Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Status
Not open for further replies.
Dogo unatumia kitwanga au?? rekebisha kwanza kichwa cha habari.
 
Kwani uliambiwa ni degree ya nini? Yeye anayo degree ya uchungaji. Uchungaji degree ni mwaka 1.
 
Leta ushahidi Mr. zama za kupost bila ushahidi zilipitwa na wakati...
 
Majuzi niliyoona kwenye luninga ya Kenya KTN mahojiano ya Mheshimiwa Goodbless Lema na Mchungaji Msigwa kwa Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Katika mahojiano hayo ilifikia mwandishi aliyekuwa akiwahoji kushangaa jinsi walivyokuwa wakijibu maswali kwa kiwango cha chini kabisa.
Ningependa kujua elimu ya hawa Waheshimiwa inakidhii kuwa wabunge .
 
Naanza kuelewa maana ya kauli yake ya akili ndogo kuongoza akili kubwa.

IMG-20171218-WA0002.jpg

IMG-20171218-WA0001.jpg
 
Nimeenda website ya bunge nikakuta upolo mtu kwa mtu anayetaka kuwa rais hii ni chukizo kubwa sana ,nikaona nije humu labda kuna watu wanajau huyu jamaa alipitia wapi kabla ya kuwa mbunge

Elimu yake

Je, ameshawahi kutumikia taifa katika taasisi yoyote ya umma?

Ana uzoefu gani wa kiuongozi nje ya Ubunge na Uchungaji?

Naomba mwenye CV ya mtia nia huyu wa CHADEMA

USSR
 
Mwenye kufahamu kiwango cha juu kabisa cha elimu ya Msigwa, Peter tafadhali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom