Kwa bahati mbaya Eminem ni mzungu, hali hii imetufanya watu wenye asili ya kiafrika tuwe wagumu kukubali ukweli yeye ndie mfalme

Kwa bahati mbaya Eminem ni mzungu, hali hii imetufanya watu wenye asili ya kiafrika tuwe wagumu kukubali ukweli yeye ndie mfalme

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1661461925148.png


Yes, eminem kuna muda anasifia kwamba kuna marapa weusi flani walikuwa anawasikiliza, wanampa morali, n.k lakini hii haiondoi ukweli kwamba yeye ni mfalme, Messi anaweza kumsifia Maradona alikuwa bora lakini haiondoi ugalisia kwamba Messi ndie mfalme,

Laiti Eminem angekuwa mweusi angekubalika kirahisi sana na kuwa Muhamed Ali wa Hiphop.

Marapa weusi tayari wana platform kwa watu weusi kuwa na utayari wa kusikiliza ngoma zao , hata kama ngoma ni ya msanii underground basi ana ka platform tayari ka wasikilizaji weusi,,, kwa eminem maana hali ilikuwa tofauti hakuwa na hii platform, watu weusi walikuwa hawana shauku ya kusikiliza ngoma zake, ilimbidi Eminem atie kishindo ndio watu wageuke kumsikiliza, alianza na freestyle hizi miaka ya 90's alkuwaa anawachana bila huruma watu waliodiriki kuomba battle, haikuwa rahisi aisee , marapa weusi ni kama wachezaji wa Yanga / Simba tayari wana platform za mashabiki hata kama wana uwezo wa kawaida, Eminem ni kama George mpole msimu uliopita hakuwa na platform ila aliwika kwa kufunga magoli mengi.

kina 2pac na bigi walikuwa vizuri lakini naweza kusema vifo vyao viliwakuza zaidi majina yao, pac na biggie majina yao yalikuzwa maradufu kwa mabifu na vifo vyao, halafu bora 2pac hata alikuwa na nyimbo za kuelmisha jamii na kuleta mabadiliko chanya, bigi kwa pac hafui dafu labda vitu vichache.

Hakuna rapa anaetaka bifu na Eminem, Ukijaribu anakutungua juu juu ukifika chinii chali, Wasanii wakuwa tu kama kina The game, 50 cent walishaweka wazi hatua za kuchukua ukiwa na bifu na Eminem ni kumkwepa tu yaishe. Eminem hakuchani kwa mistari pekee, anakuharibia career moja kwa moja,,, wapo wapi kina Jarule, kina machine gun kelly, n.k.

Anaweza kuyachezea maneno kwa style za kutuacha mdomo wazi, freestyle anazicharaza, rap battles wapinzani wanakimbizwa, ni dubwana linaloikunja mistari kadri atakavyo, speed a kurap kasgaunja rekodi huko, freestyle ndo usipime
 
kuingia kwenye mziki uliofahamika kama ni wa watu weusi kwa Eminem aliekuwa mzungu na akafaikiwa kutikisa sio kitu kidogo aisee, nguvu ya ziada iihitajika arushe makombora ya kupata attention maana watu weusi wengi hawanaga muda kusikiliza ngoma za wazungu, alichofanya eminem mpaka asikilizwe sio cha kubezwa maana alikuwa hana platform kama marapa weusi ambao ngozi yao pekee ilikuwa platform kushawishi wasikilizaji wasikilize ngoma zake.
 
kuingia kwenye mziki uliofahamika kama wa watu weusi na Eminem akatikisa sio kitu kidogo aisee, nguvu ya ziada iihitajika arushe makombora ya kupata attention maana hata watu weusi wengi hawana muda kusikiliza ngoma za wazungu, alichofanya eminem mpaka asikilizwe sio cha kubezwa maana alikuwa hana platform kama marapa weusi ambao ngozi yao pekee ilikuwa platform kushawishi wasikilizaji wasikilize ngoma zake.
Mzee redio zote kubwa, distribution companies zote kubwa, Lebo zote kubwa, streaming platform zote kubwa zinamilikiwa na ngozi nyeupe....Kwa staili hyo Eminem angesgindwaje kuwa Overrated?
Ni kama saivi kina Lil pump, tekashi 69,Iggy azalea, wanabebwa na rangi zao.
 
Is there heaven for a G? Remember me
So many homies in the cemetery, shed so many tear

Andd fu$ck the world 'cause I'm cursed, I'm having visions
Of leaving here in a hearse, God can you feel me?
Take me away from all the pressure and all the pain
Show me some happiness again, I'm going blind
I spend my time in this cell, ain't living wellI know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial and when I die
Baptized in eternal fire I'll shed so many tears
No memories, just a misery
Painting a picture of my enemies killing me in my sleep


Kwangu Baada ya 2upac anayefuatia ni Eminem
FB_IMG_16614598371879368.jpg
 
I know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial and when I die
Baptized in eternal fire I'll shed so many tears
No memories, just a misery
Painting a picture of my enemies killing me in my sleep


Kwangu Baada ya 2upac anayefuatia ni Eminem
View attachment 2335001
1 Slim shady
2 Pac
3 Biggie
 
USIWALAZIMISHE WATU WENGI KUWAZA KWA KUFANANA SI KILA KITU KINAHITAJI KURA AU USHINDANI. TUJIFUNZE KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA.
 
Eminem ni best rapper lakini hawezi kuwa mfalme

Hili jambo mbona lilishaelezewa sana humu

Eminem ni dogo tu kwa jay z
 
1. Kanye West
2. Prof Jay
3. Fid Q
4. Mwana FA
5. 2 Pac
Kwenye ngoma ya kuitwa "forever" remix ya Drake, Kanye west alirudi kuandika mistari upya baada ya kusikia verse ya Eminem. Bado akamezwa kama walivyomezwa wenzie!
 
Kwenye ngoma ya kuitwa "forever" remix ya Drake, Kanye west alirudi kuandika mistari upya baada ya kusikia verse ya Eminem. Bado akamezwa kama walivyomezwa wenzie!
Si vibaya kuandika verse upya, inaonesha ni jinsi gani una uwezo wa kuandika mistari mikali tena na tena. Unapimaje kwamba verse ya Kanye imemezwa na ya eminem kwenye forever remix?
 
Back
Top Bottom