Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Positivity ndio maisha mzee muda mwingine unaweza kuta anatania alafu wewe ukaishia kumtoa ngeu.Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea
Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi
Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Wanawake ndio walivyo wazoee tu au watakukimbia wote na ukose mke.