SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Iko hivi, umbali mfupi kati ya Tanganyika na Unguja ni karibia Kilomita 40 ambazo ni sawa na kutoka pale Makutano ya Mataa ya Magomeni Hospitali mpaka Kibaha kwa Mathias.
Uchimbaji na Ukwanguaji wa kisasa wa miamba chini ya bahari kwa kutumia TUNNEL BORING MACHINE inayoweza kukwangua karibia Kilomita 30 kwa siku itachukua miaka kama mitatu (3) endapo hakutakuwa na changamoto.
Gharama za Ujenzi wa hili Handaki unakaribia bajeti ya Tanzania kwa mwaka mzima yaani Trillioni kama 38 hivi...
Kupanga ni Kuchagua,,, kipindi cha awamu ya 3 kuna Kiongozo aliwahi tuambia tule nyasi ili tununue Ndege ya Rais sasa mnaonaje tuwe wazalendo tukajipunja nusu bajeti kwa miaka miwili mfulululizo tujenge hili HANDAKI?
#ANGALIZO:
Sina Elimu ya Uhandisi wala Uchumi, mimi ni kama Darasa la Saba (7) nayeruhusiwa kubishana na Maprofesa Bungeni.
Uchimbaji na Ukwanguaji wa kisasa wa miamba chini ya bahari kwa kutumia TUNNEL BORING MACHINE inayoweza kukwangua karibia Kilomita 30 kwa siku itachukua miaka kama mitatu (3) endapo hakutakuwa na changamoto.
Gharama za Ujenzi wa hili Handaki unakaribia bajeti ya Tanzania kwa mwaka mzima yaani Trillioni kama 38 hivi...
Kupanga ni Kuchagua,,, kipindi cha awamu ya 3 kuna Kiongozo aliwahi tuambia tule nyasi ili tununue Ndege ya Rais sasa mnaonaje tuwe wazalendo tukajipunja nusu bajeti kwa miaka miwili mfulululizo tujenge hili HANDAKI?
#ANGALIZO:
Sina Elimu ya Uhandisi wala Uchumi, mimi ni kama Darasa la Saba (7) nayeruhusiwa kubishana na Maprofesa Bungeni.