masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kana kavuka F4F nakupa mji wa Iringa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gan mkuu? Maana huwa anasema AKILI NDOGO HAIWEZI KUONGOZA AKILI KUBWAKana kavuka F4F nakupa mji wa Iringa!
Ana kadigrii ka uchochoroni kanakompa mchecheto, na tumemwona kwenye TV ,thinking capacity ni ndogo sana-mithili ha F4F.Una maana gan mkuu? Maana huwa anasema AKILI NDOGO HAIWEZI KUONGOZA AKILI KUBWA
Utaambulia matusi.Wale wana chadema kindakindaki naomba mbisaidie CV ya huyu mbunge machachari mch.Peter Simon Msigwa
Ameipata chuo gani au sawa na ya kubenea?Ana kadigrii ka uchochoroni kanakompa mchecheto, na tumemwona kwenye TV ,thinking capacity ni ndogo sana-mithili ha F4F.
Anzisha hiyo mada utajibiwaHa haaa.... hivi ya Ole Sendeka ikoje hasa matokeo ya F6...
No labda kasoma open juzi mkuu awali alikuwa na elimu ya dini tu.Ana kadigrii ka uchochoroni kanakompa mchecheto, na tumemwona kwenye TV ,thinking capacity ni ndogo sana-mithili ha F4F.
Ame DANGANTA?Kupitia wasifu uliopo katika tovuti rasmi ya bunge , mbunge wa iringa mjini "Mchungaji" peter msigwa imebainika kua ni " kihiyo" au " kihiyo" kutokana na kuweka maelezo ya uwongo katika cv kua kasoma.degree katika chuo kimoja huko mjin durban afrika kusini. Katika wasifu huo unaonesha eti msigwa kasoma degree ndani ya mwaka mmoja wa 2004 hadi 2004 na akawa kamaliza na kutunikiaa degree hiyo. Kwa navojua mimi degree duniani kote ni miaka 3 kuendelea ila ya huyu msigwa kaipata ndani ya mwaka mmja.Swali je wakianza kukagua vyeti feki kwa wabunge wabunge km hawa watapona kweli? N a huyu ndo anajiita mchungaji ana uchungaji gani na kuweka maekezo ya uwongo namna hii
Msigwa kwanza akapimwe akili.Kupitia wasifu uliopo katika tovuti rasmi ya bunge , mbunge wa iringa mjini "Mchungaji" peter msigwa imebainika kua ni " kihiyo" au " kihiyo" kutokana na kuweka maelezo ya uwongo katika cv kua kasoma.degree katika chuo kimoja huko mjin durban afrika kusini. Katika wasifu huo unaonesha eti msigwa kasoma degree ndani ya mwaka mmoja wa 2004 hadi 2004 na akawa kamaliza na kutunikiaa degree hiyo. Kwa navojua mimi degree duniani kote ni miaka 3 kuendelea ila ya huyu msigwa kaipata ndani ya mwaka mmja.Swali je wakianza kukagua vyeti feki kwa wabunge wabunge km hawa watapona kweli? N a huyu ndo anajiita mchungaji ana uchungaji gani na kuweka maekezo ya uwongo namna hii
Tulia uandike taratibu na hiyo buku 7 zako utazipata tu,pitia tena kwenye bandiko lako inaonyesha unajiunga na kina jescaKupitia wasifu uliopo katika tovuti rasmi ya bunge , mbunge wa iringa mjini "Mchungaji" peter msigwa imebainika kua ni " kihiyo" au " kihiyo" kutokana na kuweka maelezo ya uwongo katika cv kua kasoma.degree katika chuo kimoja huko mjin durban afrika kusini. Katika wasifu huo unaonesha eti msigwa kasoma degree ndani ya mwaka mmoja wa 2004 hadi 2004 na akawa kamaliza na kutunikiaa degree hiyo. Kwa navojua mimi degree duniani kote ni miaka 3 kuendelea ila ya huyu msigwa kaipata ndani ya mwaka mmja.Swali je wakianza kukagua vyeti feki kwa wabunge wabunge km hawa watapona kweli? N a huyu ndo anajiita mchungaji ana uchungaji gani na kuweka maekezo ya uwongo namna hii