Same milimani 800,000
Tarime 1000,000
Morogoro 600,000
Karagwe 500,000
Kazi kusafirisha ndio balaaa ukikamatwa na polisi andaa kama 3 million ,tena ukishamalizana nao itelekeze maana wanatabia wa kukuzunguka mbele ya safari unakamatwa, ukikamatwa na DCEA habari yako kwisha kabisa
Ukitoboa umetoka,tena ukikutana na exporter mkubwa wananua kwa bei nzuri sana
ONYO: Kwa sheria za sasa Tanzania ukikamtwa na zaid ya kg 20 hupati dhamana,kifungo chake ni kinaweza kuwa ata Maisha jela
Kwa hiyo msidanganyike na bei mtaozea jela,Tutafute hela kwa njia halali Bangi madhara yake ni makubwa ktk jamii