Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Status
Not open for further replies.
Jamani Msigwa Hana lolote na sio kwake peke yake kwani almost 89% ya viongozi wa CDM hawana degree ama degree zao za kuungaunga. Dr Slaa elimu yake ni ya kuungaunga na udr wake ni wa mashaka makubwa. Mbowe ndio kilaza namba Moja maana ni form four failure. Mnyika na yeye Mzee wa evening class Huku Sugu ndio darasa la Saba kabisa. Msigwa anajua uchungaji lakini shule hamna kabisa. Hawa ni majuha kabisa

juha mamako hao magamba wenye hzo digre wana impact gan kwa taifa zaid ya kufuja na kuiba rasilimal zetu,kwa taarfa yako uongoz ni hekima na busara ikiwa ni pamja na uzalendo mbona wakat nch inapata uhuru kwenye tanu ni Nyerere pekee labda na wachache wengne ndio walikua na shule kdogo hayo mbona hujiulz unabak chadma chadma?mmekalia kut kavu subirin umbwa nie.
 
Hivi kwanini wabunge wengi wa CHADEMA hawana shahada?

Hivi tungesema leo kwenye katiba mpya wabunge angalau wawe na shahada hawa wabunge wa CHADEMA wangechomokea wapi?

Angalizo; Elimu ni muhimu na ndio maana watoto wetu wakipata sifuri tunailaumu serikali! na hatutaki hao walio pata sifuri watuongozee nchi yetu.

Mkuu huoni wanavoropoka na wasivyokuwa na adabu
 
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!

Kikwete ana shahada lakini hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni maskini na bado akakacha mdahalo!!
 
Jamani kuna mtu anisaidie cv ya deo sanga aka jah people naskia ni mkali Sana pale magambani
 
Hao wa chama fulani wenye elimu wamefanya lipi? Kuna maprof kila wizara wanazopelekwa hamna kitu sasa tusemeje?
 
Kikwete ana shahada lakini hajui kwa nini nchi anayoiongoza ni maskini na bado akakacha mdahalo!!

Hiyo haimaanishi wengine wenye shahada hawajui kwanini nchi ni maskini, vilevile hiyo isitoe fursa kwa wasio na shahada kupewa mamlaka mazito.
 
Hao wa chama fulani wenye elimu wamefanya lipi? Kuna maprof kila wizara wanazopelekwa hamna kitu sasa tusemeje?

Mkuu, kwahiyo tuwasusie wenye elimu ama unataka kusemaje? kama unataka hawa wenye elimu ya o-level kukabidhiwa mamlaka ya kuongoza wizara sema!
 
asanteni... kwa kuendelea tufumbua macho......
 
Kwenye kuisaka dola hakuna elimu ndugu mwana CCM....ila kwenye kuendesha dola yes....Watu wa kufanya hivo wapo wengi tu...........hebu angalia katika baraza hili la kwanza la Tanganyika na unionyeshe wale waasisi wa kupigania uhuru wako wangapi?
Yu wapi BIBI TITI.....SAADAN KANDORO......AKINA SYKES?

wpfd728139_05.jpg

Hivi hapa wenye Shahada na Diploma ni wangapi? Ni yupi Daktari au Profesa hapa?
Lakini hawahawa ndiyo waliomtetemesha Mkoloni mpaka akaamua kuwakabidhi nchi!!!Kuna majitu mapumbavu ya CCM yanafikiri kuwa na Elimu ya Chuo Kikuu ndiyo kujua kutawala! Nonsense. Kwa taarifa ni kwamba kuna WATU WANAZALIWA WAKIWA NA VIPAWA VYA UONGOZI HAIJALISHI WAMEKWENDA SHULE AU LA!!!
 
WanaJF!

Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza vile vile kuitangaza nchi yetu kote duniani ili ulimwengu uweze kuitambua Tanzania.

Sasa katika suala zima la kuisimamia hii sekta, na kwa kasi ambayo CHADEMA wanayo katika kutwaa dola, ni vyema kama wananchi tukijadili uwezo wa watu wanaopewa dhamana katika usimamizi wa sekta zetu, kwani wote tunafahamu umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo kokote pale duniani.

Leo namleta kwenu Mhe Msigwa ambae ni mbunge wa jimbo la Iringa mjini na pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii, lakini pia mchungaji Msigwa ndiye anae tarajiwa kupewa dhamana ya kuongoza wizara hii nyeti ya maliasili na utalii endapo CHADEMA itatwaa dola, sasa kwa CV yake ndugu Msigwa na majukumu anayo tarajiwa kukabidhiwa, sidhani kama kweli atamudu katika utendaji.

kwani huu umaarufu alioupata wa kuropoka kuwa Kinana ni jangili sio kigezo toshelezi kusema Mchungaji Msigwa ni mtu sahihi kwenye sekta ya maliasili na utalii, CHADEMA tupeni mtu mwingine Msigwa ni mwepesi mno!!

CV ya mchungaji Msigwa ni hii hapa;

School Name/Location Course/Degree/Award
All Africa Bible College, South Africa
Sangu Secondary School
Magoye Primary School

[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]B.Ministry[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Iringa Urban Constituency
Vineyard ChurchNational Coordinator

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]

Mhe A-Z pole kwa kumaliza. Mch Msigwa amehenyea B.Ministry kwa miaka 5. Je unajua ni masomo gani na mpaka kiwango gani kuipata hiyo B.Ministry? Waziri siyo mtaalamu bali kiongozi. Anao wataalamu lukuki + personal advisers. Ni upeo wake wa kuongoza unmwezesha kumudu au kuvunda akiwa waziri.
 
Hivi hapa wenye Shahada na Diploma ni wangapi? Ni yupi Daktari au Profesa hapa?
Lakini hawahawa ndiyo waliomtetemesha Mkoloni mpaka akaamua kuwakabidhi nchi!!!Kuna majitu mapumbavu ya CCM yanafikiri kuwa na Elimu ya Chuo Kikuu ndiyo kujua kutawala! Nonsense. Kwa taarifa ni kwamba kuna WATU WANAZALIWA WAKIWA NA VIPAWA VYA UONGOZI HAIJALISHI WAMEKWENDA SHULE AU LA!!!

Hao watu wenyewe vipawa vya kuongoza pasipo kwenda shule, Msigwa nae yupo? Utamfananisha Msigwa na Madiba? Utamfananisha Msigwa na Washington? kuwa serious wewe!!!
 
PETER MSIGWA:
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
All Africa Bible College, South Africa B.Ministry 1999 2004 GRADUATE
Sangu Secondary School O-Level Education 1983 1986 SECONDARY
Magoye Primary School Primary Education 1976 1982 PRIMARY


1. Graduate in B. Ministry. Nisaidieni hiyo ni kozi gani au ndo ile aliyosema bungeni kuwa alisomea kuombea Wazinzi? kama jibu ni ndiyo kwa nini CHADEMA waliamua kumuchukua, kwa sababu CHAMA kina wazinzi sana au?


2. Miaka 13 bada ya kumaliza kidato cha nne ndo akaenda kusoma hiyo B.Ministry, inawezekana kweli mtu akamaliza kidato cha nne halafu akaenda kusomea shahada tena baada ya kukaa muda mrefu nyumbani?


3. Kweli nimeamini maneno ya huyu jamaa kuwa akili NDOGO inaongoza akili KUBWA. hivi mtu kama huyu anawezaje kuongoza watu wenye akili kubwa? ina maana mkoa wa iringa hauna watu au imekuwa hivyo ili maneno yake yatimie?
 
Na yule maji marefu lini utaomba kufahamishwa kuhusu Elimu yake?
 
PETER MSIGWA:
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
All Africa Bible College, South Africa B.Ministry 1999 2004 GRADUATE
Sangu Secondary School O-Level Education 1983 1986 SECONDARY
Magoye Primary School Primary Education 1976 1982 PRIMARY


1. Graduate in B. Ministry. Nisaidieni hiyo ni kozi gani au ndo ile aliyosema bungeni kuwa alisomea kuombea Wazinzi? kama jibu ni ndiyo kwa nini CHADEMA waliamua kumuchukua, kwa sababu CHAMA kina wazinzi sana au?


2. Miaka 13 bada ya kumaliza kidato cha nne ndo akaenda kusoma hiyo B.Ministry, inawezekana kweli mtu akamaliza kidato cha nne halafu akaenda kusomea shahada tena baada ya kukaa muda mrefu nyumbani?


3. Kweli nimeamini maneno ya huyu jamaa kuwa akili NDOGO inaongoza akili KUBWA. hivi mtu kama huyu anawezaje kuongoza watu wenye akili kubwa? ina maana mkoa wa iringa hauna watu au imekuwa hivyo ili maneno yake yatimie?

Unakaa NYAGWA..!????
 
Weka ya komba na mjumbe wa nec khadja kopa. Kenya hawana A-level kwani hakuna degree kule? Kikwete mweny gentleman sasa ni dr. hushangai?
 
Mambo kama haya yanakidhalilisha CCM, wewe ni mpuuzi mkubwa sana kwani wenye chama wanazunguka kueneza sera za chama lakini wewe una post ujinga ukidhani unawananga CHADEMA kumbe unawafanya watu wakione CCM kama chama cha kinachopoteza maadili kwa kasi.Shame on you!
 
Kuwa na degree kadhaa siyo uongozi.wangapi tunawaona wana veti mpaka mpaka vinajaa mkoba halafu hatuoni cha maana kwenye uongozi. Kwa pastor kajitambua na kuona hizo degree zao ni za kufaulu tu mitihani lakini in real life ni weupe
 
Wale wana chadema kindakindaki naomba mbisaidie CV ya huyu mbunge machachari mch.Peter Simon Msigwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom