Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea

Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi

Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Positivity ndio maisha mzee muda mwingine unaweza kuta anatania alafu wewe ukaishia kumtoa ngeu.
Wanawake ndio walivyo wazoee tu au watakukimbia wote na ukose mke.
 
Bora umeghairi mkuu, hujafikia level ya kuoa. Subiri muda upite ukomae kwanza

Hakuna ishu ya kukufanya ughailishe kitu kama ndoa Kwa jibu lake Hilo. Ni either hujatosha kuwa mume na baba wa familia au hukuwa umempenda Manka
 
Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea

Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi

Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Alitakiwa kusikiliz ujumbe uliomo ndani maama hata kama sio mziki mzuri anaopenda angalau angejali hisia zako.
 
Uchambuzi yakinifu:
1. Ili "linyimbo". - kwake yeye huu ndo wimbo mbovu zaidid
2. La "mwaka 47" - kakuona wewe ni old school hujui kinachoendeleA duniani
3. Emoji 😬- hapa alikua ameshaanza kukucheka lakn anajishtukia atakuumiza moyo.
4. Emoji 😂- hapa alishindwa kujizuia akajikuta anasema in Aggrey Mwandyz voice "liwalo na liwe" akaamua kutwanga cheko kubwa sana la kwikwi kabisaaa
Bwana singasinga we vua ushungi kabisa umtandike mitama. Kujiengua hakutoshi! Je ungecheza kihindi ingekuaje?
Asante mkuu. Mwenye masikio na asikie.
 
Alitakiwa kusikiliz ujumbe uliomo ndani maama hata kama sio mziki mzuri anaopenda angalau angejali hisia zako.
Kabisa mkuu na huo ujumbe unatugusa sana maana tuna long distance relationship ya muda sana ila bado ananiganda na kunambia ananipenda sana.

So hiyo ilikua kama dedication ya kujua naamini kuna siku tutaonana ila yeye hajajali chochote zaidi ya kuleta dharau.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Kabisa mkuu na huo ujumbe unatugusa sana maana tuna long distance relationship ya muda sana ila bado ananiganda na kunambia ananipenda sana.

So hiyo ilikua kama dedication ya kujua naamini kuna siku tutaonana ila yeye hajajali chochote zaidi ya kuleta dharau.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Kashakutana na mashalo balo wa mjini wanampa dedication za Rihana we unaonekana wa mwaka 47🤣
 
Bora umeghairi mkuu, hujafikia level ya kuoa. Subiri muda upite ukomae kwanza

Hakuna ishu ya kukufanya ughailishe kitu kama ndoa Kwa jibu lake Hilo. Ni either hujatosha kuwa mume na baba wa familia au hukuwa umempenda Manka
Kupotezea vitu kama hivyo badae ndo kuleta maafa

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu

Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.

Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.

View attachment 2353965

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Una miaka mingapi phalangu[emoji1787]
 
Back
Top Bottom