maana hawana.
Uchaguzi wa 2025 uwe kwa wabunge pekee. Jamani tuokoe pesa za Uchaguzi zitumike kwenye maendeleo.
Muwe munasoma basi katiba, Kama mtangulizi wake, angekuwa ametumikia cheo chake kwa miaka miwili, hapo angeenda hadi 2035. Kwasabbu Magu hakutumiakia miaka miwili, hivyo. Kuanzia sasa inahesabika kuwa. huu ni muhula was kwanza wa uongozi wake, hivyo ataishia 2030.