Hivi hiki chama mnakielewa kina falasafa ipi ya kueleweka.
Ukiitafsiri CCM ilivyo ukiwa umetulia kabisa utaona kua haitokuja kutokea CCM ilete maendeleo hata siku moja,
Rushwa iliyokithiri ni kansa kubwa inayosababishwa na CCM.
Hata watumishi wa umma kama walimu, manesi, maafisa kilimo, polisi wanalipwa mishahara wasiyostahili, na hawapewi stahiki zao kwa sababu CCM wanaongoza kutapanya pesa za nchi hii.
Hawana tena mipango ya maendeleo yaani kila kitu wameshashindwa, elimu bora hakuna, kwenye utalii wako hoi, ulinzi wa rasilimali ndio basi tena wanagawa tu bila kuangalia kesho ya wajukuu wetu itakuaje na vizazi vijavyo itakuaje.
Hivi mtu mwenye akili timamu hawa jamaa mnawaelewa kweli
Ukiitafsiri CCM ilivyo ukiwa umetulia kabisa utaona kua haitokuja kutokea CCM ilete maendeleo hata siku moja,
Rushwa iliyokithiri ni kansa kubwa inayosababishwa na CCM.
Hata watumishi wa umma kama walimu, manesi, maafisa kilimo, polisi wanalipwa mishahara wasiyostahili, na hawapewi stahiki zao kwa sababu CCM wanaongoza kutapanya pesa za nchi hii.
Hawana tena mipango ya maendeleo yaani kila kitu wameshashindwa, elimu bora hakuna, kwenye utalii wako hoi, ulinzi wa rasilimali ndio basi tena wanagawa tu bila kuangalia kesho ya wajukuu wetu itakuaje na vizazi vijavyo itakuaje.
Hivi mtu mwenye akili timamu hawa jamaa mnawaelewa kweli