Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

si kila kitu unacho penda ww na mpenz wako akipende jifunze kuheshimu hisia za mtu mwingine unalazimisha apende li mwimbo la mwaka 1960
 
Ila JF ufe tuu mwenyewe na stress. Wifi yangu Manka anakwambia chaaaaa unanitumia wimbo ntakula wimbooo
 
Mdada mwenyewe Manka alafu unamtumia nyimbo ya mapenzi... wapi na wapi heri ungemtumia -Hela aliimbaga Madee.
 
Usiwe serious san mkuu 😂 na wwvsubir aingie kweny 18 unamletea zarau t maish yanaendelea
 
Daah!

Dah.. anyway Manka yeyote ukitaka asilete dharau hapo angeona meseji ya TIGOPESA.hapo hata miguu yako angekuosha .....Ila Kama vipi endelea na mpango wa kumpiga chini
Kingine yeye ndo ana mzuka zaidi na mimi ingawa ni kisu hasa so ni rahisi tu kuamua

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Ye ndo anaonesha ukaribu wa kunihitaji zaidi wala sio mimi.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Nimemchana
Screenshot_2022-09-12-12-15-50.jpg


Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Kama wanawake wote ndio watakua hivi ntabaki mseja

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Asikudanganye mtu mkuu..zama hizi za kizazi cha nyoka kuna mwanamke anaweza kujifanya anakupenda ila anakuja akiwa na missions maalumu mojawapo ni kukuharibu kisaikorojia au kukuharibia mambo yako..kuwa makini sana.....ukihitaji ushauri kuhusu mwanamke muulize mwanamke mwenzie sababu huwa wanajuana
 
Back
Top Bottom