Kwa Dar wapi naweza pata hii bidhaa (Vr Box)?

Kuna za kuweka simu kwa ndani mfano cardbox alichosema mtoa mada hapo juu, au zenye screen ndani mfano za Apple.

Kabla hatujajitesa, unataka za nini?
 
Alafu na kwa
MWENYE KUJUA SEHEMU NAWEZA NUNUA SEXY TOYS (ILE MIDOLI YA NGONO aje PM maana nasikia zinauzwa kama madawa ya kulevya
 
Johnny English Mr bean alivaa hiyo kilichotokea balaa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…