MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Naongea na mabinti wa miaka 35 au zaidi. Huu umri kama upo single ni mkubwa kwa mwanadada hivyo kuna mambo lazima ukubaliane nayo kuwa hayapo upande wako kwa sasa. Ukishupaza shingo shauri yako.
Endapo umepata mwanaume aliye tayari kukuoa mwenye umri kukuzidi lazima ukubali kuwa hakutakuwa na mambo kama ya wapenzi wenye umri mdogo (under 30s).
Mtu mwenye umri huo hawezi kuwa na mambo ya kukutumia message za umekula? Umevaa nini? Au zingine za kitoto. Vinginevyo utafute Mario mwenye umri mdogo ili akupe attention za namna hiyo. Sisi watu wazima hatutaweza. Pia sisi huwa tunatuma message au kupiga mara 2 tu kwa siku. Asubuhi na jioni. Sio kila mara kuchat hovyo.
Kimsingi binti mwenye umri mkubwa achana na mambo ya kutaka attention kama binti wa miaka 22. Wewe muda wako ushapita.
Endapo umepata mwanaume aliye tayari kukuoa mwenye umri kukuzidi lazima ukubali kuwa hakutakuwa na mambo kama ya wapenzi wenye umri mdogo (under 30s).
Mtu mwenye umri huo hawezi kuwa na mambo ya kukutumia message za umekula? Umevaa nini? Au zingine za kitoto. Vinginevyo utafute Mario mwenye umri mdogo ili akupe attention za namna hiyo. Sisi watu wazima hatutaweza. Pia sisi huwa tunatuma message au kupiga mara 2 tu kwa siku. Asubuhi na jioni. Sio kila mara kuchat hovyo.
Kimsingi binti mwenye umri mkubwa achana na mambo ya kutaka attention kama binti wa miaka 22. Wewe muda wako ushapita.