Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
- Thread starter
- #61
Sio issue ya umri,sitaki yanikute ya said au gunia la mkaa huko mbele.Una miaka mingapi phalangu[emoji1787]
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio issue ya umri,sitaki yanikute ya said au gunia la mkaa huko mbele.Una miaka mingapi phalangu[emoji1787]
Hakika jirani...
Dedication za nyimbo muda mwingine hua zinafikirisha sana...
Mfano sikiliza hii nyimbo
Kama kuwa mtu mzima ni kupotezea dharau za wazi acha niitwe mtoto.Shule hazijafunguliwa tu?
Nyie mnaovumilia upuuzi vumilieniUmemaliza kila kitu
Sio ushamba,mimi ni alpha male hasaAcha ushamba wa mapenzi
Kama nyimbo hazina maana kwenye mahusiano basi hakuna haja ya kutungwa.Ni kweli,lakini dedication ni kipimo tosha huyo mtu anakuwazia nn time hiyo....mfano akikutumia song Akinipenda mama inatosha[emoji3061]unajua ndo imeisha hiyo au nasema uongo jirani yangu Smart911 ?
Kadharau nilichomtumia na nimekitoa kwa upendokadharau wimo au kakudharau wewe?
Sasa kauli kama hii eti wadau watakwambia upotezee haina sababu za kuvunja mahusiano.Mimi kuna mmoja aliniita mlugaluga na kama haitoshi akaniita mshamba..na kama haitoshi akanipa block kwenye simu[emoji16][emoji16]........nikajisemea tu hewalaaa na mimi nikaweka block, nikakata mazoea , naona alitaka nimnyenyekee na kumbembeleza...alivyoona sina muda nae akapanic......njlimuambia sentensi moja tu ambayo inamuumiza mpaka leo "nilikupa nafasi ukashindwa kuitumia"
If I dedicate that song to you... What will you think?🤣🤣🤣 One night stand 🤸🤸🤸🤸🚴😸
Kama wanawake wote ndio watakua hivi ntabaki msejaUsioe tu
Hata kama ananipenda sasa ila hiyo ni ishara ya zile tabia za ndani alizonazo.Kwa vyovyote vile alikuwa anakupenda sana lakini wewe ulitaka kumtumia gadem zako.
Sasa umesaka sababu ukakosa na sasa unaona sababu ishapatikana.
Hili nalo mkaliangalie
BabaJ speakin[emoji2]Kwenye mahusiano,
Ukiwa too serious utateseka Sana[emoji4]
Kama ndo wanawake wenyewe hawa,Kataa Ndoa
Tuzoeane ila usiniletee dharauRelax mkuu ndio kuzoeana huko...ukiweka Maisha serious Sana utakuwa unaumia kila siku
Issue sio umri wa wimbo,ona alivoidharauSasa kosa lake liko wapi kwani ni uongo nyimbo ya zamani.. Afu mapenzi bila kuzoeana hayana maana mtu asijoke ni tatizo [emoji23][emoji23]
Manka hana shida shida ni wewe
Ina maana kashindwa hata kushukuru kwa ujumbe wa maana uliomo ndani yake.If I dedicate that song to you... What will you think?
Dah.. anyway Manka yeyote ukitaka asilete dharau hapo angeona meseji ya TIGOPESA.hapo hata miguu yako angekuosha .....Ila Kama vipi endelea na mpango wa kumpiga chini
🤣Kwa kichwa Changu,nitakupa afu nitasepa sitoweka malengo nawe coz huna malengo nami😉If I dedicate that song to you... What will you think?