Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Asilimia 50% ya Baraza la Mawaziri ni "chato" au chato connected au walamba viatu ...Mnataka kufanya nchi ya WASUKUMA peke yao, bila haya kabisa, !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 50% ya Baraza la Mawaziri ni "chato" au chato connected au walamba viatu ...Mnataka kufanya nchi ya WASUKUMA peke yao, bila haya kabisa, !!!
Huyu ni mnyiramba kijana unashindwa hata kuhojiMnataka kufanya nchi ya WASUKUMA peke yao, bila haya kabisa, !!!
Utasemaje ccm imelamba dume wakati ni jike?!!Sio Vema kumuangalia kwa jinsia yake ..., anaweza kuangaliwa kwa kigezo kingine ...mfano rais wa sasa anatoka "Chato" sio lazima rais anayekuja bado atoke Chato kwani hii ni nchi kubwa ...
I can bet with you kwa kiwango chochote na nikakushinda. Dr Dorothy Gwajima ni kati ya Mawaziri watakao maliza hadi 2025 na Rais wa Awamu ya 5 wakisimamia afya.Huyu ndio atakuwa Waziri wa Kwanza Kutumbuliwa.
Wizara ya Afya haitaki Waziri alie Somea mambo ya Afyaa Lazima Atapishana na Muheshimiwa
wacha utani ndugu, sio la kanda tena? yani ameliboresha kutoka kanda mpaka kijiji ?Baraza la wasukuma watupu
Acha ujinga ww! Haturudi tena egypt! Ndege yetu inatakiwa iendelee kupaaa! Kasim achape kazi na wala asiwaze irais! Udini ktk urais umetirudisha nyuma saana Tz! Rais mwenye vigezo bila kujali dini yake na jinsia yake! Kwa sasa kigezo ni kuwa mzalendo kama au zaidi ya Magufuli!Sio udini ni maelewano.
Nyerere mwinyi
Mkapa jk
Magu kasim
Akikushukia kwenye idara yako hakukopeshiSema huyu mama kauzu sana..ila anafanya kazi! Pongezi kwake.
Mnafikiria madaka tu na siyo maendeleo na maisha ya watu!!!Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Aisee hatari! Yuko serious muda wote..Akikushukia kwenye idara yako hakukopeshi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Nani kasema?Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Ebu acha ujinga huo, Urahisi haupatikani hivyo, na sana sana unaweza kumuharibia, kuna January Speech write wa Raisi, na kusomea USA, etc kadhalika alishindwa kufikia huko, kuna 1st Class ya Economics, naye alishindwa kufikia huko, kuna Marehemu Dr William alishindwa, na kama kigezo ni elimu basi ili tuwe fair kwa wengine mwaka 2024 tunaanza kuwafanyia mitihani ili kufikia 2025 April tuwe tumepata majina wala 3 .Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Ni mtihani kweli kweli Kati ya kutumia usomi wako au kutii maagizo usife njaaHakuna msomi atakayetumia elimu yake katika utawala huu ,kuna wasomi walijaribu wakaishia kutumbuliwa....Hao walioteuliwa ni kwa ajili ya kupokea maelekezo kutoka kwa jeshi la mtu mmoja.
Kwa hiyo mkuu una govi[emoji124][emoji124][emoji124]Mwanamke for President!I am sorry,mwananke hapaswi kumuongoza mwanamna.That is Biblical.Nipigeni madongo na mawe,lakini huo utabaki kuwa ukweli,sitapepesa macho ng'o.We man were created to be leaders,not women.Hii dhana ya wanawake kuongoza wanaume imetoka kuzimu jamani,tuwe makini.
Kwa bahati mbaya sisi bila kujua tumeikumbatia.Halafu mianaume mingine nayo,noma sana, bila aibu inaipigia chapuo.Sijui imelambishwa nini na Wazungu.Shameful indeed.
NGOs hizi zinatuletea vitu vya ajabu sana,mara mfumo dume,mara tohara kwa wanaume,aibu tupu.Mfume dume ndio mnyama gani?
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.Hukusikia hotuba ya rais siku anawaapisha nawaziri kabudi na mpango, alimsifia sumaye kuvunja rekodi ya miaka 10 ktk uwaziri mkuu!! Hii ilikuwa meseji sent kuwa kasim majariwa nae atavunja rekodi ya waziri mkuu kuwa rais.
Over.
Ni mtihani kweli kweli Kati ya kutumia usomi wako au kutii maagizo usife njaa
Which means Chama cha Demoghasia & Maombolezo na kile cha Mr Heavy ^vinaliaibisha^ taifa letu la Tanzania, au siyo!???Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.
Ccm na vibaraka wenu mna la kujifunza.