jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Mlizoea siasa za ulaghai sasa Magufuli anazifutaNi nyapara mzuri sana,kitu kinachomfanya akose sifa ta kuwa mwanasiasa bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlizoea siasa za ulaghai sasa Magufuli anazifutaNi nyapara mzuri sana,kitu kinachomfanya akose sifa ta kuwa mwanasiasa bora
Umeniwahi mkuu. Hawa hawataachia urais mapema aisee.Baraza la wasukuma watupu
50%uko sawa ila kwa fala mollel umeni let down,au unasemaje Msukuma mwenzanguhuyu mama nimempa miezi minne tu atakuwa jipu.waziri wa afya ni Dr Godwin mollel
Ova
#mda utaongea
Halafu wa kule kule!Siku CCM imeweka mgombea wa kike ndo siku watajifunga na bao la mkono.
mkuu ,mollel atatufaa tofauti na huyu mama.huyu mama katoa rushwa ya50%uko sawa ila kwa fala mollel umeni let down,au unasemaje Msukuma mwenzangu
Unaibu waziri afya,angerudishiwa kichwa Faustine Ndungulile.mkuu ,mollel atatufaa tofauti na huyu mama.huyu mama katoa rushwa yapapuchi ndio kapata uteuzi ama kamchawia ummy
Ova😁
yap uko sahihi dk ndungulile ni jembe,lakni kapewa kitengo cha kutudhibiti uku JF😁😁Unaibu waziri afya,angerudishiwa kichwa Faustine Ndungulile.
Wanasema kabila la Dkt.Gwajima Dorothy si msukuma bali mnyiramba !Baraza la wasukuma watupu
Hujatahiriwa mkuu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Mwanamke for President!I am sorry,mwananke hapaswi kumuongoza mwanamna.That is Biblical.Nipigeni madongo na mawe,lakini huo utabaki kuwa ukweli,sitapepesa macho ng'o.We man were created to be leaders,not women.Hii dhana ya wanawake kuongoza wanaume imetoka kuzimu jamani,tuwe makini.
Kwa bahati mbaya sisi bila kujua tumeikumbatia.Halafu mianaume mingine nayo,noma sana, bila aibu inaipigia chapuo.Sijui imelambishwa nini na Wazungu.Shameful indeed.
NGOs hizi zinatuletea vitu vya ajabu sana,mara mfumo dume,mara tohara kwa wanaume,aibu tupu.Mfume dume ndio mnyama gani?
Mkristu ndiyo nani?Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Waja wanaikuza kuliko uhalisia wake, tumpe mda, ummy naye did well KWA hyo wizara hasa kipindi kigumu Cha coronaNipo upande wako madam,
Video imegoma kabisaLabda simu yako tu wengine wanaifungua kama kawaida
sawa kabisaNampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Umetumwa???Ummy mwalimu sio vocal kama Dorothy, aina ya uongozi wa Magufuli aliotuanzishia unafaa kurithiwa na Dr Gwajima na mashuhuda wazuri ni wafanyakazi wenziea katika wizara aliohudumu awali
Sina uhakika na hilo ila tunawatakaTanzania Wildlife Management Authority kuomba radhi kwa kuweka picha ya Marehemu Dr. Irene Masanja kama Naibu Waziri badala ya ile ya Mary Masanja. Wamewapa muda ngumu sana familia ya huyo Marehemu.Wanasema kabila la Dkt.Gwajima Dorothy si msukuma bali mnyiramba !
Sema ni ngosha mwenzako wala hakuna loloteNampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.