Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] vipi na yeye asichukulie serious kwenye vijishida vyake vidogovidogo kama nywele, kucha n.k, hapo situtaendana fresh. Yaani no seriousness kwenye miamala ili maisha yawe simple zaidi. Long distance relationship ni kazi wewe usiambiwe!Relax mkuu ndio kuzoeana huko...ukiweka Maisha serious Sana utakuwa unaumia kila siku
Hapo umetoka nje ya mada.....jamani vi utaniutani na kuzoeana kunaongeza ladha ya mapenzi.[emoji23][emoji23][emoji23] vipi na yeye asichukulie serious kwenye vijishida vyake vidogovidogo kama nywele, kucha n.k, hapo situtaendana fresh. Yaani no seriousness kwenye miamala ili maisha yawe simple zaidi. Long distance relationship ni kazi wewe usiambiwe!
😁😁Amemsave maNkaMkuu umejuaje kama ni mchaga?
Kitu kikubwa nilichokiona mkuuHabari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] haya sister, hicho kitu ni ukweli. Ila usijaribu kumtania mtu ambaye hujaongea naye kwasimu kwanza kujua kaamkaje. Wakati mwingine watu wanaamka upande wakushoto wakitanda.Hapo umetoka nje ya mada.....jamani vi utaniutani na kuzoeana kunaongeza ladha ya mapenzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenzio wanataka miamala walipe VICOBA wewe unatuma dedication.
Dah! nlitaka kujichanganyahivi kumbe bado kuna watu wasio wachaga (maana wachaga hulazimishana) bado wanaoa wachagga?
Khakhakhaaaa!!!Wenzio wanataka miamala walipe VICOBA wewe unatuma dedication.
We jamaa umenichekesha sanaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Utaua utauawa?Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea
Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi
Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Nyie mizee mnawafelisha mno vijanaBora umeghairi mkuu, hujafikia level ya kuoa. Subiri muda upite ukomae kwanza
Hakuna ishu ya kukufanya ughailishe kitu kama ndoa Kwa jibu lake Hilo. Ni either hujatosha kuwa mume na baba wa familia au hukuwa umempenda Manka
Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Upo sahihiKuna kitu aliongea mwishoni akamalizia na neno "mie nawe" ndo nkamwambia kuna wimbo unaitwa hivo naupendaga ngoja nikutumie
Hilo ndo likawa jibu lake baada ya kuusikiliza
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Huyo dada ana dharau.Mkuu mbona mambo mepesi sana hayo? Mwanaume hutakiwi kuwa too sensitive na kama umeumia either utasema au utapotezea tu.
Kwenye hiyo situation ingetegemea ila kama nimepanga kumuumiza basi ningemwambia "labda sababu sura yako ni kama ulizaliwa mwaka 47" hii sentensi fupi ingemuwinda mwaka mzima. Na kama nimepanga kupotezea basi ningemwambia "kwa ajili yako ningefanya chochote ikiwemo kwenda kununua pete mwaka 47" then imeisha hiyo maisha yanaendelea.
Jifunze kuwa adaptable na kuimprovise mambo au maisha yatakuwa magumu sana kwako mzee, hasa kwa akili za wanawake na mkiwa ndani ya ndoa. Alafu huyo kwa mwandiko wake lazima atakuwa mlokole sio romantic kabisa.
Sorry dearPositivity ndio maisha mzee muda mwingine unaweza kuta anatania alafu wewe ukaishia kumtoa ngeu.
Wanawake ndio walivyo wazoee tu au watakukimbia wote na ukose mke.