Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Pambana wewe acha kulialiaHii ni kebehi na dharau sio kwa lugha kama hii
[emoji116]View attachment 2267039
Dharau kubwa sanaHii ni kebehi na dharau sio kwa lugha kama hii
πView attachment 2267039
Na Serikali haiwezi kuruhusu Wamachinga kufanya biashara zao wanapotaka !!Alichosema ni sahihi though. Serikali haiwezi kuajiri kila kijana.
Think tank kushney !!Kauli za viongozi wa ccm zinaonesha kwamba wameshindwa kabisa kuongoza
Nyumbu ni nyumbu tuWanajitafutia maisha toka enzi za mwalimu. Lakini hoja ni namna gani unashauri watu kujiajiri fala wewe
Wanaweza. Hii inchi inafeli sababu ya usimamizi mbovu na sera mbovu za CCM ambazo haziendani na nyakati hizi.Alichosema ni sahihi though. Serikali haiwezi kuajiri kila kijana.