Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, CCM imelamba Dume. 2025 Rais awe yeye kulingana na usomi alio nao

Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, CCM imelamba Dume. 2025 Rais awe yeye kulingana na usomi alio nao

Waislamu uthamini utu uthamini maendeleo ya watu kuliko vitu.
Dini imewashape na kuwapa hekima na busara.Viongozi wa Kikristo wameacha wajibu wao thus asilimia 90% ya madikteta wote ni Wakristo fanya research.
Omar al Bashir, Omar Bongo, Sani Abacha, Gaddafi, Zia Ul Haq, Iddi Amin ..... Na wale wafalme wa Mashariki ya Kati wote ni wamisheni. Ni nchi chache sana zinazojiita za kiislamu ambazo zina uongozi wa kupigiwa kura na wananchi wake.

Usipende sana u dini. Hamna dini yenye monopoly ya uovu. Pima mtu kwa anacho kitenda, sio dini yake. Usipofanya hivyo utakubali dhulma kwa sababu tu anaefanya hivyo ni muislamu mwenzako.

Amandla...
 
Kwani Dorothy ni Msukuma? Aweso, Byabato, Nchemba,Lukuvi, Mkuchika,Ndumbaro, Mkande, Ummmy, Jaffo, Kitila , Bashungwa, Pinda just to mentioned the few
uelewe, wasukuma/kanda ya ziwa; ndiyo wengi angalia maeneo nyeti
 
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy

Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Tanzania kuongozwa na wasukuma ni kujiimarisha ktk umaskini, tunajifunza kwa anko Magu jinsi alivyoifikisha nchi hii ktk umaskini mkubwa.

Apite mbali huyo Gwajima 🙄
 
ANAANDIKA PROFESA IDINDILI(CLINICAL EPIDEMIOLOGY AND PUBLIC HEALTH)

Dr. Dorothy,Waziri Mpya wa Afya ni mnyiramba kamilifu. Ni mchapa kazi sana. Alianzia kazi Wilaya ya Bagamoyo, kama ilivyo ada ya wabongo. Juhudi zake zilimponza hakupendwa kabisaa na watumishi wazembe. Akiwemo Daktari wa Wilaya wa wakati huo ( jina kapuni). Ili kupumuzika majungu allikwenda Denmark kusoma masters.

Huku nyuma wauwaji wa maono wakampiga danadana akapelekwa wilaya ya Iramba kama DMO. Kwa kifupi alitupwa porini. Mungu wa Yusuf alikwenda naye huko. Clinton foundation wakaanzisha project ya Solar powering health facilities zisizo na umeme na Wilaya yake ya Iramba ikachaguliwa. Aliusimamia mradi kama mali ya baba yake.

Huku akiikataa rushwa kama ukoma. Enzi za kutesa kwa zamu hizo, yeye alisimama ktk imani yake. Ili kuponya kipato chake. Alijiongeza kwa kilimo cha alizeti. Msimu mmoja alivuna gunia 500. Akfurahia maisha ya Gerezani ( according to Bagamoyo tyrants). Indicators za child survival ambazo zilikuwa kipao mbele kwenye millennium Development Goals zilipaaa kuliko Wilaya yoyote Tanzania,

Viongozi wakampandisha cheo na akawa RMO singida. Akiwa RMO aliendelea kujituma. Alishawishi kuanzishwa ujenzi wa hospital ya mkoa yenye hadhi ya mkoa. Na ikaanza kujengwa law awamu. Wakati hayo yakiendelea alilima ekari 100 za alizeti. Kwa bidii hii viongozi wakampandisha cheo akaletwa wizarani kama associate Director health services.

Kazi ambayo hakuipenda maana haina maamuzi na watu wizarani ni goigo. Halafu Dar hakuwa na shamba. Kwa kifupi alisoteshwa kwa miaka kadhaa. Ashukuliwe Mungu serikali kuhamia Dodoma. Ikamsogeza shambani kwake. Alifufuka kiutendaji na ndipo alipoteuliwa kuwa naibu katibu mkuu baada ya mabadiriko yaliyo mpeleka Dr.Mpoki ubalozi.
Kwa haki bin haki Dorothy amepata uwaziri kwa performance.
Mungu amubariki na kumufanikisha kutuongoza. Naami wizara anaifahamu sana.

-By Prof.Idindili..professor of Clinical Epidemiology and Public Health.
Wewe kweli ni Profesa? Unatuambia kuwa huyu unaemsifia alipandishwa cheo kuwa associate Director kwa sababu alilima ekari 100 za alizeti? Seriously. Kwa jinsi ulivyoandika mhusika alistahili zaidi kuwa waziri wa kilimo.

Amandla...
 
Omar al Bashir, Omar Bongo, Sani Abacha, Gaddafi, Zia Ul Haq, Iddi Amin ..... Na wale wafalme wa Mashariki ya Kati wote ni wamisheni. Ni nchi chache sana zinazojiita za kiislamu ambazo zina uongozi wa kupigiwa kura na wananchi wake.

Usipende sana u dini. Hamna dini yenye monopoly ya uovu. Pima mtu kwa anacho kitenda, sio dini yake. Usipofanya hivyo utakubali dhulma kwa saanaefanya hivyo ni muislamu mwenzako.

Amandla...
Tafuta list yote ya madikteta kisha wakategorize.Wote uliowataja ni ile 10%
 
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy

Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Huyu atakuja kuwa Makamu wa rais baada ya Magufuli kuondoka
 
Tafuta list yote ya madikteta kisha wakategorize.Wote uliowataja ni ile 10%
Mimi nimetaja waislamu. Wewe taja wakristu. Tusiandikie mate wakati wino upo.

Tabia ya kutaka ufanyiwe kila kitu ndio inayokufanya uwe duni, sio wakristu.

Amandla...
 
Mimi nimetaja waislamu. Wewe taja wakristu. Tusiandikie mate wakati wino upo.

Tabia ya kutaka ufanyiwe kila kitu ndio inayokufanya uwe duni, sio wakristu.

Amandla...
Bokasa,mobutu,abacha,moi,Mugabe,m7, nkurunziza, nguema, samuel doe, menguist marium, banda kamuzu, jiwe, kagame, juvenal habrimana, buyoya, paul biya, denis sasonguesso, allasane qoutara, kabila, eyadema, chaz tailor, ....
 
Bokasa,mobutu,abacha,moi,Mugabe,m7, nkurunziza, nguema, samuel doe, menguist marium, banda kamuzu, jiwe, kagame, juvenal habrimana, buyoya, paul biya, denis sasonguesso, allasane qoutara, kabila, eyadema, chaz tailor, ....

Jean Bedel Bokassa ( Central African Republic), Robert Mugabe ( Zimbabwe),Pierre Nkurunziza ( Burundi), Paul Kagame ( Rwanda), Francisco Nguema na Teodoro Obiang Nguema( Equatorial Guinea), Samuel Doe ( Liberia) , Mengistu Haile Mariam (Ethiopia), Hastings Kamuzu Banda ( Malawi), Juvenal Habyarimana ( Burundi) , Pierre Buyoya ( Burundi), Paul Biya (Cameroon), Denis Sassou Nguesso ( Republic of Congo), Alassane Outtara ( Ivory Coast), Laurent-Desire Kabila na Joseph Kabila ( Democratic Republic of Congo), Gnassingbe Eyadema ( Togo), Charles Taylor (Liberia)
Sani Abacha ( Nigeria) alikuwa muislamu. Sidhani kama Museveni na Rais wetu unaweza kuwaita ma dictator.

Swali ni jee hao waliokuwa ma dictator, walikuwa hivyo kwa sababu ni wakristu au ni hulka yao tofauti na dini yao? Au, kwa maneno mengine, asilimia 90 ya marais wa kikristu ni madikteta, na waliobaki ni wapinzani wa dini yao ya kidictator.

Amandla...
 
Jean Bedel Bokassa ( Central African Republic), Robert Mugabe ( Zimbabwe),Pierre Nkurunziza ( Burundi), Paul Kagame ( Rwanda), Francisco Nguema na Teodoro Obiang Nguema( Equatorial Guinea), Samuel Doe ( Liberia) , Mengistu Haile Mariam (Ethiopia), Hastings Kamuzu Banda ( Malawi), Juvenal Habyarimana ( Burundi) , Pierre Buyoya ( Burundi), Paul Biya (Cameroon), Denis Sassou Nguesso ( Republic of Congo), Alassane Outtara ( Ivory Coast), Laurent-Desire Kabila na Joseph Kabila ( Democratic Republic of Congo), Gnassingbe Eyadema ( Togo), Charles Taylor (Liberia)
Sani Abacha ( Nigeria) alikuwa muislamu. Sidhani kama Museveni na Rais wetu unaweza kuwaita ma dictator.

Swali ni jee hao waliokuwa ma dictator, walikuwa hivyo kwa sababu ni wakristu au ni hulka yao tofauti na dini yao? Au, kwa maneno mengine, asilimia 90 ya marais wa kikristu ni madikteta, na waliobaki ni wapinzani wa dini yao ya kidictator.

Amandla...
Malezi mabovu mama anaposhindwa kutimiza jukumu lake la malezi kwa kupandikiza utu ndani ya mtoto.Viongozi wa dini kufunga ndoa na madikteta na kutowatenga madikteta kutokemea uovu wao.
 
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy

Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Nilimwona Dr Gwajima mwezi uliopita akiwa high-table na viongozi wa wizara ya afya kwenye mkutano wao wa mwaka, hapo bado alikuwa TAMISEMI na baraza jipya la mawaziri lilikuwa halijatangazwa.
Viongozi hao walikuwa kama ifuatavyo (sielewi hata nini kilinituma kuandika majina yao walipokuwa wanatambulishwa, mimi sio journalist):
  1. katibu mkuu wa wizara Prof Mabula
  2. Naibu Katibu Mkuu Dr Gwajima
  3. Mganga Mkuu wa serikali Prof Makubi
  4. Mkuu wa taasisi gani sijui Dr Masanja
  5. Mkurugenzi wa idara Dr Magembe
  6. Mkurugenzi mwingine Dr Subi
  7. Kiongozi mwingine sikumbuki wa nini Dr Ogilo
High table ilikuwa high table kweli, yaani wangeweza hata kuongea yao kwa kilugha kwanza halafu ndipo watuletee kwa kiswahili !

Sasa kawa Waziri, vikao vya wizara vitanoga zaidi!
 
Sio kila Mzungu ni muovu,ila tunafanya makosa tu kujumuisha Wazungu wote.I meant the Deep State.Most Wazungus are extremely good people,wameingizwa mkenge tu kama sisi.Achana na kunipa majina,hivyo haifanyi ukweli kuwa uwongo,ukweli utabaki kuwa ukweli.Msituletee mawazo ya kuzimu,it is simply not acceptable.
Kwahiyo mama yako ni kiumbe wa kuzimu?
 
Back
Top Bottom