FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
u
taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam. ?
Kwanza kumbuka, katika Uislam hakuna "kuoa" kuna kuoana.
Hakuna wepesi wa kuoana kama katika Uislam.
Kuoana Kiislam ni mume, mke, walii, na mashahidi wawili. Mengine ni tafrija tu za harusi, hazina uhusiano na kuoana.
Kila mmoja anafanya tafrija yake apendavyo.
Hata Mmasai haendi kuoa bila sime na rungu na fimbo.
Hiyo ni 'symbol" ya kuonesha kuwa hata huku unakokuja utapata ulinzi. Isikupe shida.