Kwa Bongo hii ukiajiriwa ni sawa umesaini mkataba wa kuwa maskini daima

Kwa Bongo hii ukiajiriwa ni sawa umesaini mkataba wa kuwa maskini daima

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Hivi mtu analipwa laki 7, 8, 5, 6, 4,3 au milioni 1, 1.5 na milioni 2 huyo umaskini utamtaka vipi?

Usafiri na kula 20k per day hapo nyumbani 20 jumla 40 kwa siku. Hapo ukiweka, ada, umeme, ndugu, michango, dharura, mavazi n.k jibu linakuja NEGATIVE.

Wengine wanaamua kukopa walipwe 33% tu ya mshahara ili wajenge na kwa kukosa akili wanajisifu kuwa wanejenga.

Mtumishi mmoja wa umma alikuwa anajimwambafai kuwa nyumbani kwake kila Jumapili wanapika nyama.
Daaahh 😭 😭 😭 😭.

Mungu nipe akili niachane na kuajiriwa.
 
Utumwa sio kuajiriwa bali utumwa ni kupata kipato kidogo.

Kama haujaajiriwa na kula yako kwa siku ni 5000 bajeti unadhani utamzidi utumwa muajiriwa mwenye bajeti ya kula ya 20,000 kwa siku ?

Kuna watu wameajiriwa wanalipwa ishajara mikubwa na life lao la kawaida tu kitaa hovyo wanacholipwa wanafanyia maendeleo huku kazi zao zikiwa ni security.

Kuna wakati tukifikirie mziz wa tatizo hasa kwenye jambo hili la ajira BINAFSI NAONA UTUMWA NI ULE MSHAHARA KUWA MDOGO NA SIO AJIRA YENYEWE.
 
Unaweza pia ukawa na mtaji na ukafeli biashara sio mchezo.

Wengi ni wachuuzi tuu vipato vyao vidogo vidogo wanafanya tuu
hawana namna nyingine.

Mazingira ya biashara kwa bongo sio marahisi sana
inahitaji uwe stable, network kubwa n.k
Kabisa, na ukikodi ka flem ndo umeishaaaa...
Payment kibao, TRA, Lessen, usafi, Ulinzi, Ulinzi shirikishi, EFD, Mabango etc...
Bado Kodi ya pango.., na kama umemuweka mtu umlipe..
Ukitulia vizuri ufanye hesabu unaweza ukalia.
So Biashara ndogo ndogo inahitaji kupambana Sana na kumshinda Pepo wa tamaa hahaa!
 
Hello!

Hivi mtu analipwa laki 7, 8, 5, 6, 4,3 au milioni 1, 1.5 na milioni 2 huyo umaskini utamtaka vipi?

Usafiri na kula 20k per day hapo nyumbani 20 jumla 40 kwa siku. Hapo ukiweka, ada, umeme, ndugu, michango, dharura, mavazi n.k jibu linakuja NEGATIVE.

Wengine wanaamua kukopa walipwe 33% tu ya mshahara ili wajenge na kwa kukosa akili wanajisifu kuwa wanejenga.

Mtumishi mmoja wa umma alikuwa anajimwambafai kuwa nyumbani kwake kila Jumapili wanapika nyama.
Daaahh 😭 😭 😭 😭.

Mungu nipe akili niachane na kuajiriwa.

Embu acha mbwembwe za mtandaoni mtu anayetafuta na mwenye akili zake hawezi kutumia elfu20 kwa usafiri na kula kila siku , na kila siku hawezi kuacha elfu 20 nyumbanj kila siku.
Achenye kudanga watu nyie washamba wa mitandaoni.
Mimi nyumbani kwangu familia yangu ndogo shopping weekend kama kuna upungufu wa vitu sana sana mboga nyanya vitungu na vitu vidogovidogo na kusaga mahindi kama unga wa ugali umeisha.
Naachaga hela ya emergence tu ambayo inaweza ikakaa hata zaidi ya wiki haijatumika kwani kunakuwa hakuna emergence.
Ukiona kila siku unaacha hela ya kula nyumbani ujue unaishi maisha ya kilocal sana.
Mbona na kuna hoteli nzuri mjini zinauza vyakula vizuri havizidi elfu 3.
Kwani usafiri mtu akiamua kujihimu asubuhi anapanda daladala au mwendo kasi vizuri bila msongamano.
Embu acheni mbwembwe za kijinga ndio maana mnaendelee kukwama kwenye lindi la umaskini.
Uwe umeajiriwa au umejiajiri ukifata mfano wa matumizi ya mtoa post unaweza ukajikuta upo kwenye vicious circle ya maisha duni
 
Back
Top Bottom