Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Kwa used hii budget unapata xperia 5 II simu nzuri zaidi kwa hio budget sema around 330,000 ni sweet spot ila kama unaongea sana 320,000 pia waweza pata. Ina tick matumizi yako yote hayo. Sema display yake ni nyembamba halafu ndefu uangalie kwanza kama unaweza ishi na remote.

Kwa mpya redmi 12C sema camera ya kawaida sana. Ila storage, battery na display ukubwa vinakidhi mahitaji
 
Kwa used hii budget unapata xperia 5 II simu nzuri zaidi kwa hio budget sema around 330,000 ni sweet spot ila kama unaongea sana 320,000 pia waweza pata. Ina tick matumizi yako yote hayo. Sema display yake ni nyembamba halafu ndefu uangalie kwanza kama unaweza ishi na remote.

Kwa mpya redmi 12C sema camera ya kawaida sana. Ila storage, battery na display ukubwa vinakidhi mahitaji
VP kioo chake mkuu
 
kwamba kila mwezi unapewa GB 6🤔🤔
mbona kawaida kabisa, nakwambia hivo unafikiri nakutania aliyechukua hiyo simu ni juzi tu hapa, tar 29 October, Tigo shop, Mwanza.
Make alileta nimfanyie settings za kwanza.
 
Aisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm
Wakuu habari za muda huu,

Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.

Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.

2. Simu iwe na display nzuri.

3. Iwe na camera nzuri.

4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.

5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.

Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
 
Aisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm

Aisee maisha yanatofautiana aisee sie wengine tunawaza kuongeza land cruiser hardtop nyingine kuna lijitu lla shule linawaza simu tu,ok mkuu nipe hiyo 300k nikupe note 10 yangu plus matata GB 256,RAM 12 ni pm
kwamba simu sio muhimu.....land cruiser ndio muhimu zaidi🤔.

hata hivyo tunatofautiana vipaumbele na ndio maana wewe sio mimi na mimi sio wewe.
 
Njoo nikuuzie simu yangu

Vivo Y12s
RAM: 3GB
ROM: 32GB
Betri: 5000mAh
Weigh: 191g
Processor: Helio P35
Operating system: Funtouch OS 11
Screen : inch 6.51
Camera: Good Quality
Color: phantom black

Price 300000.
Used
 
Kwa used hii budget unapata xperia 5 II simu nzuri zaidi kwa hio budget sema around 330,000 ni sweet spot ila kama unaongea sana 320,000 pia waweza pata. Ina tick matumizi yako yote hayo. Sema display yake ni nyembamba halafu ndefu uangalie kwanza kama unaweza ishi na remote.

Kwa mpya redmi 12C sema camera ya kawaida sana. Ila storage, battery na display ukubwa vinakidhi mahitaji
Chief kuna simu Kali zaidi ya Samsung A04S Kwa 400,000/= Kwa bei hii.
 
kwamba simu sio muhimu.....land cruiser ndio muhimu zaidi[emoji848].

hata hivyo tunatofautiana vipaumbele na ndio maana wewe sio mimi na mimi sio wewe.
Unaweza kuwa na simu na usiwe na gari na maisha yakaenda safi kabisa, lakini uwe na gari halafu usiwe na simu hii ni ngumu kumeza.

Kwahiyo kuwa na gari kuna umuhimu lakini sio lazima sana.
Simu ni muhimu na lazima kwa maisha ya sasa
 
Back
Top Bottom