luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Sikuhizi mademu wengi akili ndogo wanakujaga kukomaa akili pale miaka imesha songa na uzuri ushapotea.Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Palepale [emoji1]Sikuhizi mademu wengi akili ndogo wanakujaga kukomaa akili pale miaka imesha songa na uzuri ushapotea.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kabisa kakaSikuhizi mademu wengi akili ndogo wanakujaga kukomaa akili pale miaka imesha songa na uzuri ushapotea.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapana flow ya chats zetu ilikua nzuri tu ghafla akajibu hizo shomboMbona huyo Binti Hana shida. Ila mwenye shida ni wewe.
Ukisoma tu hizo chatting unaelewa kabisa, manka ametania. Hana maana mbaya
Ukichukulia Kila kitu serious kwenye mahusiano, utateseka vibaya mnoo..
Ina Mana mnaishi bila utani wowote?. Hayanogiiii
M PESA=MCHAGA PESA😁😁😄 wachaga na mapenzi wapi na wapi we ungetuma tu m pesa apo mbona ungewin😄
Mbona Kama Manka wangu huyu was mbezi makonde ?! Mkuu tafadhaliHabari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Ndio kujuana zaidi (mahusiano), endelea kumjua anapendelea au hapendelei nini. Inachukua muda, uvumilivu na kutokata tamaa kirahisi. Na hii ni kwenu wote, hivyo mliongelee (mawasiliano).Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Kuna kitu Singasinga haujaelewa huyu demu ni kama kakutania tu, hata ukiangalia meseji zake zimekaa tu kiutaniutani she was not seriuos.Habari wakuu
Me kiukweli nadhani sitaoa maana niko sensitive mno.
Imagine kitendo cha huyu shingo kukejeli dedication yangu ya huu wimbo nlomtumia, nimehairisha mipango yote juu yake maana nimeona ana dharau hata kama anajifanyaga ananipenda sana.
View attachment 2353965
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Umesawazisha vizuri sana ndugu mtaalamuMkuu mbona mambo mepesi sana hayo? Mwanaume hutakiwi kuwa too sensitive na kama umeumia either utasema au utapotezea tu.
Kwenye hiyo situation ingetegemea ila kama nimepanga kumuumiza basi ningemwambia "labda sababu sura yako ni kama ulizaliwa mwaka 47" hii sentensi fupi ingemuwinda mwaka mzima. Na kama nimepanga kupotezea basi ningemwambia "kwa ajili yako ningefanya chochote ikiwemo kwenda kununua pete mwaka 47" then imeisha hiyo maisha yanaendelea.
Jifunze kuwa adaptable na kuimprovise mambo au maisha yatakuwa magumu sana kwako mzee, hasa kwa akili za wanawake na mkiwa ndani ya ndoa. Alafu huyo kwa mwandiko wake lazima atakuwa mlokole sio romantic kabisa.
Hebu naomba kwanza uuweke hapa huo wimbo.Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokea
Heri unifanyie lolote ila sio dharau za wazi
Huyu inaonesha ukimuweka ndani yale maisha serious yakaanza ntaua.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app