Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaJF!
Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza vile vile kuitangaza nchi yetu kote duniani ili ulimwengu uweze kuitambua Tanzania.
Sasa katika suala zima la kuisimamia hii sekta, na kwa kasi ambayo CHADEMA wanayo katika kutwaa dola, ni vyema kama wananchi tukijadili uwezo wa watu wanaopewa dhamana katika usimamizi wa sekta zetu, kwani wote tunafahamu umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo kokote pale duniani.
Leo namleta kwenu Mhe Msigwa ambae ni mbunge wa jimbo la Iringa mjini na pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii, lakini pia mchungaji Msigwa ndiye anae tarajiwa kupewa dhamana ya kuongoza wizara hii nyeti ya maliasili na utalii endapo CHADEMA itatwaa dola, sasa kwa CV yake ndugu Msigwa na majukumu anayo tarajiwa kukabidhiwa, sidhani kama kweli atamudu katika utendaji.
kwani huu umaarufu alioupata wa kuropoka kuwa Kinana ni jangili sio kigezo toshelezi kusema Mchungaji Msigwa ni mtu sahihi kwenye sekta ya maliasili na utalii, CHADEMA tupeni mtu mwingine Msigwa ni mwepesi mno!!
CV ya mchungaji Msigwa ni hii hapa;
School Name/Location Course/Degree/Award All Africa Bible College, South Africa Sangu Secondary School Magoye Primary School
[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]
[TD="align: center"]B.Ministry[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name The Parliament of Tanzania Member - Iringa Urban Constituency Vineyard Church National Coordinator
[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
| Salutation | Honourable |
| First Name: | Osmund |
| Middle Name: | Joseph |
| Last Name: | Mbilinyi |
| Constituent: | Mbeya Mjini |
| Political Party: | CHADEMA |
| Office Location: | Box 815, Mbeya |
| Office Phone: | +255 716 627344 |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | jmbilinyi@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | 1 May 1972 |
| Sabasaba Secondary School |
| Mbeya Secondary School |
| Sisimba Primary School |
| Sokoine Primary School |
| Ligula Primary School |
| Company Name | |
|---|---|
| The Parliament of Tanzania | Member - Mbeya Urban Constituency |
| BP Tanzania Limited | Security Officer |
| Self Employed | Celebrity |
| CHADEMA | Member |
Hivi kwanini wabunge wengi wa CHADEMA hawana shahada?
Hivi tungesema leo kwenye katiba mpya wabunge angalau wawe na shahada hawa wabunge wa CHADEMA wangechomokea wapi?
Angalizo; Elimu ni muhimu na ndio maana watoto wetu wakipata sifuri tunailaumu serikali! na hatutaki hao walio pata sifuri watuongozee nchi yetu.
mbona hii CV haituambii kuanzia mwaka 1986 mpaka 1999 ndugu Msigwa alikuwa akifanya nini au kujishughulisha na nini? hiki kipindi cha miaka 13 kwanini kimeachwa gizani????
ukiangalia anavyoongea na elimu yake vinafanana hana hoja zaidi ya kuropoka na kuongea kwa hasira kichwa chake kiko wazi kashika tu hivyo vifungu vya biblia na maneno ya magazetini.
moja ya sababu ni mfumo mbaya wa elimu wa ccm tunahitaji sehemu ya kuanzia sidhani kama tunahitaji graduate kujua kuwa hospital 1. hakuna dawaHivi kwanini wabunge wengi wa CHADEMA hawana shahada?
Hivi tungesema leo kwenye katiba mpya wabunge angalau wawe na shahada hawa wabunge wa CHADEMA wangechomokea wapi?
Angalizo; Elimu ni muhimu na ndio maana watoto wetu wakipata sifuri tunailaumu serikali! na hatutaki hao walio pata sifuri watuongozee nchi yetu.
mkuu, tukiunganisha na hii sijui itakuwaje
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
Salutation Honourable First Name: Osmund Middle Name: Joseph Last Name: Mbilinyi Constituent: Mbeya Mjini Political Party: CHADEMA Office Location: Box 815, Mbeya Office Phone: +255 716 627344 Ext.: Office Fax: Office E-mail: jmbilinyi@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth 1 May 1972
[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]
[TD="width: 42%, align: center"] Member picture[/TD]![]()
[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Sabasaba Secondary School Mbeya Secondary School Sisimba Primary School Sokoine Primary School Ligula Primary School
[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]
[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name The Parliament of Tanzania Member - Mbeya Urban Constituency BP Tanzania Limited Security Officer Self Employed Celebrity
[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
CHADEMA Member
[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[TD="align: center"]2010[/TD]
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!
Mh kaaazi kwelikweli!!!
| Salutation | Honourable |
| First Name: | Freeman |
| Middle Name: | Aikaeli |
| Last Name: | Mbowe |
| Constituent: | Hai |
| Political Party: | CHADEMA |
| Office Location: | P.O. Box 3070, Moshi |
| Office Phone: | |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | fmbowe@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | |
| Secondary School |
| Company Name | |
|---|---|
| Bank of Tanzania | Bank Officer |
Hivi CHADEMA kuna watu wenye CV za maana ukimuondoa ZITTO na PROF. SAFARI? Naona maseminary tu!
hahahaha...yani Sugu kumbe ni kichwa maji hivyo? cv kubwa kumbe ni shule ya msingi na sekondari tena o-level?
WanaJF!
Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza vile vile kuitangaza nchi yetu kote duniani ili ulimwengu uweze kuitambua Tanzania.
Sasa katika suala zima la kuisimamia hii sekta, na kwa kasi ambayo CHADEMA wanayo katika kutwaa dola, ni vyema kama wananchi tukijadili uwezo wa watu wanaopewa dhamana katika usimamizi wa sekta zetu, kwani wote tunafahamu umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo kokote pale duniani.
Leo namleta kwenu Mhe Msigwa ambae ni mbunge wa jimbo la Iringa mjini na pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii, lakini pia mchungaji Msigwa ndiye anae tarajiwa kupewa dhamana ya kuongoza wizara hii nyeti ya maliasili na utalii endapo CHADEMA itatwaa dola, sasa kwa CV yake ndugu Msigwa na majukumu anayo tarajiwa kukabidhiwa, sidhani kama kweli atamudu katika utendaji.
kwani huu umaarufu alioupata wa kuropoka kuwa Kinana ni jangili sio kigezo toshelezi kusema Mchungaji Msigwa ni mtu sahihi kwenye sekta ya maliasili na utalii, CHADEMA tupeni mtu mwingine Msigwa ni mwepesi mno!!
CV ya mchungaji Msigwa ni hii hapa;
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
All Africa Bible College, South Africa
B.Ministry
1999
2004
GRADUATE
Sangu Secondary School
O-Level Education
1983
1986
SECONDARY
Magoye Primary School
Primary Education
1976
1982
PRIMARY
[TH="width: 13%"] End Date
[/TH]
[TH="width: 10%"] Level
[/TH]
Company Name
Position
From
To
The Parliament of Tanzania
Member - Iringa Urban Constituency
2010
2015
Vineyard Church
National Coordinator
2005
2010
[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
| Salutation | Honourable |
| First Name: | John |
| Middle Name: | John |
| Last Name: | Mnyika |
| Constituent: | Ubungo |
| Political Party: | CHADEMA |
| Office Location: | Box 14145, Dar Es Salaam |
| Office Phone: | +255 754 694553/+255 784 222222 |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | jmnyika@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | |
Dah na hii ya Mkubwa wao? sijui hiki chama wanakipeleka wapi!
Member of Parliament CV
Salutation Honourable First Name: Freeman Middle Name: Aikaeli Last Name: Mbowe Constituent: Hai Political Party: CHADEMA Office Location: P.O. Box 3070, Moshi Office Phone: Ext.: Office Fax: Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth
[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]
[TD="align: center"] Member picture[/TD]![]()
[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Secondary School
[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]
[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
Company Name Bank of Tanzania Bank Officer
[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!