Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Status
Not open for further replies.
WanaJF!

Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza vile vile kuitangaza nchi yetu kote duniani ili ulimwengu uweze kuitambua Tanzania.

Sasa katika suala zima la kuisimamia hii sekta, na kwa kasi ambayo CHADEMA wanayo katika kutwaa dola, ni vyema kama wananchi tukijadili uwezo wa watu wanaopewa dhamana katika usimamizi wa sekta zetu, kwani wote tunafahamu umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo kokote pale duniani.

Leo namleta kwenu Mhe Msigwa ambae ni mbunge wa jimbo la Iringa mjini na pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii, lakini pia mchungaji Msigwa ndiye anae tarajiwa kupewa dhamana ya kuongoza wizara hii nyeti ya maliasili na utalii endapo CHADEMA itatwaa dola,
Rasimu ya katba inasemaje? Na ww kumbe co msomaji eeeh! Rasimu imekataa mbunge kuwa wazr, upo? Co unakurupuka tu.
 
Hao wabunge wenu/viongozi wenu wenye Shahada wame2fksha wap? Sumaye alikuwa wazr mkuu acye na shahada lkn uliona kaz alyoifanya? Hv huwa mnafkria kwa ku2mia nn? Agustino Mrema hakuwa na Shahada lakn aliiongoza wizara ya mambo ya ndan kwa ufanic wa hal ya juu kuliko hata hao madoctor wenu. Achen Umburura.

Unajua ukiwa unaandika uwe unashirikisha kichwa chako, napata shaka na kiungo unachotumia kukifikirisha unapokuwa unaandika. Unasema eti Mrema aliweza kuongoza wizara ilhali hakuwa na shahada, hivi unaeza kufananisha uhalifu wa kupindi cha 90s na kipindi cha sasa??? mlete Mrema wako sasa hivi uone atakavyo tokota. Elimu ina nafasi kubwa katika kuhakikisha mtu ana discharge duties zake effectively, tusipende kupotosha hapa kisa tu ametajwa Msigwa! wakatii humu humu jukwaani mmekuwa mkihoji elimu ya Nape, Mulugo n.k
 
WanaJF!

Hapa nchini Tanzania kuna sekta fulani fulani ambazo ni nyeti na zinapaswa kupewa uangalizi wa kina ili ziweze kuleta tija kwa taifa. Mfano tu wa sekta hizo ni sekta ya maliasili na utalii, sekta hii kama ikiweza kusimamiwa vizuri, sio tu itaipatia serikali mapato yake, bali itaweza vile vile kuitangaza nchi yetu kote duniani ili ulimwengu uweze kuitambua Tanzania.

Sasa katika suala zima la kuisimamia hii sekta, na kwa kasi ambayo CHADEMA wanayo katika kutwaa dola, ni vyema kama wananchi tukijadili uwezo wa watu wanaopewa dhamana katika usimamizi wa sekta zetu, kwani wote tunafahamu umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo kokote pale duniani.

Leo namleta kwenu Mhe Msigwa ambae ni mbunge wa jimbo la Iringa mjini na pia ni waziri kivuli wa maliasili na utalii, lakini pia mchungaji Msigwa ndiye anae tarajiwa kupewa dhamana ya kuongoza wizara hii nyeti ya maliasili na utalii endapo CHADEMA itatwaa dola, sasa kwa CV yake ndugu Msigwa na majukumu anayo tarajiwa kukabidhiwa, sidhani kama kweli atamudu katika utendaji.

kwani huu umaarufu alioupata wa kuropoka kuwa Kinana ni jangili sio kigezo toshelezi kusema Mchungaji Msigwa ni mtu sahihi kwenye sekta ya maliasili na utalii, CHADEMA tupeni mtu mwingine Msigwa ni mwepesi mno!!

CV ya mchungaji Msigwa ni hii hapa;

School Name/Location Course/Degree/Award
All Africa Bible College, South Africa
Sangu Secondary School
Magoye Primary School

[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]B.Ministry[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Iringa Urban Constituency
Vineyard ChurchNational Coordinator

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]


Nilikuwa najua ana CV ya kutisha kwa jinsi alivyomzungumzaji mzuri bungeni huyu jamaa kumbe hata A level hakusoma?Kweli kwenye siasa Elimu haina nafasi sana ni juhudi zako tu za kushawishi walalahoi. Na hiyo B.MINISTRY ndiyo nini?
 
hivi kunakilaza zaidi ya yule aliyepata zero kidato cha sita.
Wakati watu wazima wanaongelea Akili, na wewe unaongelea mitihani nakufananisha na mtoto wa mwaka mmoja.
Look around you, dont be like a damn robot.
Hata mkiwekewa picha hamuelewi what the people of this country are going through!
What the hell are you people!!
 
Nilikuwa najua ana CV ya kutisha kwa jinsi alivyomzungumzaji mzuri bungeni huyu jamaa kumbe hata A level hakusoma?Kweli kwenye siasa Elimu haina nafasi sana ni juhudi zako tu za kushawishi walalahoi. Na hiyo B.MINISTRY ndiyo nini?
Kama hiyo huijui basi wewe ndio huwezi hata kuwa mjumbe wa kamati ya shule ya msingi.
 
Hao maprofesa na wenye PhD hapo CCM wameifanyia nini nchi hii zaidi ya uoga,kutokuthubutu.rushwa na kuila nchi kwa kwenda mbele.?CV ya mtu its not a big deal kama unavydhani....Uzalendo kwanza!
 
msigwa nyerereism ypo kwa maslai ya wakatoriki


Nianze tu kwa kusema Msigwa hawezi kuwa pale alipo kwa maslahi ya Wakatoliki kwa kuwa mbunge ni wa wananchi wote. Hilo la kwanza. Lakini la pili ni kwamba Msigwa siyo Mkatoliki na kwa sababu hiyo dhana iliyojengwa haina mashiko. Baada ya maelezo hayo ninaomba kukuuliza wewe Salumu Mitema swali. Ni nani yuko kwa maslahi ya Waislamu? Je, kama kila mbunge au kiongozi akiwa mahali kwa maslahi ya dini yake wapagani nani atawasemea? Jamani ndugu zangu, mtu kumudu stadi za kUSOMA, KUANDIKA NA KUHESABU (KKK) hakumpi uwezo wa kuchangia kwenye jukwaa la JF. Hapo kwenye red siyo Kagame, Kabuta na Kenyatta.
:cheer2:
 
Hao maprofesa na wenye PhD hapo CCM wameifanyia nini nchi hii zaidi ya uoga,kutokuthubutu.rushwa na kuila nchi kwa kwenda mbele.?CV ya mtu its not a big deal kama unavydhani....Uzalendo kwanza!

Sidhani kama hii ni hoja. Kama maprofessor wa serikali ya CCM hawana tija, unafikiri kuwa hata wataalam wa CHADEMA watakuwa hivyo?

Au unataka kumaanisha kuwa CHADEMA hakuna wasomi wanaoweza kukamata nafasi nyeti na wakafanya vizuri zaidi ya wasomi wa CCM?!
 
du mkuu kumbe chadema kunamagarasa hivi sasa kwa elimu hizi tegemeeni vurugu mwanzo mwisho wataongea nini sasa.

Kumwita mtu garasa/garasha inategemea na unavyo define, mbona hawa ndio wanaokimbiza? Serikali yote badala ya kufikiria maendeleo inafikiria kuiua CHADEMA ambayo wewe unasema ina magarasa, hata sifa mojawapo ya kupandishwa cheo serikali au ili uchaguliwe kua kiongozi magambani, unesha jinsi gani ulivyo au utakavyo iua CHADEMA hiyo yenye magarasa, kumbe kuna wasomi walioenda kukariri formula, laws za watu lakini hawana uwezo wa kuzitafsiri hizo laws na formula ili upate maendeleo, hivi mkuu wa kaya nae si ni mchumi? Linganisha sasa, elimu yake na matendo yake. Nawashauri mwende pia mkatafute CV ya Paul Kagame.
 
Hapa hatukawii kusikia hizo nondo za All Africa Bible College, from 1999-2004 kwavile ni miaka mitano basi elimu yake ni Equivalent to PhD!
 
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!

usimsahau baregu nae Ni msomi toka kwa nyerere, itoshe Tu kusema wasomi wameiangusha nchi hii bila kushirikisha vyama
 
Nianze tu kwa kusema Msigwa hawezi kuwa pale alipo kwa maslahi ya Wakatoliki kwa kuwa mbunge ni wa wananchi wote. Hilo la kwanza. Lakini la pili ni kwamba Msigwa siyo Mkatoliki na kwa sababu hiyo dhana iliyojengwa haina mashiko. Baada ya maelezo hayo ninaomba kukuuliza wewe Salumu Mitema swali. Ni nani yuko kwa maslahi ya Waislamu? Je, kama kila mbunge au kiongozi akiwa mahali kwa maslahi ya dini yake wapagani nani atawasemea? Jamani ndugu zangu, mtu kumudu stadi za kUSOMA, KUANDIKA NA KUHESABU (KKK) hakumpi uwezo wa kuchangia kwenye jukwaa la JF. Hapo kwenye red siyo Kagame, Kabuta na Kenyatta.
:cheer2:

Hahahahaha... mkuu, kweli wewe una dharau! umesema KKK sio standard ya mtu kuweza kuchangia JF?

Umenichekesha kweli!
 
Wewe kilaza mbona mgumu kuelewa? mleta mada amesema waziwazi umuhimu wa raslimali watu katika kusukuma gurudumu la maendeleo, hivyo tuanze kujadili hao watu wenyewe kabla ya kuwapa fursa!

"I failed in some subjects in exams, my friend passed in ALL. He is now an engineer in Microsoft and I am the OWNER of Microsoft" Bill Gates.
 
Sidhani kama hii ni hoja. Kama maprofessor wa serikali ya CCM hawana tija, unafikiri kuwa hata wataalam wa CHADEMA watakuwa hivyo?

Au unataka kumaanisha kuwa CHADEMA hakuna wasomi wanaoweza kukamata nafasi nyeti na wakafanya vizuri zaidi ya wasomi wa CCM?!
Mkuu naona hukunisoma vizuri..nimejibu hii hoja kulingana na mleta mada alivyoiweka na kutaka kutuaminisha kwamba CV ni muhimu kuliko lolote ktk ujenzi wa nchi.Hapo nimetanabaisha kwamba mbona CCM ina watu wenye PhD na maprofesa kibao na bado wanafeli?Sababu kubwa sii CV ni kutokuwepo uzalendo tu na kukumbatia uzembe na ubabaishaji?
 
Hivi kwanini wabunge wengi wa CHADEMA hawana shahada?

Hivi tungesema leo kwenye katiba mpya wabunge angalau wawe na shahada hawa wabunge wa CHADEMA wangechomokea wapi?

Angalizo; Elimu ni muhimu na ndio maana watoto wetu wakipata sifuri tunailaumu serikali! na hatutaki hao walio pata sifuri watuongozee nchi yetu.

Hao wenye shahada mbona walishindwa kuikoa Tanzania yetu kutoka katika mikataba ya Kitapeli na ya Kinyonyaji kutoka kwa Wawekezaji wa Kigeni??
 
A good question. Chama kilichojaza maprofesa ndicho chenye sera zilizoshindwa kutokomeza maadui wa nchi hii. Prof. Mwandosya, Prof. Magembe. Prof. Kapuya, Prof. Mwakyusa, Prof. Sarungi, Prof. Tibaijuka, Prof....Dr. Kafumu, Dr. Kigoda, Dr. Nchimbi. Dr...so and so, wameisaidiaje nchi na rundo hilo la shahada zao? Bado tunaomba kwa wafadhili, bado wananchi wengi wanaishi chini ya dola moja kwa siku.

Hapo sasa! Kuna msemo nilijifunza shule ya msingi zamani unasema: "Heri kijana maskini mwenye hekima kuliko mzee mfalme mpumbavu."
 
Una bahati mbaya mkuu, kila unae mgusa CCM ana doctorate, sasa hawa uliowataja wana PhD na ukisoma hiyo kitu wewe una kuwa na extra ordinary ability, hivyo ukiwekwa popote unaweza ukapata matokeo mazuri hasa kwenye maeneo ya utawala. Huyo Msigwa ni bora umfananishe na UVCCM sio hao vichwa kina Mwakyembe na Magufuli.

Lakini si hoja ilikuwa kwamba Msigwa hajasomea utalii au umesahau ulivyoanza? Ujue nimekula logic mpaka basi na hivyo huweza kuleta conclusion ambayo ni 'unintelligible' nikaikubali mpaka iwe supported by premisses.
 
ana mawazo ya kusaidia kuliko hao maprofesa wenu wasio wazalendo na wanaofikiria kwa urefu wao tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom