Kwa binti mwenye umri mkubwa acha hizi tabia unapompata mwanaume mwenye nia ya kukuoa

Kudekezana na hizo za kuulizana ulizana nionavyo hata hazina umri bali ni jinsi tu mtakavyo kuwa mmejizowesha na huyo mtu mzima mwenzako toka mwanzo.

Mkijizowesha kuwasiliana mara mbili kama dawa za asubuhi na jioni basi mtaendelea vivyo hivyo na mkijizowesha kuwasiliana kila nafasi inapopatikana kwa kuulizana umekula, kupeana pole hiyo pia inaendelea siku zote.
 
Single mother again
 
Jezi namba 35 -40 zinahitaji wavae wataalamu na sio vijana wadogo manaa zinavaliwa kitaalamu na zinahitaji hekima Sana
 
Ila kisaikolojia wanasema women , wanahitaji attention Kama kupigwa pigiwa phone , messages n.k

Sasa mtoa mada si atakuwa anaenda against the nature of women , maana hata ile kutongozwa mwanamke nasikia anafurahia.
 
Ila kisaikolojia wanasema women , wanahitaji attention Kama kupigwa pigiwa phone , messages n.k

Sasa mtoa mada si atakuwa anaenda against the nature of women , maana hata ile kutongozwa mwanamke nasikia anafurahia.
Kweli kabisa usemalo Mkuu.

Mleta uzi yampasa alijue hili kuwa umri kwenda sio tatizo hata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…