kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Afya ya akili ni tatizo kubwa sanA kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila wewe mwamba wewe
No hela yote ya January niliitumia Valentine'sTake home milioni mbili nyumba ya bure masaki unashindwa kulipia Luku unayotumia mwenyewe ba mkwe kaona hii hassara
Na wenye akili wameona hii ni chai
Mshahara wa January wote niliitumia Valentine'sSasa mkuu una mahahara 2m unaombaje luku lakini
Kitanda na godoro ninavyoNenda Buguruni au Tandale, chumba elfu 20. Ukilipa kodi ya mwaka utamlala mama mwenye nyumba na familia yake yote mpaka mumewe.
Nunua kitanda cha sofabed cha 350 na godoro lake. Carpet la pvc kama elfu 30. Mtungi mdogo gas, subwoofer ya seapiano na tv ya alyon ya 43'. Hapo utakuwa Don la kitaa na change inabaki.
Kitanda na godoro ninavyoMillion mbili haitoshi fanya chochote utaishia nunua pazia na godoro tu
Kwann mpk wadada?Ngoja akina dada waje wakuelekeze.
LIPIA TangazoWataalam,
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
We umeona tangazo gani apo?LIPIA Tangazo
Basi maisha ushayapatiaKitanda na godoro ninavyo
SafiKudadeki, kubwa sana iyo...nafikiria Hisense ya 43' laki6
Mental health is REALWataalam,
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
😂😂No hela yote ya January niliitumia Valentine's