Kwa bei hii ya bangi najitosa kuilima

Kwa bei hii ya bangi najitosa kuilima

Obama wa Bongo, Hii ni biashara nzuri kama sheria zitaweka iwe inalimwa kwa Ku export itasaidia kunyanyua hali za wakulima sana kuliko kutegemea mazao kama mbaazi ambayo kg 150
 
Mimi nina sehemu nzuri tu inafaa kupanda bangi ,lakini siwezi fanya hivo .Bangi si kitu kizuri kwenye jamii yetu.
 
Ukiweza kuuza nje unae mtonyo wa kushato angalia hapa [emoji116][emoji116]
Japan Illegall Price in usd 32.66 per one gram
Seoul Illegal Price in usd 32.44
Kyoto japan Illegal price in usd 29.65
Hong kong illegal p in usd 27.48
Zingine ntaleta kesho ila hamna sehemu utauza nchi za nje uuze Chini ya 2 dollars per Gram sasa gunia lina gram ngapi?


Acha kushawishi vijana waliomo huku na hawana ajira.


China mtu akikamatwa ananyongwa tu ,hiyo haipunduliwi na mtu .
 
Kwa marekani,watu wanaofanya kazi kwenye bustani za bangi hulipwa mpaka 1000$ kwa wiki
FD7E1956-CEA3-4117-801B-0FD2628C6FC1.jpeg
CBEE14FE-D409-4FC8-887C-EA3C2C74FA2C.jpeg
 
Ukiweza kuuza nje unae mtonyo wa kushato angalia hapa [emoji116][emoji116]
Japan Illegall Price in usd 32.66 per one gram
Seoul Illegal Price in usd 32.44
Kyoto japan Illegal price in usd 29.65
Hong kong illegal p in usd 27.48



Zingine ntaleta kesho ila hamna sehemu utauza nchi za nje uuze Chini ya 2 dollars per Gram sasa gunia lina gram ngapi?
illigall!!!
 
Inawezekana ikawa ndio Bei yake...gharama kubwa ni njisi ya kuifikisha sokoni!
 
Ukiweza kuuza nje unae mtonyo wa kushato angalia hapa [emoji116][emoji116]
Japan Illegall Price in usd 32.66 per one gram
Seoul Illegal Price in usd 32.44
Kyoto japan Illegal price in usd 29.65
Hong kong illegal p in usd 27.48



Zingine ntaleta kesho ila hamna sehemu utauza nchi za nje uuze Chini ya 2 dollars per Gram sasa gunia lina gram ngapi?
Ok.. je, Legal price Ni ngapi?
 
Nimemsikia mbunge mmoja anasema hapa Tanzania gunia moja la bangi ni Tsh. 4,000,000/= na huko Zimbabwe ni USD 7,000/=. Eka moja ya bangi unapata gunia 6.

Sasa kwa nini nife masikini wakati fedha za bangi ziko nje nje. Na isitoshe bangi haipati magonjwa wala hailiwi na wadudu.

Potelea mbali nikikamatwa ni ajali kazini!!
Kulima bangi sio tatizo, mziki ni kusafirisha
 
same milimani 800,000
tarime 1000,000
morogoro 600,000
karagwe 500,000
kazi kusafirisha ndio balaaa ukikamatwa na polisi andaa kama 3 million ,tena ukishamalizana nao itelekeze maana wanatabia wa kukuzunguka mbele ya safari unakamatwa, ukikamatwa na DCEA habari yako kwisha kabisa

ukitoboa umetoka,tena ukikutana na exporter mkubwa wananua kwa bei nzuri sana

ONYO: Kwa sheria za sasa Tanzania ukikamtwa na zaid ya kg 20 hupati dhamana,kifungo chake ni kinaweza kuwa ata Maisha jela
kwa hiyo msidanganyike na bei mtaozea jela,Tutafute hela kwa njia halali Bangi madhara yake ni makubwa ktk jamii
Morogoro Tsh 600,000 na kuisafirisha ni simple ndio maana ganja nyingi inayotumiwa Dar ni ya Morogoro
 
Same milimani 800,000
Tarime 1000,000
Morogoro 600,000
Karagwe 500,000
Kazi kusafirisha ndio balaaa ukikamatwa na polisi andaa kama 3 million ,tena ukishamalizana nao itelekeze maana wanatabia wa kukuzunguka mbele ya safari unakamatwa, ukikamatwa na DCEA habari yako kwisha kabisa

Ukitoboa umetoka,tena ukikutana na exporter mkubwa wananua kwa bei nzuri sana

ONYO: Kwa sheria za sasa Tanzania ukikamtwa na zaid ya kg 20 hupati dhamana,kifungo chake ni kinaweza kuwa ata Maisha jela

Kwa hiyo msidanganyike na bei mtaozea jela,Tutafute hela kwa njia halali Bangi madhara yake ni makubwa ktk jamii
Hizo Bei ni kwa junia, au ??
 
Haiwezi kushuka bei kwa kuwa itakuwa for export only!
Kinachaofanya bangi na madawa ya kulevya yawe na bei kubwa ni uharamu wake unaofanya yawe adimu. Hivi vitu vikihalalishwa vitakuwa havina bei kabisa. Kuna wataalam walishashauri kama kweli dunia inataka kuondoa tatizo la madawa ya kulevya basi yahalalishwe. Yakishuka bei na kutokuwa na faida yatapoteza umaarufu.
 
Kinachaofanya bangi na madawa ya kulevya yawe na bei kubwa ni uharamu wake unaofanya yawe adimu. Hivi vitu vikihalalishwa vitakuwa havina bei kabisa. Kuna wataalam walishashauri kama kweli dunia inataka kuondoa tatizo la madawa ya kulevya basi yahalalishwe. Yakishuka bei na kutokuwa na faida yatapoteza umaarufu.
Na vijana wengi watakuwa mataira na hasa katika nchi za kiafrika.
 
Same milimani 800,000
Tarime 1000,000
Morogoro 600,000
Karagwe 500,000
Kazi kusafirisha ndio balaaa ukikamatwa na polisi andaa kama 3 million ,tena ukishamalizana nao itelekeze maana wanatabia wa kukuzunguka mbele ya safari unakamatwa, ukikamatwa na DCEA habari yako kwisha kabisa

Ukitoboa umetoka,tena ukikutana na exporter mkubwa wananua kwa bei nzuri sana

ONYO: Kwa sheria za sasa Tanzania ukikamtwa na zaid ya kg 20 hupati dhamana,kifungo chake ni kinaweza kuwa ata Maisha jela

Kwa hiyo msidanganyike na bei mtaozea jela,Tutafute hela kwa njia halali Bangi madhara yake ni makubwa ktk jamii
Polisi wa Tanzania bwana,a nakukamata unampa rushwa anampigia simu afande mwenzake naye akukamate wakati wenzao wa Uganda ukitoa rushwa kwa askari mmoja ukikamatwa tena unamuambia nimeishatoa rushwa kwa mwenzako na mambo yanaisha!
 
Na vijana wengi watakuwa mataira na hasa katika nchi za kiafrika.
Hakuna sehemu imethibitika kuwa matumizi sahihi ya bangi yanasababisha ugonjwa wa akili, pombe inaongoza kwa kuharibu akili ila ajabu imeharalishwa!
 
Ukiweza kuuza nje unae mtonyo wa kushato angalia hapa [emoji116][emoji116]
Japan Illegall Price in usd 32.66 per one gram
Seoul Illegal Price in usd 32.44
Kyoto japan Illegal price in usd 29.65
Hong kong illegal p in usd 27.48



Zingine ntaleta kesho ila hamna sehemu utauza nchi za nje uuze Chini ya 2 dollars per Gram sasa gunia lina gram ngapi?
Duh msitushawishi jamani. Mbona pesa nyingi sana hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona hamtupi bei ya mbegu tuingine shamba wakiwa bize na corona sisi tutoboe maisha
 
Back
Top Bottom