Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

Unasumbuliwa na Balehe Changa
 
2m geto ongezq bajet kama unatak geto kali tv smatr inch 55 friji kitanda kizuri sofa simple za lethal, zuria, almost 6ml geto linakuwa la kibabe kodi self
 
Sikiliza wimbo wa ngwair ghetto langu
Zingatia

Kapeti manyoya stuli meza kioo,
Kitanda nane kwa kumi,
Marumaru mpaka kwenye choo,
Kimashine cha uzushi cha drycleaner,
Chumba cha Kati kuna studio ya kiaina,
Bafuni sink hakuna bali kuna jacuzzi,
Screen kila kona tunacheki tu movie,
Ungo decoder mwendo ni Dstv,
Zinga la Tv na deck ya DVD,
Bonge la mziki linatwanga tu CD,
Na hakuna feni full time ni AC,



View: https://youtu.be/lPO3i4d_x4I?feature=shared
 
Sofa _150k
Kitanda _ 180k
TV _ 160k
Cookies table_60k
Taa _ 30k
Godoro_150k
Henka ya nguo_46k
Sabufa_150k
Shuka_30k
Kapeti_65k
Pazia_45k
Dressing table_110k
Feni_30k
Kodi_70 per month

Total_ .......
 
Nyie ndio bado watoto wamama, hamjui lolote kuhusu life.
Eti mshahara mil 2 then unaomba LUKU, hv umetuchukuliaje we dogo?
 
Wataalam,

Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.

Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.

Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.

Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)

NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
Nenda mlimani city
 
Wataalam,

Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.

Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.

Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.

Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)

NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
Kiduku lilo amerudi tena
 
Msasani ipi hiyo au maeneo ya kule general tyre Kwa ndani ndani kule mvua zikinyesha maji yanaingia ndani ndo ghetto likikuwa
 
Yani iko hivi, nilikuwa nasoma USA nikakutana na Dem mbongo tukapendana, kumbe ni mtoto wa kigogo ...tuliporudi bongo akasema ana nyumba kubwa tu masaki hawezi kukaa mwenyew akaomba tuishi wote, nkawa nakaa nae kwake. Kumbe hiyo nyumba alipewa na baba ake.
Nilikuwa kujua baadae kumbe hati unasoma jina la baba ake

Sasaivi Binti aliondoka akaenda Ulaya kwa ishu zake binafsi,kaniacha apa naishi kwenye hii nyumba niliyojua yake kumbe ya baba mkwe
na wewe jiongeze basi, umepata pa kukaa bure basi hata luku unataka ulipiwe na matumizi ya umeme ni ya kwako wewe! Huo mshahara badala ya kusave na kuja kufanya la maana baadae (hata kujenga yako) unaanza kuhangaika kutaka kujimwambafy na wala uwezo huna.

Ikiwa unataka ghetto ya maana (msomi kutoka USA) angalau weka laki tatu na nusu hivi, kwani hizo la laki 2 na chini ya hapo siyo za hadhi yako.

Ama kweli vijana wa leo!!!!!!!
 
Mshahara wa January wote niliitumia Valentine's
hivi wewe kweli unaweza kuishi mwenyewe kama huwezi hata kupanga bajeti ya mwezi? Unamalizaje fedha kwa event ya siku moja wakati hujakamilisha kulipia mahitaji muhimu?

Kuna siku utailaza familia yako na njaa wewe.
 
Back
Top Bottom