Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Kwa uelewa wangu mdogo huyu "msaidizi wa paroko" hajakurupuka kuanzisha hii misheni lazima Kuna soko ambalo amelilenga na hiki kivuli cha usaidizi wa paroko ni moja ya kukamilisha misheni chafu ambazo naamini nyingi amekwishazitekeleza na hii imembumia kwa kuwa watanzania walilisimamia kidete hili jambo na kulipazia sauti
Mtoto amepotea mei 30 na taarifa ghafla ikasambaa kwa mamlaka za mkoa wa Kagera na wilaya ya muleba, wiki mbili na siku kadhaa mtoto hakupatikana amekuja kupatika akiwa mauti na baadhi ya viungo vyake kunyofolewa na siku moja tu baada ya kupatikana maiti na saa kadhaa watuhumiwa takribani tisa wanakamatwa wakiwa na viungo vya mtoto...
Hapa ndo Mimi napatwa na ukakasi wiki mbili tangu mtoto apotee inaonesha wazi alikuwa hai mahali fulani lakini mtoto hakupatikana kwanini muda mfupi tu baada ya mtoto kufariki ndo iwe rahisi kuwapata watuhumiwa? Je ni rahisi sana kupata viungo vya mtoto kuliko mtoto mwenyewe?
Hapa Kuna hujuma kubwa sana inazunguka na ndiyo maana nasema huu mnyororo haujaisha kwa msaidizi wa paroko tu na genge lake Kuna watu inaweza ni wa system pia wanahusika
Nalipongeza jeshi la polisi ila hii kesi bado kabisa Kuna nguvu kubwa iko juu ya hili pengine inaweza kuwa baadhi ya watu wa system nao hujifanya wanadhughulikia hii kesi ila ni wahusika maana haya matukio mara nyingi hutokea nyakati za uchaguzi Sasa hapa Kuna kitu, mwaka huu ni uchaguzi na mwakani pia...
KRISTU TUMAINI LETU
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
- Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo
Mtoto amepotea mei 30 na taarifa ghafla ikasambaa kwa mamlaka za mkoa wa Kagera na wilaya ya muleba, wiki mbili na siku kadhaa mtoto hakupatikana amekuja kupatika akiwa mauti na baadhi ya viungo vyake kunyofolewa na siku moja tu baada ya kupatikana maiti na saa kadhaa watuhumiwa takribani tisa wanakamatwa wakiwa na viungo vya mtoto...
Hapa ndo Mimi napatwa na ukakasi wiki mbili tangu mtoto apotee inaonesha wazi alikuwa hai mahali fulani lakini mtoto hakupatikana kwanini muda mfupi tu baada ya mtoto kufariki ndo iwe rahisi kuwapata watuhumiwa? Je ni rahisi sana kupata viungo vya mtoto kuliko mtoto mwenyewe?
Hapa Kuna hujuma kubwa sana inazunguka na ndiyo maana nasema huu mnyororo haujaisha kwa msaidizi wa paroko tu na genge lake Kuna watu inaweza ni wa system pia wanahusika
Nalipongeza jeshi la polisi ila hii kesi bado kabisa Kuna nguvu kubwa iko juu ya hili pengine inaweza kuwa baadhi ya watu wa system nao hujifanya wanadhughulikia hii kesi ila ni wahusika maana haya matukio mara nyingi hutokea nyakati za uchaguzi Sasa hapa Kuna kitu, mwaka huu ni uchaguzi na mwakani pia...
KRISTU TUMAINI LETU
PIA SOMA
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
- Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo