Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
😂😂😂Kwa msisitizo rangi red kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kwa msisitizo rangi red kbs
Ndugu yake na Askofu RashidYap , yaani huyo Dada Dr Dorothy Onesphory Gwajima, Mbona Mwigula Nchemba ni wa huko huko na sio Mnyamwezi au Msukuma au kuna Mtu anaitwa Kaseka lakini waweza mpata Rukwa na Tabora, au Mgaya utampata Njombe na Upareni
Ukiangalia JK na huyu aseeWana utu sababu ufuata dini
InakukeraBaraza la wasukuma watupu
Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Rais ajaye lazima awe mwislam .sasa huyu dorothy ni mwislam?Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
MaleziUkiangalia JK na huyu asee
Uko sahihi aisee bongo experience and exposure doesn't matter, kinacho matter ni connection na wazito tu basi
Baraza la wasukuma watupu
Mkuu umetoa povu la bure, nchi usipokuwa na connection hata umbeya hupati sembuse vyeoWapi Hakuna connection. Danganyeni wajinga wenzenu ambao kila afanyalo JPM Mna allergy nalo. Hakuna kipindi kinachoheshimu prof kama cha JPM. Kuna mambo mengi Sisi watu wa kawaida hatuyajui. Kazi kuropoka as if Rais kaamka tu na kuteua.
Uraisi wa CCM hauangalii hayo.Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli
Hoja inaungwa mkonoZamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Huyu aliyeshindwa kazi UN?Alikuwa presidential material mara kayeyuka ghafla
Uongozi wa JPM anapaswa kuondoka nao, hauna la maana la kijifunza.Ummy mwalimu sio vocal kama Dorothy, aina ya uongozi wa Magufuli aliotuanzishia unafaa kurithiwa na Dr Gwajima na mashuhuda wazuri ni wafanyakazi wenziea katika wizara aliohudumu awali
Clinical officer awe waziri full?huyu mama nimempa miezi minne tu atakuwa jipu.waziri wa afya ni Dr Godwin mollel
Ova
#mda utaongea
UN habari nyingine hata magu ukimpeleka wiki moja tu hamalizi na vile hajui lugha ,kule hakuna kiswahiliHuyu aliyeshindwa kazi UN?