Daimond alivyombwaga wema na kutoka na zari ndio chanzo cha matatizo, Team wema wakiongozwa na ma-ex wake Daimond Inawauma mpaka kumoyo. Dai angetoka na mwanamke wa kawaida ambae wema angejihakikishia kurud kama ilivokua kwa Penny sizani kama kelele zingekua hivi, sasa Zari ni maji marefuu mbaayaa, Wema hayawezi,na hicho kitendo Wema kinamuuma mpaka basi.
Ndiyo maana hata uko insta anafight mpaka basi na kutengeneza account fake na kutaka kumkomoa Diamond lakini wapi patupu.,, Wema siyo wa kumkampenia Kiba jamaniii, ni maumivu ya moyo ndiyo yanayomsumbua. wema anampenda sana DAIMOND.
Diamond na Alikiba wao binafsi hawana beef lolote, hata mameneja wao walishaliongerea mara kadhaa,. Tatizo ni sisi mashabibiki na team zetu ndio tunakuza mambo,
Wenzenu wanaingiza siku, nyie kutwaaaa kusigina figisufigisu zenu (copy & pst)
Ndiyo maana hata uko insta anafight mpaka basi na kutengeneza account fake na kutaka kumkomoa Diamond lakini wapi patupu.,, Wema siyo wa kumkampenia Kiba jamaniii, ni maumivu ya moyo ndiyo yanayomsumbua. wema anampenda sana DAIMOND.
Diamond na Alikiba wao binafsi hawana beef lolote, hata mameneja wao walishaliongerea mara kadhaa,. Tatizo ni sisi mashabibiki na team zetu ndio tunakuza mambo,
Wenzenu wanaingiza siku, nyie kutwaaaa kusigina figisufigisu zenu (copy & pst)