Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

Nenda Buguruni au Tandale, chumba elfu 20. Ukilipa kodi ya mwaka utamlala mama mwenye nyumba na familia yake yote mpaka mumewe.

Nunua kitanda cha sofabed cha 350 na godoro lake. Carpet la pvc kama elfu 30. Mtungi mdogo gas, subwoofer ya seapiano na tv ya alyon ya 43'. Hapo utakuwa Don la kitaa na change inabaki.
 
Tunapata shida kuchangia mada kama hizi kwa sababu kuna utoto mwingi hapa au chai ya kutosha.

Eeeh kumbe ndio nishachangia mada
 
Nenda Buguruni au Tandale, chumba elfu 20. Ukilipa kodi ya mwaka utamlala mama mwenye nyumba na familia yake yote mpaka mumewe.

Nunua kitanda cha sofabed cha 350 na godoro lake. Carpet la pvc kama elfu 30. Mtungi mdogo gas, subwoofer ya seapiano na tv ya alyon ya 43'. Hapo utakuwa Don la kitaa na change inabaki.
Kitanda na godoro ninavyo
 
Wataalam,

Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.

Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.

Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.

Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)

NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
LIPIA Tangazo
 
Ungetaka tukuamini ungeuliza tuu hilo swali lako hakukuwa na haja ya kujielezea sana wewe na aibu zako
 
Wataalam,

Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.

Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.

Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.

Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)

NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
Mental health is REAL
 
Kama kupangilia tu ghetto mpaka uulize humu hakika bado una uvulana ndani yako.
 
Back
Top Bottom