Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Mbali we upo, masikitiko.
Ni mawazo, ma siku zote.
Machozi ya damu, inamwagika.
Mi nakupenda, mpaka milele.

Miye nawe mpaka milele*4

Kama manka anataka umtumie Buga, acha kudate na watoto.
 
Huyo dada ana dharau.
Simple
Hivi kweli mtu unaempenda na kumueshimu unaweza mjibu hivyo?
Binafsi siwezi ila inaweza isiwe dharau bali bado ni mtoto mwenye akili za kitoto.
Wasichana wengi wadogo huwa ndio majibu yao hayo.
Hata hivyo huwa si-mind vitu vidogo kama nia yangu haijakamilika na hakuna future.
 
Aibu hii jamaa anatetea wanawake halafu anakosolewa na hao hao wanawake
Oi! seriously umetumia neno "aibu"..?
Mimi sioni sababu ya kutetea wanawake wala kuwaponda, mimi kidume kizima sishindani na sina muda wa kushindana na wanawake kiasi cha kuanza kukaa chini na kufikiria kuhusu kuponda au kutetea wanawake that's fucking bullshit!
Unashindana na mtu uliyekuwa nae sawa au aliyekuzidi, women are not my equal not even close!
Mwanamke kitendo cha yeye kuwa mwanamke ni tayari yuko chini yangu.
Mimi mwanaume rijali lazima nihitaji wanawake kwa shughuli zangu za kibinadamu, na mwanamke naweza kumpata muda wowote ule.
Na haya mambo ya kutetea wanawake ndio nasikia kwako. Simply ni mtazamo wangu tu juu ya akili zao.
"Kutetea wanawake?" seriously unathubutu kabisa kuandika "kutetea wanawake"..? Kwanini nitetee wanawake? kwa faida ipi? pussy? kama sababu ni pussy mimi nikitaka pussy naipata kabla sijamaliza kukohoa.
Oi! acha kuishi mitandaoni toka nje kuna maisha na watu wanaishi, wanawake wapo kibao wenginze wanauza kabisa.
Umenishangaza kinyama aisee. wtf is this?

Ila tambua tu mtu anaponda vitu ambavyo hawezi kuvipata na haswa akiona amezidiwa na watu hao.
Hivyo niambie kwanini akili yako moja kwa moja imekimbilia kwenye kutetea wanawake?
 
Mbali we upo, masikitiko.
Ni mawazo, ma siku zote.
Machozi ya damu, inamwagika.
Mi nakupenda, mpaka milele.

Miye nawe mpaka milele*4

Kama manka anataka umtumie Buga, acha kudate na watoto.
Unaona tungo hizo afu mtu anadis wazi wazi.

Akafie mbele huko.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Binafsi siwezi ila inaweza isiwe dharau bali bado ni mtoto mwenye akili za kitoto.
Wasichana wengi wadogo huwa ndio majibu yao hayo.
Hata hivyo huwa si-mind vitu vidogo kama nia yangu haijakamilika na hakuna future.
Sio mtoto kwanza ni single mother kabisa.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
We nae mwanaume mzima una gubu asa hapo nini cha kukasirika … mbona hiyo conservation ya mdada inaonesha anakutania tu heee

Mimi kama mimi siwezi kuwa na mwanaume wa aina kama yako ambao vitu viduchu kama hivyo ambavyo haviitaji kuchukuliwa serious we unavileta mpk Jf



Wa ajabu wewe
Sawa ishi na ambao wanaweza potezea upuuzi wako.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Sio mtoto kwanza ni single mother kabisa.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Technically mwanamke utamjua siku ya kwanza mpaka wiki baada ya kukutana nae kama ana dharau au hana au ana akili za kitoto na vinginevyo.
Na kati ya muda huo unatakiwa umuoneshe wewe ni mtu wa aina gani kama unapenda utani au ni serious kama siro.
Maana yake kama hiyo tabia ameanza karibu na anajua wewe sio mtu wa utani basi kwa asilimia 90% ni amefanya makusudi na kweli ni dharau.
Lakini kama hiyo tabia ni anayo tangu zamani basi bila shaka atakuwa anatania sema wewe ni too sensitive kwa vitu vidogo kama ulivyosema na unashindwa kutofautisha dharau na utani yaani unajishtukia sana.

Kuna cheupe hapa ni 21 years old muda wote nikiwa nae ni utani na kucheka na kufurahi muda wote na najua ni tabia yake and I enjoy her more than anything siwezi ishi na mwanamke ndani kama tupo jeshini where's the fun in that? na point ni nini kama muda wote tutaishi kama mabubu?
Lakini hawezi kuniletea dharau sababu anajua mimi ni mtu wa utani ndio na pia hapohapo ukinizingua nakuwa mnyama mkali na nitakutoa meno.
Hivyo anaogopa kuvuka huo mpaka, na mimi pia sio insecure na najua mtu akileta dharau na utani na najua hatua gani ya kuchukua either nitamwambia ajirekebishe, nitamzibua au nitaachana nae na kumpotezea kutokana na ukaribu wa mtu huyo.

Ila cha msingi ni kutomuacha mbuzi yoyote anishikie maisha yangu.
Simple like that.
 
Hio ni minor issue mnaweza kuongea yakaisha ,sidhani kama inaweza kuwa ground ya kukataa kumuoa otherwise labda kuna mambo mengi amekufanyia yenye elements za dharau ambayo hujaya disclose kwenye thread yako
 
Back
Top Bottom