Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Positivity ndio maisha mzee muda mwingine unaweza kuta anatania alafu wewe ukaishia kumtoa ngeu.Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea
Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi
Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Uzi ufungwe.. No further replies. 😂😂Umemaliza mkuu 😂😂😂
Ukweli ni kwamba kuwa makini na huyo manzi.Kuna kitu aliongea mwishoni akamalizia na neno "mie nawe" ndo nkamwambia kuna wimbo unaitwa hivo naupendaga ngoja nikutumie
Hilo ndo likawa jibu lake baada ya kuusikiliza
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Alitakiwa kusikiliz ujumbe uliomo ndani maama hata kama sio mziki mzuri anaopenda angalau angejali hisia zako.Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea
Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi
Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Wanafunzi wa chuo hawa. Sisi tunawaza tozo wao wako bize na misic tuBora umeghairi mkuu, hujafikia level ya kuoa. Subiri muda upite ukomae kwanza
Hakuna ishu ya kukufanya ughailishe kitu kama ndoa Kwa jibu lake Hilo. Ni either hujatosha kuwa mume na baba wa familia au hukuwa umempenda Manka
Asante mkuu. Mwenye masikio na asikie.Uchambuzi yakinifu:
1. Ili "linyimbo". - kwake yeye huu ndo wimbo mbovu zaidid
2. La "mwaka 47" - kakuona wewe ni old school hujui kinachoendeleA duniani
3. Emoji 😬- hapa alikua ameshaanza kukucheka lakn anajishtukia atakuumiza moyo.
4. Emoji 😂- hapa alishindwa kujizuia akajikuta anasema in Aggrey Mwandyz voice "liwalo na liwe" akaamua kutwanga cheko kubwa sana la kwikwi kabisaaa
Bwana singasinga we vua ushungi kabisa umtandike mitama. Kujiengua hakutoshi! Je ungecheza kihindi ingekuaje?
Heri wanikimbie asee,sitakagi dharau hata chembe.Positivity ndio maisha mzee muda mwingine unaweza kuta anatania alafu wewe ukaishia kumtoa ngeu.
Wanawake ndio walivyo wazoee tu au watakukimbia wote na ukose mke.
Music ni utoto?Wanafunzi wa chuo hawa. Sisi tunawaza tozo wao wako bize na misic tu
Dharau hata ndogo tu wakati wa uchumba usiichukulie poa itakukost huko mbeleniHeri wanikimbie asee,sitakagi dharau hata chembe.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Ndio alichokitaka, umeingia mzima mzima.
Kabisa mkuu na huo ujumbe unatugusa sana maana tuna long distance relationship ya muda sana ila bado ananiganda na kunambia ananipenda sana.Alitakiwa kusikiliz ujumbe uliomo ndani maama hata kama sio mziki mzuri anaopenda angalau angejali hisia zako.
Sio kuwa nae makini,sitaki mazoea kabisa kuanzia leoUkweli ni kwamba kuwa makini na huyo manzi.
Kashakutana na mashalo balo wa mjini wanampa dedication za Rihana we unaonekana wa mwaka 47🤣Kabisa mkuu na huo ujumbe unatugusa sana maana tuna long distance relationship ya muda sana ila bado ananiganda na kunambia ananipenda sana.
So hiyo ilikua kama dedication ya kujua naamini kuna siku tutaonana ila yeye hajajali chochote zaidi ya kuleta dharau.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Kupotezea vitu kama hivyo badae ndo kuleta maafaBora umeghairi mkuu, hujafikia level ya kuoa. Subiri muda upite ukomae kwanza
Hakuna ishu ya kukufanya ughailishe kitu kama ndoa Kwa jibu lake Hilo. Ni either hujatosha kuwa mume na baba wa familia au hukuwa umempenda Manka
🤣🤣🤣hata vile vilugha lugha vya dharau vya kuwasema watu wengine pia usivipuuze. Unakuta mtu anakuheshumu wewe tu kwa kuwa anamatarajio ya kumuoa. Lakini kiukweli hana adabu.Sio kuwa nae makini,sitaki mazoea kabisa kuanzia leo
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Na watu wengi imewakost kwa kupuuzia vitu hatari wakiviita vidogo vidogoKupotezea vitu kama hivyo badae ndo kuleta maafa
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Una miaka mingapi phalangu[emoji1787]Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app