Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann?Unasumbuliwa na Balehe Changa
Nenda mlimani cityWataalam,
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
Kiduku lilo amerudi tenaWataalam,
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
na wewe jiongeze basi, umepata pa kukaa bure basi hata luku unataka ulipiwe na matumizi ya umeme ni ya kwako wewe! Huo mshahara badala ya kusave na kuja kufanya la maana baadae (hata kujenga yako) unaanza kuhangaika kutaka kujimwambafy na wala uwezo huna.Yani iko hivi, nilikuwa nasoma USA nikakutana na Dem mbongo tukapendana, kumbe ni mtoto wa kigogo ...tuliporudi bongo akasema ana nyumba kubwa tu masaki hawezi kukaa mwenyew akaomba tuishi wote, nkawa nakaa nae kwake. Kumbe hiyo nyumba alipewa na baba ake.
Nilikuwa kujua baadae kumbe hati unasoma jina la baba ake
Sasaivi Binti aliondoka akaenda Ulaya kwa ishu zake binafsi,kaniacha apa naishi kwenye hii nyumba niliyojua yake kumbe ya baba mkwe
hivi wewe kweli unaweza kuishi mwenyewe kama huwezi hata kupanga bajeti ya mwezi? Unamalizaje fedha kwa event ya siku moja wakati hujakamilisha kulipia mahitaji muhimu?Mshahara wa January wote niliitumia Valentine's