Kwa android phone security: Je kuna tracking app/software yoyote inayoweza kukwepa 'factory/hard reset'?

Kwa android phone security: Je kuna tracking app/software yoyote inayoweza kukwepa 'factory/hard reset'?

izo townships ni za watu wenye kipato cha chini/kati wenye uwezo wa kununua Infinix, Tecno, simu zenye SoC ya ovyo kabisa, SoC yenye modem ambayo unabadili IMEI on the fly

kwakua SoC ni ya ovyo , hakuna namna yoyote ya kuweka ulinzi humo

Inasikitisha hadi sasa karne hii, technology imeshindwa kabisa kuja na ulinzi mathubuti kwaajili ya Smart phones dhidi ya FACTORY RESET; HARD RESET; FLASHING; IMEI CHANGE.

Mkuu Bongotech255 mnafeli wapi?
 
Hard na factory reset inaweza maanisha kitu kimoja, hii ni kuifanya simu ifute vitu vyote irudi kama ilivyokuwa.

Kuflash ni kubadili operating system
iliokuja na simu kwa kuweka os mpya ama ile ile.

Kubadili imei ni jambo jengine kabisa, simu huja na no ambazo ni Unique ili kuwasiliana na mitandao ya simu zinaitwa Imei, huwa simu za wizi watu wanabadili wasidakwe. Ni kosa kisheria kuzibadili.

Shukrani mkuu Chief. Nimeelewa.

Naendelea kufuatilia kuhusu hiyo anti-theft app ya Cerberus. Naona reviews za users ziko positive kwa kiwango cha juu.
 
Inasemekana kuwa kwa hizi Smart phones za kawaida, wezi hulazimika kuflash simu sababu ya kukuta 'Password/PIN'. Uwekaji wa password/pin ni instant trigger kwa mwizi kuflash simu... anakuwa 'compelled' to flash the phone kwa lengo la kuondoa password ili simu itumike.

So inashauriwa kuwa tusiweke password/pin kwenye smart phone ili muokotaji/mwizi asione ulazima wa kwenda kuiflash.

Hivyo, deactivate password/pin; install hizi undetectable tracking apps zenye ku-run background; pia sajiri Google account for ADM. This might be helpful in case muokotaji/mwizi hatoenda kuiflash (endapo hana wazo ama hana uelewa wa kuwa tracked).
 
Inasemekana kuwa kwa hizi Smart phones za kawaida, wezi hulazimika kuflash simu sababu ya kukuta 'Password/PIN'. Uwekaji wa password/pin ni instant trigger kwa mwizi kuflash simu... anakuwa 'compelled' to flash the phone kwa lengo la kuondoa password ili simu itumike.

So inashauriwa kuwa tusiweke password/pin kwenye smart phone ili muokotaji/mwizi asione ulazima wa kwenda kuiflash.

Hivyo, deactivate password/pin; install hizi undetectable tracking apps zenye ku-run background; pia sajiri Google account for ADM. This might be helpful in case muokotaji/mwizi hatoenda kuiflash (endapo hana wazo ama hana uelewa wa kuwa tracked).
Wengine wana format tu simu kupitia recovery na kama ni simu za kichina kuna mabox kibao ya kutolea hizo pin, wezi wengine ni ambitious akipata access ya simu yako anawasiliana na ndugu apate hela zaidi.
 
Wakuu na wataalaamu wa phone security,

Nini mtu afanye ili kuiwekea ulinzi smart phone ili itakapoibiwa ama kupotea aweze kuitrack?

Wezi wanaflash (factory reset) na kubadili IMEI number. IMEI NUMBER inapokuwa changed, habari kwishney, polisi wanakuwa hawana msaada wowote tena.

Je, kuna tracking app yenye uwezo wa kutoathirika na IMEI number change or hard reset? Mfano hizi simu za android family kama vile INFINIX, etc

Tupeane maujanja wakuu. Wizi wa simu unashamiri!! hasara inakuwa kubwa sana kwa wahanga.

kupitia DEFCON wana kwambia android ina risk 95% sababu watumiaji wengi uelewa wa security ni mdogo katika data zao.

ndio maana inaweza kudukiliwa mda mchache.

android ni simu ambazo security ni ndogo
 
Wengine wana format tu simu kupitia recovery na kama ni simu za kichina kuna mabox kibao ya kutolea hizo pin, wezi wengine ni ambitious akipata access ya simu yako anawasiliana na ndugu apate hela zaidi.

Duh ni hatari mkuu. Sasa tufanyeje kwa hizi Smart phones za kichina ili tu kupata walau Ile basic security level? maana pia sio kila mwizi anakuwa mtaalaam saaana wa hizi mambo, au mwingine anakuwa ameokota tu simu.
 
kupitia DEFCON wana kwambia android ina risk 95% sababu watumiaji wengi uelewa wa security ni mdogo katika data zao.

ndio maana inaweza kudukiliwa mda mchache.

android ni simu ambazo security ni ndogo

Ni kweli mkuu. Watu wengi uelewa wetu wa security kwenye simu ni finyu mnoo!

Mkuu, mbali na iphone, ni smart phone zipi ambazo walau zina strong security features against FACTORY/HARD RESET; FLASHING; IMEI change.
 
Ni kweli mkuu. Watu wengi uelewa wetu wa security kwenye simu ni finyu mnoo!

Mkuu, mbali na iphone, ni smart phone zipi ambazo walau zina strong security features against FACTORY/HARD RESET; FLASHING; IMEI change.

Nimekaa kwenye idara hii mda mrefu tokea android kuanzishwa ila wasomi wa tz wanashindwa kuwaeleza ukweli !. mengine ni baki kimya tu
 
Nimekaa kwenye idara hii mda mrefu tokea android kuanzishwa ila wasomi wa tz wanashindwa kuwaeleza ukweli !. mengine ni baki kimya tu

Ukweli ni upi? Tudokeze mkuu
 
Inasikitisha hadi sasa karne hii, technology imeshindwa kabisa kuja na ulinzi mathubuti kwaajili ya Smart phones dhidi ya FACTORY RESET; HARD RESET; FLASHING; IMEI CHANGE.

Mkuu Bongotech255 mnafeli wapi?
Mkuu inawezekana una hoja ya msingi ila tambua unapozidi kujiweka imara wapo wengine wanatafuta mapungufu yako kwenye huo uimara. Cha ziada tambua kuwa hiyo ni biashara, unapoweka security kubwa watu wa software wanapata pesa zaidi nk.

Mfumo wa simu za android unatunza taarifa zote kwenye kifaa kama hdd ya kompyuta, ebu fikiria umeibiwa kompyuta mwizi akute umejitahidi umeweka security kwenye hdd si ataamua kuibadilisha na kuweka nyingine? Au akute komputa yako umeweke security ngumu kwenye bios si atatafuta saketi nyingine na maisha yaendelee?

Simu zilizonyingi za android zinatumia mifumo kama Lost mode, mdm, kg, anti theft nk ambapo simu ikiwa katika hali hiyo hauwezi kuiflash kwa mfumo wa kawaida, ila kuna mfumo wa programming kwa box za jtag na security zote zinatolewa na simu inatumika upya.

Kuna akaunti za kulock simu kama icloud, mi, oppo id na zinginezo ila bado watu wanazifungua na maisha yanaendelea.

Kuna wanaotumia signed IMEI files au OTP ila bado kuna solution ya kubadilisha. Ila kwa upande wa pili fikiria umenunua simu yako ya gharama kwa bahati mbaya security file zikafutika na ukapata null IMEI je, uitupe simu yako ukanunue nyingine kisa IMEI.

Kwa upande wa watengenezaji wanajitahidi kila wawezavyo ila kumbuka juhudi zao ndo ajira kwa wengine.
 
Mkuu inawezekana una hoja ya msingi ila tambua unapozidi kujiweka imara wapo wengine wanatafuta mapungufu yako kwenye huo uimara. Cha ziada tambua kuwa hiyo ni biashara, unapoweka security kubwa watu wa software wanapata pesa zaidi nk.

Mfumo wa simu za android unatunza taarifa zote kwenye kifaa kama hdd ya kompyuta, ebu fikiria umeibiwa kompyuta mwizi akute umejitahidi umeweka security kwenye hdd si ataamua kuibadilisha na kuweka nyingine? Au akute komputa yako umeweke security ngumu kwenye bios si atatafuta saketi nyingine na maisha yaendelee?

Simu zilizonyingi za android zinatumia mifumo kama Lost mode, mdm, kg, anti theft nk ambapo simu ikiwa katika hali hiyo hauwezi kuiflash kwa mfumo wa kawaida, ila kuna mfumo wa programming kwa box za jtag na security zote zinatolewa na simu inatumika upya.

Kuna akaunti za kulock simu kama icloud, mi, oppo id na zinginezo ila bado watu wanazifungua na maisha yanaendelea.

Kuna wanaotumia signed IMEI files au OTP ila bado kuna solution ya kubadilisha. Ila kwa upande wa pili fikiria umenunua simu yako ya gharama kwa bahati mbaya security file zikafutika na ukapata null IMEI je, uitupe simu yako ukanunue nyingine kisa IMEI.

Kwa upande wa watengenezaji wanajitahidi kila wawezavyo ila kumbuka juhudi zao ndo ajira kwa wengine.

umeongea jambo zuri sana. ila iphone alichoweza kuzibiti kwenye simu yake ni kwamba mfumo unaoshikilia IMEI si mali yako ni mali ya iphone na ndio maana apple wanadata base ya imei wakicontrol .

kampuni nyingi zinaogopa kuwekeza hivi sababu ni kama unaendesha huduma namba za simu kwenye mtandao
 
umeongea jambo zuri sana. ila iphone alichoweza kuzibiti kwenye simu yake ni kwamba mfumo unaoshikilia IMEI si mali yako ni mali ya iphone na ndio maana apple wanadata base ya imei wakicontrol .

kampuni nyingi zinaogopa kuwekeza hivi sababu ni kama unaendesha huduma namba za simu kwenye mtandao
Ila yote hayo kuna watu wanatoa huduma za whitelist za imei za iPhone zilizo blacklisted.

iPhone alichofanikiwa ni kila part kuwa na storage hardware inayotunza taarifa husika tofauti na android.

Kwa mfano ukibadilisha storage kwenye iphone bado utapa imei, sn, icloud data nk kwenye hiyo simu wakati simu za android ukibadilisha storage utahitaji stock dump ya simu husika ili kupata sensitive data zote, tofauti na hapo itakulazimu kurepair
 
Ila yote hayo kuna watu wanatoa huduma za whitelist za imei za iPhone zilizo blacklisted.

iPhone alichofanikiwa ni kila part kuwa na storage hardware inayotunza taarifa husika tofauti na android.

Kwa mfano ukibadilisha storage kwenye iphone bado utapa imei, sn, icloud data nk kwenye hiyo simu wakati simu za android ukibadilisha storage utahitaji stock dump ya simu husika ili kupata sensitive data zote, tofauti na hapo itakulazimu kurepair

unapesa kuingizwa na unaweza kuvuja siri kama
ccm kamati kuu
 
Hard na factory reset inaweza maanisha kitu kimoja, hii ni kuifanya simu ifute vitu vyote irudi kama ilivyokuwa.

Kuflash ni kubadili operating system
iliokuja na simu kwa kuweka os mpya ama ile ile.

Kubadili imei ni jambo jengine kabisa, simu huja na no ambazo ni Unique ili kuwasiliana na mitandao ya simu zinaitwa Imei, huwa simu za wizi watu wanabadili wasidakwe. Ni kosa kisheria kuzibadili.
Mkuu yaani kwa android ukiwa na boksi kubwa kubwa hiyo simu inafutwa partition zoote na kuwekwa upya watu wamatoa hadi MDM ambao hawajui MDM ni zile simu za mkopo dlight au mkopa usipolipa wanafunga mimi mwenyew najifunza kuondoa hizo kwa simu za samsung nas brand kubwa ni rahisi kutoa
 
Back
Top Bottom