Kwa CV hii ya Msigwa! Je, ni eligible kuweza kusimamia maliasili na utalii??

Status
Not open for further replies.
ukiangalia anavyoongea na elimu yake vinafanana hana hoja zaidi ya kuropoka na kuongea kwa hasira kichwa chake kiko wazi kashika tu hivyo vifungu vya biblia na maneno ya magazetini.
 
mbona hii CV haituambii kuanzia mwaka 1986 mpaka 1999 ndugu Msigwa alikuwa akifanya nini au kujishughulisha na nini? hiki kipindi cha miaka 13 kwanini kimeachwa gizani????
 

mkuu, tukiunganisha na hii sijui itakuwaje
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: Osmund
Middle Name: Joseph
Last Name:Mbilinyi
Constituent: Mbeya Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 815, Mbeya
Office Phone: +255 716 627344
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: jmbilinyi@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 May 1972

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Sabasaba Secondary School
Mbeya Secondary School
Sisimba Primary School
Sokoine Primary School
Ligula Primary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Mbeya Urban Constituency
BP Tanzania LimitedSecurity Officer
Self EmployedCelebrity

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]

[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
CHADEMAMember

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
 

Nadhani uko biased. Fanya utafiti ili ujue sio kwa numbers, ni percent ngapi ya wabunge kwa vyama vyao hawana shahada unazozitaja. Ukirudi na hiyo utajenga hoja nzuri zaidi kuliko hii.
 
mbona hii CV haituambii kuanzia mwaka 1986 mpaka 1999 ndugu Msigwa alikuwa akifanya nini au kujishughulisha na nini? hiki kipindi cha miaka 13 kwanini kimeachwa gizani????

Mkuu, wenda alikuwa ana fanya ujangili huko Iringa, si unajua wabunge wengi wa CHADEMA wana background zenye utata tu.
 
ukiangalia anavyoongea na elimu yake vinafanana hana hoja zaidi ya kuropoka na kuongea kwa hasira kichwa chake kiko wazi kashika tu hivyo vifungu vya biblia na maneno ya magazetini.

kinana kaa mbali na tembo wetu
 
Hivi CHADEMA kuna watu wenye CV za maana ukimuondoa ZITTO na PROF. SAFARI? Naona maseminary tu!
 
moja ya sababu ni mfumo mbaya wa elimu wa ccm tunahitaji sehemu ya kuanzia sidhani kama tunahitaji graduate kujua kuwa hospital 1. hakuna dawa
2. waumishi hawatoshi
3. vifaa tiba havitoshi

so hoja yako haina uzito huo unaojaribu kuonyesha
 

hahahaha...yani Sugu kumbe ni kichwa maji hivyo? cv kubwa kumbe ni shule ya msingi na sekondari tena o-level?
 
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!

Katiba inamtaka mtu ajue kusoma na kuandika na isitoshe mbunge anatakiwa awe na sifa ya ziada ya kukubalika kwa wananchi wake kwa maana ya kuwa kuwa popular ili aweze kuwashirikisha wananchi wake kuleta mabadiliko pamoja na kukaa chini na wataalamu mbalimbali kuangalia changamoto za wananchi. Tatizo wabunge wengi hawafanyi kazi tulizowatuma kiasi kwamba watu wanadhani umasikini wetu unatokana na wabunge wetu kutokuwa na shahada wakati kama chama cha siasa kinatakiwa ki-balance wagombea wake kwa kuchanganya changanya maana kwa nchi zetu hizi za Tanzania bado tuna changamoto nyingi kwenye elimu hivyo wale wasio na shahada huwezi ukawatelekeza wote.

Mfano mzuri, nchi hii kwa muda wa zaidi ya miaka 20 viongozi wetu na watendaji wa serikali wengi wao walikuwa hawana hizo shahada lakini bado performance yao ilikuwa juu na uzalendo wa hali ya juu, reli ilikuwa inafanya kazi pamoja na kwamba ilikuwa inajaza kinoma lakini bado ilikuwa on time na hata ikitokea dharula inashughulikiwa yaani na issue nyingi tu zilikuwa zinakwenda. Leo hii wananchi tumesoma vya kutosha mambo kibao yanaenda kombo though ukiangalia kwa makini kama tukiamua tunaweza. Huwa najiuliza sipati jibu kuhusu tatizo ni nini maana hawa jamaa walikuwa ni sehemu ya wananchi ajabu wameshika uongozi hakuna changes
 
Mh kaaazi kwelikweli!!!

Jamani Msigwa Hana lolote na sio kwake peke yake kwani almost 89% ya viongozi wa CDM hawana degree ama degree zao za kuungaunga. Dr Slaa elimu yake ni ya kuungaunga na udr wake ni wa mashaka makubwa. Mbowe ndio kilaza namba Moja maana ni form four failure. Mnyika na yeye Mzee wa evening class Huku Sugu ndio darasa la Saba kabisa. Msigwa anajua uchungaji lakini shule hamna kabisa. Hawa ni majuha kabisa
 
Dah na hii ya Mkubwa wao? sijui hiki chama wanakipeleka wapi!
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name:Mbowe
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Secondary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
Company Name
Bank of TanzaniaBank Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
 
msigwa fani yange ni kupiga debe na uporaji ,lakini elimu za hawa jamaa sugu naye ndo vile mwenzangu na mie,ndiyo mana mda wote wanahasira kumbe wanajihami tu ili kuficha uzaifu wao.
 
hahahaha...yani Sugu kumbe ni kichwa maji hivyo? cv kubwa kumbe ni shule ya msingi na sekondari tena o-level?

mkuu hawana lolote hawa. ndo maana wanakimbilia kutukana tu. hakuna wajualo
 
Haaaa namshangaa mleta uzi kwa title yake. Tuambie degree za akina JK, Ngeleja, Chenge, nk (au ile list of shame) zimewezaje kuharakisha maendeleo hapa nchini? level ya illiteracy wakati wa mwalimu na sasa ipoje? political stability ipoje? je unakumbuka kuwa Daudi Balali alikua Dr? Wanaopakia live animals sio wasomi? Kafanye utafiti katika perspective ifuatayo: degree vs uongozi bora. Halafu kama wewe ni statistician, calculate correlation coefficient na u-plot graph halafu tuletee majibu.

Pia mbona Sumaye amekua Waziri na PM akiwa six leaver? kaenda juzi tu kusoma Marekani baada ya kumaliza mihula miwili ya uPM akiwa na elimu ya kawaida sana ya darasani.

Nakubali kwamba kiongozi lazima awe mwelevu. Kwa exposure ya the likes of Msigwa, Mnyika, etc, wht else do you need from them? Mbona humsemi Lukuvi, a former primary school teacher kuwa elimu yake ilikua haitoshi kwa miaka mingi lakini amekua kiongozi? katiba yetu pia inasemaje kuhusu kiongozi? Tuache tabia ya kutafuta ease political ride na grievances zisizo na msingi.

"Uongozi hausomewi ila elimu ina sharpen values za uongozi"



 
Huyu ndo hata kuandika CV hajui

[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: John
Middle Name: John
Last Name:Mnyika
Constituent: Ubungo
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 14145, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 754 694553/+255 784 222222
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: jmnyika@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
 

du mkuu kumbe chadema kunamagarasa hivi sasa kwa elimu hizi tegemeeni vurugu mwanzo mwisho wataongea nini sasa.
 
Hivi hao wenye shahada wamelifanyia nini taifa? Mbona ndo mafisadi wakubwa wa rasilimali zetu? Ccm yote imejaa wapumbavu!

Mkuu hao wenye shahada {ccm} wametumia shahada zao kufisadi mali ya umma na si kuleta maendeleo...!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…